Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Human and other living creatures follow the same principles,
1) birth,
2) inheritance of behavior patterns,
3) death

And that is called Life,

Sent using Jamii Forums mobile app
Ever since something has been created ,engeneered,or brought about into new existance! death is a mandatory by protocol...

Nothing will escape from nature ..
but we question the difference in life forms being presented by the species in this universe with maximum Intelligence different..

We ask how these Differences attribute to human existance..?

The question is, who brought you into existance ever since you have been taught a lot of advancements by other creatures..??

Where do we get the advancements...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kusikia khs hy Royal family ila sina uhakika ,unaweza kunifungua zaidi?

[emoji767]101-03-821.M|T|C
Is one among the families zinazosemekana kuwa na damu tofaut na wengine..

Inheritance yake ni through inherited DNA from Reptilian brotherhood ..

insemekana kabsaa kuwa kuna jamii tofauti za Extraterrestrial species zenye high knowlege and Intelligent .

Kumekuwa na sintofahamu juu ya jamii ya Humanoid na Reptilian kuhusu kuwekeza DNA zao kwenye jamii ya binadamu( sisi) na kufanya jamii hizo mbili( Humanoid and reptilian) kuamua kujiingiza zaidi katika form ya ubinadamu ili iutawale huu ulimwengu zaidi( kwa hiyo jamii hizo mbili ziliamua kuzaa na binasamu ili kuhakikisha kuwa viumbe wote( binadamu) wanaozaliwa wnaakuwa na sura ya binadamu but mindly and intelectually ni humanoid or reptlian
family)) .


Kwa hiyo members wanaozaliwa wanakuwa wanasambazwa dunia nzima kushika nyazifa mbalimbali zikiwemo uongozi ,politocal infiltration,religious matters n.k ili watakapoanza kutunga sheria kandamizi ambazo lengo lao ni kuhalalisha ulimwengu uwe na civilization ya kigeni basi asiwepo mzawa( indigenous) wa kukataa..

Kwa hiyo Ndo jamii hizo za kigeni zikagawanyika duniani kote katika sehemu tofauti tofaut kushika hatima za uongozi mbalimbali..

ni long plan issure..

So royal families ni familia kubwa sana duniani iliyogawanyika katika maeneo tofauti duniani wao damu zao ziko na mfumo tofauti wa urithi..

Inasemekana kabsa kuwa member mmoja wa royal family anaweza kuja tanzania akakutana na mwafrika na kuzaa nae watoto chotara lakini kiakili and intelligent wakarithi 100% royal family intelligence despite sura ni ya kibongo( hii ni beyond biology aise) ndo mana insemekana kuwa taifa mojawapo la Israel ni product pure from Royal family kwani ukizaa na mwisrael ni kweli mtoto anarithi 100% tabia za kijewish..

ndo mana inaleta utata mkubwa sana ..
ndo mana Marekani imeshindwa kufanya hybrid ya kuzaa na waisrael ili kupata indigeneous wataalamu wa mambo..

Kuna siri nzito sana juu ya Royal familiy hata Wenye taasisi za Blood and molecular analysis basing human genome wanashindwa kuweka wazi kwanini damu ya mwisrael inakuwa ngumu kufanyiwa hybrid katika surface level only in molecular level..

hii ndo inayotupa mashaka na kufikia maamuzi ya kuanza kuamini kweli huenda kuna high life forms inatucontrol sis tulio katika low life forms..

Taifa la Israel linalindwa kwa umakini mkubwa snaa..

Huku uraiani tunaishi na waisrael kibao but kwa sababu wamewekeza DNA zao na intelligent zao ndo mana wanaonekana weusi but katika mode of mind operation they are Jewish in nature..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is one among the families zinazosemekana kuwa na damu tofaut na wengine..

Inheritance yake ni through inherited DNA from Reptilian brotherhood ..

insemekana kabsaa kuwa kuna jamii tofauti za Extraterrestrial species zenye high knowlege and Intelligent .

Kumekuwa na sintofahamu juu ya jamii ya Humanoid na Reptilian kuhusu kuwekeza DNA zao kwenye jamii ya binadamu( sisi) na kufanya jamii hizo mbili( Humanoid and reptilian) kuamua kujiingiza zaidi katika form ya ubinadamu ili iutawale huu ulimwengu zaidi( kwa hiyo jamii hizo mbili ziliamua kuzaa na binasamu ili kuhakikisha kuwa viumbe wote( binadamu) wanaozaliwa wnaakuwa na sura ya binadamu but mindly and intelectually ni humanoid or reptlian family)) .

Kwa hiyo members wanaozaliwa wanakuwa wanasambazwa dunia nzima kushika nyazifa mbalimbali zikiwemo uongozi ,politocal infiltration,religious matters n.k ili watakapoanza kutunga sheria kandamizi ambazo lengo lao ni kulalisha ulimwengu uwe na civilization ya kigeni basi asiwepo mzawa( indigenous) wa kukataa..

Kwa hiyo Ndo jamii hizo za kigeni zikagawanyika duniani kote katika sehemu tofauti tofaut kushika hatima za uongozi mbalimbali..

ni long plan isure..

so royal families ni familia kubwa sana duniani iliyogawanyika katika maeneo tofauti duniani wao damu zao ziko na mfumo tofauti wa urithi..

Inasemekana kabsa kuwa member mmoja wa royal family anaweza kuja tanzania akakutana na mwafrika na kuzaa nae watoto chotara lakini kiakili and intelligent wakarithi 100% royal family intelligence despite sura ni ya kibongo( beyond biology) ndo mana insemekana kuwa taifa mojawapo la Israel ni product pure from Royal family kwani ukizaa na mwisrael ni kweli mtoto anarithi 100% tabia za kijews..

ndo mana inaleta utata mkubwa sana ..
ndo mana Marekani imeshindwa kufanya hybrid ya kuzaa na waisrael ili kupata indigeneous wataalamu wa mambo..

Kuna siri nzito sana juu ya Royal familiy hata Wenye taasisi za Blood and molecular analysis basing human genome wanashindwa kuweka wazi kwanini damu ya mwisrael inakuwa ngumu kufanyiwa hybrid katika surface level only in molecular level..

hii ndo inayotupa mashaka na kufikia maamuzi ya kuanza kuamini kweli huenda kuna high life forms inatucontrol sis tulio katika low life forms..

Taifa la Israel linalindwa kwa umakini mkubwa snaa..

Huku uraiani tunaishi na waisrael kibao but kwa sababu wamewekeza DNA zao na intelligent zao ndo mana wanaonekana weusi but katika mode of mind operation they are Jewish in nature..



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa na kukupata vyema kbs

[emoji767]101-03-821.M|T|C
 
Wanaokutisha kisa kuugua kiarusi hiyo kawaida kutokana miskumo ya damu ubongo uliumiza wakati wa kazi husika sio kwaajili ya kuhimili siri

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unaelewa kwanza juu ya neno Cardiovascular diseases from unknown aetiology??( magonjwa ya mfumo wa mzunguko wa damu ambayo chanzo chake hakijulikani))!

Did you ever think about unknown aetiology ,??

Usifikilie kwa juu juu tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is one among the families zinazosemekana kuwa na damu tofaut na wengine..

Inheritance yake ni through inherited DNA from Reptilian brotherhood ..

insemekana kabsaa kuwa kuna jamii tofauti za Extraterrestrial species zenye high knowlege and Intelligent .

Kumekuwa na sintofahamu juu ya jamii ya Humanoid na Reptilian kuhusu kuwekeza DNA zao kwenye jamii ya binadamu( sisi) na kufanya jamii hizo mbili( Humanoid and reptilian) kuamua kujiingiza zaidi katika form ya ubinadamu ili iutawale huu ulimwengu zaidi( kwa hiyo jamii hizo mbili ziliamua kuzaa na binasamu ili kuhakikisha kuwa viumbe wote( binadamu) wanaozaliwa wnaakuwa na sura ya binadamu but mindly and intelectually ni humanoid or reptlian family)) .

Kwa hiyo members wanaozaliwa wanakuwa wanasambazwa dunia nzima kushika nyazifa mbalimbali zikiwemo uongozi ,politocal infiltration,religious matters n.k ili watakapoanza kutunga sheria kandamizi ambazo lengo lao ni kuhalalisha ulimwengu uwe na civilization ya kigeni basi asiwepo mzawa( indigenous) wa kukataa..

Kwa hiyo Ndo jamii hizo za kigeni zikagawanyika duniani kote katika sehemu tofauti tofaut kushika hatima za uongozi mbalimbali..

ni long plan issure..

So royal families ni familia kubwa sana duniani iliyogawanyika katika maeneo tofauti duniani wao damu zao ziko na mfumo tofauti wa urithi..

Inasemekana kabsa kuwa member mmoja wa royal family anaweza kuja tanzania akakutana na mwafrika na kuzaa nae watoto chotara lakini kiakili and intelligent wakarithi 100% royal family intelligence despite sura ni ya kibongo( hii ni beyond biology aise) ndo mana insemekana kuwa taifa mojawapo la Israel ni product pure from Royal family kwani ukizaa na mwisrael ni kweli mtoto anarithi 100% tabia za kijewish..

ndo mana inaleta utata mkubwa sana ..
ndo mana Marekani imeshindwa kufanya hybrid ya kuzaa na waisrael ili kupata indigeneous wataalamu wa mambo..

Kuna siri nzito sana juu ya Royal familiy hata Wenye taasisi za Blood and molecular analysis basing human genome wanashindwa kuweka wazi kwanini damu ya mwisrael inakuwa ngumu kufanyiwa hybrid katika surface level only in molecular level..

hii ndo inayotupa mashaka na kufikia maamuzi ya kuanza kuamini kweli huenda kuna high life forms inatucontrol sis tulio katika low life forms..

Taifa la Israel linalindwa kwa umakini mkubwa snaa..

Huku uraiani tunaishi na waisrael kibao but kwa sababu wamewekeza DNA zao na intelligent zao ndo mana wanaonekana weusi but katika mode of mind operation they are Jewish in nature..



Sent using Jamii Forums mobile app
Naona na wewe ni hybrid yao pia sio kwa madini haya[emoji41][emoji122][emoji122][emoji122]

Ngumbaru wa asili ni wagumu sana kuelewa elimu ya utambuzi(spirituality/inner self awekening)[emoji1]

Watanisamehe kwa kauli yangu nimeona nitoe uvivu[emoji120]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kusikia khs hy Royal family ila sina uhakika ,unaweza kunifungua zaidi?

[emoji767]101-03-821.M|T|C
mkuu..
PhotoGrid_1535914454661.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee ,hii dunia hii, kuna series moja ilikua inaitwa The Events ,ilipigwa marufuku ilikua inaongelea mambo ya watu wenye DNA tofauti

[emoji767]101-03-821.M|T|C
hatari sana mkuu,mtafute mtu mmoja anaitwa Nick Wauters ndo aliyeiruhusu ile movies kutengenezwa,yani unaambwa movies au series zake zilikuwa na utata snaa ..

Tafuta series yake moja inaitwa THE 4400 ni balaa


mpaka ilfungiwa mwka 2007..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au umefungua third eye ndo mana unasema tumetokana na aliens??
Kitu gani kinakufanya uamini zaidi katika aliens
 
So you don't believe in existence of God
ww jamaa yani bible ndo unaichukulia kama ndo kila kitu et ee...hivi hujui kuna doctrine nyingi zinaelezea mambo mazito ambayo bible yako hiyo imeshindwa au haijayatolewa ufafanuzi...

tatizo unaonekana mfia dini sana...

soma hapa chini kuhusu bible yako hiyo..
na hiki ni kisehemu kidgo snaa
PhotoGrid_1535919606398.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom