Is one among the families zinazosemekana kuwa na damu tofaut na wengine..
Inheritance yake ni through inherited DNA from Reptilian brotherhood ..
insemekana kabsaa kuwa kuna jamii tofauti za Extraterrestrial species zenye high knowlege and Intelligent .
Kumekuwa na sintofahamu juu ya jamii ya Humanoid na Reptilian kuhusu kuwekeza DNA zao kwenye jamii ya binadamu( sisi) na kufanya jamii hizo mbili( Humanoid and reptilian) kuamua kujiingiza zaidi katika form ya ubinadamu ili iutawale huu ulimwengu zaidi( kwa hiyo jamii hizo mbili ziliamua kuzaa na binasamu ili kuhakikisha kuwa viumbe wote( binadamu) wanaozaliwa wnaakuwa na sura ya binadamu but mindly and intelectually ni humanoid or reptlian family)) .
Kwa hiyo members wanaozaliwa wanakuwa wanasambazwa dunia nzima kushika nyazifa mbalimbali zikiwemo uongozi ,politocal infiltration,religious matters n.k ili watakapoanza kutunga sheria kandamizi ambazo lengo lao ni kuhalalisha ulimwengu uwe na civilization ya kigeni basi asiwepo mzawa( indigenous) wa kukataa..
Kwa hiyo Ndo jamii hizo za kigeni zikagawanyika duniani kote katika sehemu tofauti tofaut kushika hatima za uongozi mbalimbali..
ni long plan issure..
So royal families ni familia kubwa sana duniani iliyogawanyika katika maeneo tofauti duniani wao damu zao ziko na mfumo tofauti wa urithi..
Inasemekana kabsa kuwa member mmoja wa royal family anaweza kuja tanzania akakutana na mwafrika na kuzaa nae watoto chotara lakini kiakili and intelligent wakarithi 100% royal family intelligence despite sura ni ya kibongo( hii ni beyond biology aise) ndo mana insemekana kuwa taifa mojawapo la Israel ni product pure from Royal family kwani ukizaa na mwisrael ni kweli mtoto anarithi 100% tabia za kijewish..
ndo mana inaleta utata mkubwa sana ..
ndo mana Marekani imeshindwa kufanya hybrid ya kuzaa na waisrael ili kupata indigeneous wataalamu wa mambo..
Kuna siri nzito sana juu ya Royal familiy hata Wenye taasisi za Blood and molecular analysis basing human genome wanashindwa kuweka wazi kwanini damu ya mwisrael inakuwa ngumu kufanyiwa hybrid katika surface level only in molecular level..
hii ndo inayotupa mashaka na kufikia maamuzi ya kuanza kuamini kweli huenda kuna high life forms inatucontrol sis tulio katika low life forms..
Taifa la Israel linalindwa kwa umakini mkubwa snaa..
Huku uraiani tunaishi na waisrael kibao but kwa sababu wamewekeza DNA zao na intelligent zao ndo mana wanaonekana weusi but katika mode of mind operation they are Jewish in nature..
Sent using
Jamii Forums mobile app