Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Sasa kama aliens wapo na wana akili nyingi wanamtumiaje tena binadamu ambaye anauwezo Mdogo zaidi yao kupata communication , information za dunian na hayo madini wanayodai waliyapoteza kutokana na uharibifu uliofanywa na wao wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa ndiyo walioumba Mbingu na Dunia? Je! Ndo hawa Walioleta masomo ya nidhamu? Je! Ndio hawa wanaotujalia ngekewa sisi wachimba madini? Labda sijskuelewa vizur kwasababu nataka niulize kati ya hivo Alliens na Mungu kipi kimekuwa maarufu sana? Na kipi kilichotajwa kuwa kina akili sana? Tuamini story zote maana zote ni story tu hasa za wale wajanja wanaopiga Aficafe kwa Cafe
 
Mkuu hawa ndiyo walioumba Mbingu na Dunia? Je! Ndo hawa Walioleta masomo ya nidhamu? Je! Ndio hawa wanaotujalia ngekewa sisi wachimba madini? Labda sijskuelewa vizur kwasababu nataka niulize kati ya hivo Alliens na Mungu kipi kimekuwa maarufu sana? Na kipi kilichotajwa kuwa kina akili sana? Tuamini story zote maana zote ni story tu hasa za wale wajanja wanaopiga Aficafe kwa Cafe
mkuu,simply tunasema higher life forms is more intelligent than lower life forms..

So kama Aliens ndo kamwelekeza na anaendelea kumpa mwanadamu maarifa ya kutengeneza mpaka viumbe wengine kwa modification anazozijua ( Cloning) ,hatuoni kuwa inawezekana na yeye binadamu kuwa product ya cloning??

hapo tu naomba ujiulize...firget about madini and so fourth..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale walioonwa na watoto kule zimbabwe nao ni hoax,halafu,mbona kule bermuda triangle hakuingiliki,na mwisho kwa nn wamarekani wanapalinda sana pale kwenye tobo lililo ncha ya kaskazini mwq dunia,kwa nn ikikatiza ndege yoyote au kitu chochote kitakachojaribu kulisogelea lile tobo lazima wamtungue,kuna nn pale????
[emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ili tuweze kukana uwepo wa viumbe hawa naomba upate solution kwanza wapi tunapata technolojia..

tuweke mambo ya bible na quran..lets talk reality ya wapi technolojia inatoka ndo tukane uwepo wa viumbe vilivyotuzidi maarifa..

Tumekalia kusema ni conspirancy bika kujua kwanini tunasurvive with high technological improvement

Human civilizatiom has brought by number of several factors japo ukweli unabaki kwenye siri..

But tunaweza umiza vichwa kuanza na kwanini uwepo wa technolojia unashindwa kudhibitisha kama mwanadamu ndo mvumbuzi au anapewa direction nini afanye..



Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla yakujiuliza kuhusu technology; binadamu ni roho, nafsi na mwili (in case u know that) ama kwa lugha nyingine, binadamu ni roho iishiyo ndani ya mwili ikiposses nafsi (a human is a "spirit" living in a body, possesses a soul). Sasa ni kipi kati ya hivi vitatu ambavyo aliens walitengeneza ( because am sure they can't create a spirit, I doubt if they can create a soul either). Ila nataka urejee historia ya teknolojia ( ambayo inatrace back miaka michache tuu nyuma) halafu trace na historia ya existance ya hao aliens ( it must be thousands of millions years maana c ndo wao wametuumba maana binadamu mwenyewe anakuwa traced back millions of years) halafu utafute uhusiano hapo.

Lakini pia nashauri ukajikumbushe matumizi ya akili ya binadamu kwa kipindi cha uhai wake (ambayo ni asilimia chache sana, less than 10), ukielewa hapo utagundua kua mambo makubwa yote unayoyajua, usiyoyajua na ambayo bado yatatokea, human being is capable of doing, though satan can do that too.

Maana theory zinasema "laiti kama binadamu ataweza kutumia 100% ya akili yake, anaweka kukumbuka mpaka kipindi alivyokua tumboni ( kuanzia trymister ambayo ubongo ulikua formed). So don't doubt a human brain bro, to be more specific dont doubt your brain, ts not healthy, ts not wise.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla yakujiuliza kuhusu technology; binadamu ni roho, nafsi na mwili (in case u know that) ama kwa lugha nyingine, binadamu ni roho iishiyo ndani ya mwili ikiposses nafsi (a human is a "spirit" living in a body, possesses a soul). Sasa ni kipi kati ya hivi vitatu ambavyo aliens walitengeneza ( because am sure they can't create a spirit, I doubt if they can create a soul either). Ila nataka urejee historia ya teknolojia ( ambayo inatrace back miaka michache tuu nyuma) halafu trace na historia ya existance ya hao aliens ( it must be thousands of millions years maana c ndo wao wametuumba maana binadamu mwenyewe anakuwa traced back millions of years) halafu utafute uhusiano hapo.

Lakini pia nashauri ukajikumbushe matumizi ya akili ya binadamu kwa kipindi cha uhai wake (ambayo ni asilimia chache sana, less than 10), ukielewa hapo utagundua kua mambo makubwa yote unayoyajua, usiyoyajua na ambayo bado yatatokea, human being is capable of doing, though satan can do that too.

Maana theory zinasema "laiti kama binadamu ataweza kutumia 100% ya akili yake, anaweka kukumbuka mpaka kipindi alivyokua tumboni ( kuanzia trymister ambayo ubongo ulikua formed). So don't doubt a human brain bro, to be more specific dont doubt your brain, ts not healthy, ts not wise.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu,naomba uniambie kazi ya non coding DNA bases au ...
halafu pia swali la kujiuliza hapo ni kwamba ,human technology inakuwa proccessed under Aliens civilization na ndipo mwanadamu anapata vipawa vingi kupitia connection hiyo, na hilo halina ubishi kwani wanasayansi wenyewe wanadhibitisha kuwa "there is a core where we always obtain power,knowledge and inspirations"

Kama mwanadamu amefundishwa how to clone livibgs things ,huoni kuwa hata yeye inaweza kuwa ni product hiyo??

jiulize kwa kini..usikimbilia kujisifia kuwa ndo una knowlege kuzidi animals basi usiamini kuwa cloned..

Unambiwa hivi higher life forms is more intelligent than lower life forms..
human being ni low life form kwa Aliens hence Aliens are able to transforms human DNA into any cloned species..

kama binadamu kaelekezwa how to generate new organisms huoni kuwa kuna possibility flani a kuwa product naye from other beings

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom