Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Na mbwa, nyani,sisimizi,mamba?nao wangepewa akili wangeweza kusema kwa mfano mbwa angesema sisi ndo tumewaumba ili tuwatumie kwenye kazi zetu..

Sent using Jamii Forums mobile app
swali ngumu linakuja pale ambapo Aliens wanasadikika kuwa na Intelligdnce kubwa kuzidi binadamu na wamehusika kwa kiwango kikubwa kumwelekeza binadamu namna ya kufanya cloning ya viumbe wengine..hivyo kufanya uwepo wao kuwa na uhusika mkuu wa kuwepo kwa binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kusudi lake ni nini hasa ambalo alikuumba..?? did you share him his intention to create you..??

how did you know his intention..?? umejuaje kusudi la mungu kama bado unakufa then unashindwa kujua ulikuja duniani kufanya nini na kama usingekuja ni mapunngufu yapi mungu angeyapata..??

Sent using Jamii Forums mobile app
Maandiko yake yasema wazi
 
swali ngumu linakuja pale ambapo Aliens wanasadikika kuwa na Intelligdnce kubwa kuzidi binadamu na wamehusika kwa kiwango kikubwa kumwelekeza binadamu namna ya kufanya cloning ya viumbe wengine..hivyo kufanya uwepo wao kuwa na uhusika mkuu wa kuwepo kwa binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliens ni jina ambalo wazungu wamewapa viumbe wenye nguvu kubwa za kufanya utambuzi kwa kutumia nguvu ya shetani usige ukadhani niviumbe wa sayari nyingine hiyo ni team ya shetani ambayo smtm ina cross na binadamu kutengeneza kizazi cha nusu binadamu nusu shetani ndo utasikia reptilian humanoids.Utafichwa na research fake nyingi lakini ujue hizo breed za kishetani.Na kuhusu uwezo wao ni mkubwa kweli na mfano jiulize uwezo wa kawaida tu wa mchawi wa kawaida tu, toka hapo jiulize wale wazee wa zamani waliokuwa na uwezo wa kuzuia mvua,ukifikiria sana utagundua mtu km ana uwezo wa kuzuia mvua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliens ni jina ambalo wazungu wamewapa viumbe wenye nguvu kubwa za kufanya utambuzi kwa kutumia nguvu ya shetani usige ukadhani niviumbe wa sayari nyingine hiyo ni team ya shetani ambayo smtm ina cross na binadamu kutengeneza kizazi cha nusu binadamu nusu shetani ndo utasikia reptilian humanoids.Utafichwa na research fake nyingi lakini ujue hizo breed za kishetani.Na kuhusu uwezo wao ni mkubwa kweli na mfano jiulize uwezo wa kawaida tu wa mchawi wa kawaida tu, toka hapo jiulize wale wazee wa zamani waliokuwa na uwezo wa kuzuia mvua,ukifikiria sana utagundua mtu km ana uwezo wa kuzuia mvua.

Sent using Jamii Forums mobile app
utajisikiaje kama siku ukigundua kuwa wew ni moja wapo ya product au hybrid ya humanoid ( Reptilian) ??

utachukua jukumu gani kuhakikisha unaishi katika misingi ambayo Mungu anataka viumbe vyake kiishi..??

Je utalaani sana kwa hali hiyo inghali ushakuwa product ya hao viumbe..??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utajisikiaje kama siku ukigundua kuwa wew ni moja wapo ya product au hybrid ya humanoid ( Reptilian) ??

utachukua jukumu gani kuhakikisha unaishi katika misingi ambayo Mungu anataka viumbe vyake kiishi..??

Je utalaani sana kwa hali hiyo inghali ushakuwa product ya hao viumbe..??

Sent using Jamii Forums mobile app
Breed nyingi zinafanyika katika soul level na huwezi niambia kwa mfano mtoto ambaye tayari amecrossiwa nakuwa na ushetani ndani yake ataweza kurudi normal maana anakuwa kizazi cha stetani ambacho sio normal binadamu tena, soul yake tayari imechukuliwa.Aliens sio wale tunawaona kwenye movies[emoji30][emoji30],zile ni sanaa tu na kutupumbaza...hapo ulipo unaweza ku cross nakuwa nusu binadamu nusu shetani na ukawa jeshi la shetani moja kwa moja au tokea shetani katupwa dunia na watu wake ushawahi kusikia mmoja katubu nakurudi upande wa pili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Breed nyingi zinafanyika katika soul level na huwezi niambia kwa mfano mtoto ambaye tayari amecrossiwa nakuwa na ushetani ndani yake ataweza kurudi normal maana anakuwa kizazi cha stetani ambacho sio normal binadamu tena, soul yake tayari imechukuliwa.Aliens sio wale tunawaona kwenye movies[emoji30][emoji30],zile ni sanaa tu na kutupumbaza...hapo ulipo unaweza ku cross nakuwa nusu binadamu nusu shetani na ukawa jeshi la shetani moja kwa moja au tokea shetani katupwa dunia na watu wake ushawahi kusikia mmoja katubu nakurudi upande wa pili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina imani katika roho zisizo na Utambuzi(negative force spirit)

Lakini si katika shetani kama kiumbe mmoja atawalae

Na nina imani katika Roho zilizo na utambuzi(a positive force spirit)

Lakini si katika Mungu mmoja kama kiumbe atawalae

Na nina imani hizo roho hushift kutoka dimansion moja kwenda nyingine ambazo ni infinity

Na huweza yote hayo Kupitia kujibidiisha kwa roho husika katika kupata Utambuzi

Hivyo siamini katika ushetani wa nafsi usio badilika

Ila nakubaliana na wewe kwenye soul level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utajisikiaje kama siku ukigundua kuwa wew ni moja wapo ya product au hybrid ya humanoid ( Reptilian) ??

utachukua jukumu gani kuhakikisha unaishi katika misingi ambayo Mungu anataka viumbe vyake kiishi..??

Je utalaani sana kwa hali hiyo inghali ushakuwa product ya hao viumbe..??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nalo neno...

Watu wanashindwa kutambua kwamba hata simba na ukali wake ule lakini si kwa watoto wake

Ndani ya ushetani kuna wema pia

Na kiumbe ndiye point ya maamuzi

Ni mwendo wa Yin & Yang mwanzo mwisho



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliens kuwaona ni bahati snaa ...sio kwamba mpaka kila mtu awashuhudie ..kwanza ikitokea umeaona ukatoa taarifa serikali inazimisha kimya sna swala hiko kabla halijawafikia raia wa kawaida...

kuna maeneo kadhaaa duniani ambapo Aliens wanahusishwa kutua na baadhi ya maeneo hayo ni kama Peru,Brazil,America including mexico,German,England,Netherland,South Africa,pamoja na Zimbabwe...

Pia kuna maaeneo baadhi yanahusishwa kutua hao Aliens..

Swala la kusema unahitaji kuwaona hao Aliens hapa Tanzania ili ujiridhishe ni ngumu kwani nchi zinazochimba hayo madini ni washirika wakubwa na hao Aliens..

inasemekana kabsa kuwa kuna baadhi ya watu wamepata mental abduction kutokana na direct human contact with Aliens unless otherwise waamue kukuacha tu uwatazame...

Tanzania sio eneo rasmi la kutua hao viumbe lakini kuna baadhi ya sehemu usiku wanatua kwa kutumia vyombo vyao maarufu kama Sourcer .

Fanya tafiti hasa nyakati za usiku maeneo yenye uwazi mkubwa (Lanch) halafu kaaa usiku wa manane maeneo hayo utaweza kunotes paranormal sitiltings za abnormal beings maeneo hayo..


Sent using Jamii Forums mobile app

Miaka ya 2000, nilikua milima ya upareni..... hiyo sehemu kileleni kuna uwazi flan km uwanja wa mpira(si pakubwa sana), siku moja usiku(sa3 flan ivi) niliona mwanga mkubwa sana, yaani hata kama ingekuwa ni gari, ule mwanga siwezi linganisha..... kipindi icho ndo nasoma soma vifiziks vya fom tuu...... aah, nikaconclude ni satelite za orbit ya chini chini(ingawa kadri navoendelea kugundua, satelite isingetembe chini kiasi kile)...... ila huwa ile image inanijia na huwa sikubaliani na kitu nilichoconclude coz ilikuwa karibu sana....... na huwa sikumbuki tukio zima.... nakumbuka tu ule mwanga bas.
 
Miaka ya 2000, nilikua milima ya upareni..... hiyo sehemu kileleni kuna uwazi flan km uwanja wa mpira(si pakubwa sana), siku moja usiku(sa3 flan ivi) niliona mwanga mkubwa sana, yaani hata kama ingekuwa ni gari, ule mwanga siwezi linganisha..... kipindi icho ndo nasoma soma vifiziks vya fom tuu...... aah, nikaconclude ni satelite za orbit ya chini chini(ingawa kadri navoendelea kugundua, satelite isingetembe chini kiasi kile)...... ila huwa ile image inanijia na huwa sikubaliani na kitu nilichoconclude coz ilikuwa karibu sana....... na huwa sikumbuki tukio zima.... nakumbuka tu ule mwanga bas.
kuwaona ni nadra sana..

ila wapo watu wanaoshuhudia tukio hilo la hao viumbe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom