lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,359
- Thread starter
- #441
evidence...leta evidence nikupe evidence..kwanini unakataa wakati evidence hizo hapo...Au umefungua third eye ndo mana unasema tumetokana na aliens??
Kitu gani kinakufanya uamini zaidi katika aliens
Sent using Jamii Forums mobile app