Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Nadhani non coding gene ipo ipo tuu, zitapotea huko mbeleni.Tukijichunguza mbona lakini tuna coded genes zisizo na faida yeyote.Mfano kwa nini nywele ziweze kuota hata kufikia metre 10 usiponyoa?Au kucha zina faida gani kwa binadamu wa kileo?Na je wanyama wengine hawana hizo non coding genes?kama wanazo je nao wanatumika kuvuna dhahabu au madini? Tutafakari
 
hiyo si sababu mfano mwanadamu na nyani nadhani unaamini nyani hana akili kuliko mwanadamu je kwa sababu hiyo tuseme nyani ameumbwa na mwanadamu? na baada ya hapo tuseme hiyo ni mental analytical evidence huku tukijipongeza

.

haha hivi kuna mtu alishawafanyia DNA checkup hao aliens na hata uhakika wa sehemu aliens wanapoishi hakuna sasa cjui walichunguzwa vipi hizo DNA zao

mkuu naomba utaje njia zilizotumika kufanya analysis ya aliens DNA kama utaweza kutoa hata moja inayoeleweka

mwanzo ulisema hizi non coding gene hazifanyi kazi yoyote sasa hii uliyoitaja si kazi?

pia hizi habari za kuchapa inasemekana inadhirisha wazi hakuna uhakika kwasababu kama kitu kilifnayiwa utafiti wangeonesha baada ya kufanya utafiti kwa kupitia procedure fulan tumegundua haya lakin wew kila jibu lako halikosi maneno haya (inasemekana or huenda)

mwanadamu yupi aliyekiri? kama mimi pia bado nabishana na wew hapa pia wapo na wengine kama mimi nao watabisha basi amini ni wale wanadamu wasiofikiri vizuri ndio wamekiri

wewe jaribu kusema kuna moja wapo ya mwanadamu ambaye hakuhitaji kujiongeza basi akakiri yeye ni product ya aliens



unaweza kunipa evidence kweli DNA inayofanyiwa manipulation ni ya aliens
acha kupinga kwa facts ambazo ni za kisiasa...nimekuliza swali moja tu kuwa kama unakataaa hizo results za molecular analysis tupe kazi ya hizo non coding DNA bases...!!

unadig around the bush www jamaa...umekomaliza kupinga halafu evidence za upande wa pili huelezei...

kama unakataaa kuwa non DNA bases sio Aliens product nini kazi yake kama kweli una elimu ya molecular Analysis...

Acha kupinga kwa kuquote phrases,pinga kwa facts...umekomaaa nilete evidence wakati moja wapo ya evidence ni hiyo kazi iliyofanywa na hao jamaaa na nimekuwekea mpaka sitation na unaweza ukagoogle ukasoma walichiconclude au wew unataka nitoe majibu yangu au...??

Tatizo la ngozi nyeusi hamtaki kuelewa mambo unawezaje kuwapinga hao jamaaa wakati umeukizwa swali moja tu kuwa unajua kazi ya Non coding DNA BASES unakimbia unakomaaa kupinga...
 
Nadhani non coding gene ipo ipo tuu, zitapotea huko mbeleni.Tukijichunguza mbona lakini tuna coded genes zisizo na faida yeyote.Mfano kwa nini nywele ziweze kuota hata kufikia metre 10 usiponyoa?Au kucha zina faida gani kwa binadamu wa kileo?Na je wanyama wengine hawana hizo non coding genes?kama wanazo je nao wanatumika kuvuna dhahabu au madini? Tutafakari
unajibu kwa sababu hujafanya chochote katika level ya molecular...
kwanza kabla hujajibu unapaswa ujiulize majibu yaliyotolewa kwenye tafiti hiyo...

acha kujibu kisiasa kwamba zipo zipo tu...mtu mwenye uelewa mkubwa atakushangaaa kwamba unaulizwa unakula ili iweje ..then unamjibu nakula ili jishibe..so what...??
 
kiongozi pamoja ngoja tubishane kwa fact
sasa kama kaz zimefanywa ukaambiwa results hizo hapo unakataaa unataka results zipi...??

au nini maaana ya mtu kuleta findings hapa JF ??

kama unakataaa findings basi study hiyo umeifanya basi tupo opositr findings sio kupinga wakati unashindwa kuelezea katika molecular level..

Kitu kingine cha kunipa evidence kuwa Aliens ni hoax mbona nimekwambia tunatumia monoclonal genome kutengenezea artificial progen za viumbe wapya wenye advanced characteristics??

kwanini hatutumiii native DNA strands za hapa duniani..??

ninakwambia hili kwa sababu nina evidence nalo au na hili unakataa..??

na kamaa unakataa nieleze au tueleze Monoclonal genomic strands analysis inafanyikaje au unaona kama clonned species wanakuja kizembe tu...?

be serius halafu ukiwa unapinga uwe umejianda na field unayopinga...

Nidhibitishie na hilo la monoclonal genome bases wanazipataje au kama hujui nambie nikuelekeze ilivyo ..

na nikikuelkeza inabidi ukae kimya na kukubali kuwa hujui chochote kuhusu cloning mechanism ya new genomic strand ya artificial recreated speicies..
 
hiyo si sababu mfano mwanadamu na nyani nadhani unaamini nyani hana akili kuliko mwanadamu je kwa sababu hiyo tuseme nyani ameumbwa na mwanadamu? na baada ya hapo tuseme hiyo ni mental analytical evidence huku tukijipongeza

.

haha hivi kuna mtu alishawafanyia DNA checkup hao aliens na hata uhakika wa sehemu aliens wanapoishi hakuna sasa cjui walichunguzwa vipi hizo DNA zao

mkuu naomba utaje njia zilizotumika kufanya analysis ya aliens DNA kama utaweza kutoa hata moja inayoeleweka

mwanzo ulisema hizi non coding gene hazifanyi kazi yoyote sasa hii uliyoitaja si kazi?

pia hizi habari za kuchapa inasemekana inadhirisha wazi hakuna uhakika kwasababu kama kitu kilifnayiwa utafiti wangeonesha baada ya kufanya utafiti kwa kupitia procedure fulan tumegundua haya lakin wew kila jibu lako halikosi maneno haya (inasemekana or huenda)

mwanadamu yupi aliyekiri? kama mimi pia bado nabishana na wew hapa pia wapo na wengine kama mimi nao watabisha basi amini ni wale wanadamu wasiofikiri vizuri ndio wamekiri

wewe jaribu kusema kuna moja wapo ya mwanadamu ambaye hakuhitaji kujiongeza basi akakiri yeye ni product ya aliens



unaweza kunipa evidence kweli DNA inayofanyiwa manipulation ni ya aliens
evidence ya kwanza ni utengenezaji wa cloned species ambazo ni product ya monoclonal genomic sequence yenye asilimia kubwa kuwa na non coding bases...
 
jibu maswali yangu yote coz mimi ndiye nilianza kukuuliza ukimaliza kujibu basi na mimi najibu maswali yako
umeuliza maswali yenye category napenda twende systematically...nakujibu unajibu...usitake kulazimishwa nikujibu maswali kumi wakati nimekujibu kadhaaa ambayo majibu yake yanakuhitajinuyakatae kwanza sio nijibu maswali ambayo unayeuliza hujui hata kutetea unachokipinga...

nimekwambia kama ukinieleza vizuri nipo radhi kulala hapa JF leo mpaka nihakikishe umekiri au mimi nimekubali kuwa ni uongo...ili niweze kukiri basi niambie ninachokuuliza ...

Swali dogo tu...niambie source ya monoclonal genomoc ambayo inatumika kutengeneza NEW clonned DNA...!!

ukinijibu hapa basi jitajua nabishana na molecular analyst...

unless nikalale kasome upya molecular entanglement kuhusiana na genetic ambayo wanakataaa kuiweka wazi
 
ukinjibi hilo la monoclonal genomic composition nayarunda hapa JF na kuanzia leo nalog out JF sitaingia tena...

Kasome some huko google kama ukipata evidence uje hapa unambie umeelewa nini maaana ya monoclonal genomic by Non coding bases...

unafikiri kila kitu kinawekwa wasi kama unavyofikilia..??

Mtu akija kushare kitu hasa anayejielewa lazima awe na scientific bases za kuargue sasa unapokurupuka unakuja kuquote mistari kibao kisa uonekeana unajua kuuliza maswali ,inabidi ujue na kutetea unachokijua..

Nimeapa leo kujitoa JF kama utanishinda kwa hilo ila kwa facts zenye molecular proved sio story za kwenye kahawa...
 
mbona unapaniki kiongozi kesho kuanzia saa tisa nipo hapa kujibu maswali yako yote

pia mpaka sasa sijaona majibu yanayoeleweka kwenye maswali yangu

hivi kweli unaniulza non coding DNA ni kitu gan?
pia hiyo non coding DNA haina kazi yoyote coz haibebi amino acid yoyote ile wakati wa utengenezaji wa protein
 
mbona unapaniki kiongozi kesho kuanzia saa tisa nipo hapa kujibu maswali yako yote

pia mpaka sasa sijaona majibu yanayoeleweka kwenye maswali yangu

hivi kweli unaniulza non coding DNA ni kitu gan?
pia hiyo non coding DNA haina kazi yoyote coz haibebi amino acid yoyote ile wakati wa utengenezaji wa protein
sijawahi kupanic kwa scientific bases...ila ni pale unapokataaa scientific bases za wenzio...

nimekwambia kitu kimoja tu kuwa kama kweli wew ni molecular analyst nipe maelezo juu ya monoclonal genomic strands tunazotumia kufanyia cloning ...

Uzuri umeamua kuomba muda wa kutosha..nimekuruhusu nenda ukachimbe vizuri halafu utarudi hapa...

sio kubisha kitu ambacho huna maelezo nacho...
 
The life you live is only a mental projection of what your mind thinks...

Whatever to think in your mind and concetrate on that is what always comes to manifest in physical form of reality..

life is what you imagine into your mind..whatever you concetrate into your mind becomes reality under illusions..everything you see and synchronize with it comes as illusion in physical reality..

Life is a simulation of illusions..
MKuu kuzaliwa unakuzungumziaje kwa maelezo uliyoyato hapa. Mtu anapozaliwa nani anakuwa yupo ktk reflection if illusion mtoto au mzazi ?
 
sijawahi kupanic kwa scientific bases...ila ni pale unapokataaa scientific bases za wenzio...

.
wewe kama umesoma genetic na una phd isiwe shida mimi biology yangu ya advance nitakujibu nayo tuu
ila nachotaka ni fact

pia usiniambie umesoma sana ndio ukaleta huu uzi hapa c kweli ulichofanya umepakua webpage ukafanya translation nakuja kupaste hapa tena kwa kiwango kikubwa ulichokiandika hata hukijui pia kuna paragraph hapo zina kiswahili hakina hata mshikamano yaan hakieleweki

huku jf ni kufundishana kujadiliana na kuwekana sawa baadhi ya mambo so usione kama nakuandama kwenye huu uzi ila upitie uzi wako vizuri rekebisha makosa pia andaa point kesho saa tisa nipo hapa

maswali yangu jibu direct si unipe story za ngoswe kesho hiyo
 
MKuu kuzaliwa unakuzungumziaje kwa maelezo uliyoyato hapa. Mtu anapozaliwa nani anakuwa yupo ktk reflection if illusion mtoto au mzazi ?
ili uweze kuishi katika real life perception ni lazima uthink out of ilusion...

your physical perceptions zinarelay kwenyr two life form of existance..

1).Real life with no ilusion ambapo utaweza kupercive vitu katika high dimension by using subconcioua from of interpretations..here you percive things by reality na space time inakuwa collapsed ..time and space haiexist tena ..but you need to train your mind under subconcious level of realm..

2).Real life according to mental ilusion created by your concious enveronment..mara nying hapa mtu unakuwa unaexist katika low form of dimensions na hapa reality huwezi kuiona..utakuwa kila unachokifanya unasubilia majibu tofauti na real life under higher dimensions
 
wewe kama umesoma genetic na una phd isiwe shida mimi biology yangu ya advance nitakujibu nayo tuu
ila nachotaka ni fact

pia usiniambie umesoma sana ndio ukaleta huu uzi hapa c kweli ulichofanya umepakua webpage ukafanya translation nakuja kupaste hapa tena kwa kiwango kikubwa ulichokiandika hata hukijui pia kuna paragraph hapo zina kiswahili hakina hata mshikamano yaan hakieleweki

huku jf ni kufundishana kujadiliana na kuwekana sawa baadhi ya mambo so usione kama nakuandama kwenye huu uzi ila upitie uzi wako vizuri rekebisha makosa pia andaa point kesho saa tisa nipo hapa

maswali yangu jibu direct si unipe story za ngoswe kesho hiyo
hilo la kusoma sana nahisi unalisema wew mwwnyew na sijawahi kutaja elimu au kiwango changu cha elimu kama unavyofanya wewe...

kama unaona ni shida kuleta proof basi ukae ukijua hiyo elimu yako kaiongeze tena na kama umekiri kuwa unakiwango cha form 6 sijui 4 unawezaje kupinga facts walizofanya wenzio wenye PHD au unafikiri unaweza kosoa scientific analysis katoka molecular level ili hali ukiwa na form 6 ...??
mbona nazidi kukushangaaa sasa mkuu...!!?

Nini maana ya kujadiliana hapa JF ..??
hatujaja kubishana kwa elimu ila kuongezeana tips kwenye hicho unachokijua wew na mimi with evidence from realm.

halafu naomba nikwambie kitu,kama una elimu ndogo juu ya molecular analysis tusifike mbali kwa sabavu hatutaelewa kama uataenda kuleta mijadala ya form 6 kupinga kutokana na huu udhi basi you are wrong my brother..

Hivi tangu lini form 6 wamefundisha monoclonal genomic cloning ..??

Ndo mana nakwambia tusifike mbali...kama huna uelewa zaidi pita kushota kama wenzio wenye imani kama yako ,waache wenye kuhitaji kuongeza kitu wapate kitu..

sio kwa kuwa wew umeshindwa kuelewa na kuamini basi unataka kukomaaa uwaaminishe wengine kuwa unajua na umepinga kwa facts wakati hujui hiyo monoclonal cloning inavyofanya kazi..

tangu lini elimu ya form 6 imekusaidia kufanya utafiti??

kuwa muwazi kwa hili ieleze jamii kutoakana na elimu yako ya fm6 umefanya utafiti upi wa kisayansi ukaleta mashiko na kupinga za wengine..??

kama kuna mtu yoyote mwenye elimu ay F6 humu aje hapa adhibitishe kama hata lile yai la mwanamke tunalolisoma kwenye biologu kuwa kawahi kuliona kwa macho aseme..??

kwa sababu ili uweze kuliona ni lazima usome molecular analysis in relation to Reproduction..

sasa kama unasema una elimu ya form 6 unapingaje tafiti za ki PHD ??
Damn...nimekushangaaa snaa
.
 
mkuu..nahisi kiongozi akianza kukitolea ufafanuzi atalielezea vizuri..

Ila kiufupi kwenye Chaldean numerology ,namba zimeelezewa kukingana na strength ya kila namba ilivyo na nguvu ( frequency) katika kusynchronize na universal pattern energy..

kupitia Chaldean numerology utajus jinsi majina yalivyo na nguvu katika kumfanya mwanadamu awe na nguvu za kuapload knowlege somewhere( Core universal energy)..

Ndo mana wazungu wanakwambia ,be careful kumpa jina mwanao...jina unalompa mwanao linaweza affect maisha yake yote mpaka kufa..

ndo mana wanamuziki wanatumia majina mbadala tofauti na majina yao ya kuzaliwa ,kwani jina unalopewa unapozaliwa unakuwa umepewa jina ambalo wameamua tu kukupa bila kujua herufi za jina lako ambazo kila herufu inasimama na namba flani ukipiga total ya namba hizo zitakupa life pathy yako..

kwa hiyo kila life pathy ina strength kadhaaa kulingana na frequency ya energy inayotape toka universal synchronization energy system na kuufanya mwili wako uwe na high resolution ...

Kwa hiy hizo nick name unazoona wanapewa na secret societies siyo kwamba wamejitungia ,hapana ni majina ambayo ukiyaconvert unapata Numerology number flani ambayo inarepresent set flani ya key opening gateway na higher centers na kumfanya awe na nyota ya pekee snaa katika dunia hii..kila mtu atakuwa akilisikia jina hilo anakuwa na sense of plesure ya uwepo wako..

so Chaldean numerology ina mambo mazito ya siri..
Kudadeki full vyuma sichezi mbali nipo na kinoti buku.
 
Back
Top Bottom