steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Do your research vizuri kabla hujaandika kitu bro
umewapeleka chaka watu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hujalazimishwa kuamini,ukiwa mfuatiliaji wa vitu huwezi kuwa hujui nilichokizungumzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Do your research vizuri kabla hujaandika kitu bro
umewapeleka chaka watu
[emoji23][emoji23][emoji23]
jibu maswali yangu yote coz mimi ndiye nilianza kukuuliza ukimaliza kujibu basi na mimi najibu maswali yakonadhani kitu ambacho unapaswa kukifanya ni kuprovu kwanza uweo wa hizo scientific facts ambazo wamefikia mpaka wakapostulate hizo findings zao...
kiongozi pamoja ngoja tubishane kwa factAsante kwa kuja mkuu maana haya matango pori tuliokuwa tunamezeshwa vichwa vinauma afadhali umekuja kupoza maumivu kidogo....nilikuwa nauona huu Uzi kama ile hadithi ya nchi ya kusadikika
acha kupinga kwa facts ambazo ni za kisiasa...nimekuliza swali moja tu kuwa kama unakataaa hizo results za molecular analysis tupe kazi ya hizo non coding DNA bases...!!hiyo si sababu mfano mwanadamu na nyani nadhani unaamini nyani hana akili kuliko mwanadamu je kwa sababu hiyo tuseme nyani ameumbwa na mwanadamu? na baada ya hapo tuseme hiyo ni mental analytical evidence huku tukijipongeza
.
haha hivi kuna mtu alishawafanyia DNA checkup hao aliens na hata uhakika wa sehemu aliens wanapoishi hakuna sasa cjui walichunguzwa vipi hizo DNA zao
mkuu naomba utaje njia zilizotumika kufanya analysis ya aliens DNA kama utaweza kutoa hata moja inayoeleweka
mwanzo ulisema hizi non coding gene hazifanyi kazi yoyote sasa hii uliyoitaja si kazi?
pia hizi habari za kuchapa inasemekana inadhirisha wazi hakuna uhakika kwasababu kama kitu kilifnayiwa utafiti wangeonesha baada ya kufanya utafiti kwa kupitia procedure fulan tumegundua haya lakin wew kila jibu lako halikosi maneno haya (inasemekana or huenda)
mwanadamu yupi aliyekiri? kama mimi pia bado nabishana na wew hapa pia wapo na wengine kama mimi nao watabisha basi amini ni wale wanadamu wasiofikiri vizuri ndio wamekiri
wewe jaribu kusema kuna moja wapo ya mwanadamu ambaye hakuhitaji kujiongeza basi akakiri yeye ni product ya aliens
unaweza kunipa evidence kweli DNA inayofanyiwa manipulation ni ya aliens
unajibu kwa sababu hujafanya chochote katika level ya molecular...Nadhani non coding gene ipo ipo tuu, zitapotea huko mbeleni.Tukijichunguza mbona lakini tuna coded genes zisizo na faida yeyote.Mfano kwa nini nywele ziweze kuota hata kufikia metre 10 usiponyoa?Au kucha zina faida gani kwa binadamu wa kileo?Na je wanyama wengine hawana hizo non coding genes?kama wanazo je nao wanatumika kuvuna dhahabu au madini? Tutafakari
sasa kama kaz zimefanywa ukaambiwa results hizo hapo unakataaa unataka results zipi...??kiongozi pamoja ngoja tubishane kwa fact
evidence ya kwanza ni utengenezaji wa cloned species ambazo ni product ya monoclonal genomic sequence yenye asilimia kubwa kuwa na non coding bases...hiyo si sababu mfano mwanadamu na nyani nadhani unaamini nyani hana akili kuliko mwanadamu je kwa sababu hiyo tuseme nyani ameumbwa na mwanadamu? na baada ya hapo tuseme hiyo ni mental analytical evidence huku tukijipongeza
.
haha hivi kuna mtu alishawafanyia DNA checkup hao aliens na hata uhakika wa sehemu aliens wanapoishi hakuna sasa cjui walichunguzwa vipi hizo DNA zao
mkuu naomba utaje njia zilizotumika kufanya analysis ya aliens DNA kama utaweza kutoa hata moja inayoeleweka
mwanzo ulisema hizi non coding gene hazifanyi kazi yoyote sasa hii uliyoitaja si kazi?
pia hizi habari za kuchapa inasemekana inadhirisha wazi hakuna uhakika kwasababu kama kitu kilifnayiwa utafiti wangeonesha baada ya kufanya utafiti kwa kupitia procedure fulan tumegundua haya lakin wew kila jibu lako halikosi maneno haya (inasemekana or huenda)
mwanadamu yupi aliyekiri? kama mimi pia bado nabishana na wew hapa pia wapo na wengine kama mimi nao watabisha basi amini ni wale wanadamu wasiofikiri vizuri ndio wamekiri
wewe jaribu kusema kuna moja wapo ya mwanadamu ambaye hakuhitaji kujiongeza basi akakiri yeye ni product ya aliens
unaweza kunipa evidence kweli DNA inayofanyiwa manipulation ni ya aliens
umeuliza maswali yenye category napenda twende systematically...nakujibu unajibu...usitake kulazimishwa nikujibu maswali kumi wakati nimekujibu kadhaaa ambayo majibu yake yanakuhitajinuyakatae kwanza sio nijibu maswali ambayo unayeuliza hujui hata kutetea unachokipinga...jibu maswali yangu yote coz mimi ndiye nilianza kukuuliza ukimaliza kujibu basi na mimi najibu maswali yako
sijawahi kupanic kwa scientific bases...ila ni pale unapokataaa scientific bases za wenzio...mbona unapaniki kiongozi kesho kuanzia saa tisa nipo hapa kujibu maswali yako yote
pia mpaka sasa sijaona majibu yanayoeleweka kwenye maswali yangu
hivi kweli unaniulza non coding DNA ni kitu gan?
pia hiyo non coding DNA haina kazi yoyote coz haibebi amino acid yoyote ile wakati wa utengenezaji wa protein
MKuu kuzaliwa unakuzungumziaje kwa maelezo uliyoyato hapa. Mtu anapozaliwa nani anakuwa yupo ktk reflection if illusion mtoto au mzazi ?The life you live is only a mental projection of what your mind thinks...
Whatever to think in your mind and concetrate on that is what always comes to manifest in physical form of reality..
life is what you imagine into your mind..whatever you concetrate into your mind becomes reality under illusions..everything you see and synchronize with it comes as illusion in physical reality..
Life is a simulation of illusions..
wewe kama umesoma genetic na una phd isiwe shida mimi biology yangu ya advance nitakujibu nayo tuusijawahi kupanic kwa scientific bases...ila ni pale unapokataaa scientific bases za wenzio...
.
ili uweze kuishi katika real life perception ni lazima uthink out of ilusion...MKuu kuzaliwa unakuzungumziaje kwa maelezo uliyoyato hapa. Mtu anapozaliwa nani anakuwa yupo ktk reflection if illusion mtoto au mzazi ?
hilo la kusoma sana nahisi unalisema wew mwwnyew na sijawahi kutaja elimu au kiwango changu cha elimu kama unavyofanya wewe...wewe kama umesoma genetic na una phd isiwe shida mimi biology yangu ya advance nitakujibu nayo tuu
ila nachotaka ni fact
pia usiniambie umesoma sana ndio ukaleta huu uzi hapa c kweli ulichofanya umepakua webpage ukafanya translation nakuja kupaste hapa tena kwa kiwango kikubwa ulichokiandika hata hukijui pia kuna paragraph hapo zina kiswahili hakina hata mshikamano yaan hakieleweki
huku jf ni kufundishana kujadiliana na kuwekana sawa baadhi ya mambo so usione kama nakuandama kwenye huu uzi ila upitie uzi wako vizuri rekebisha makosa pia andaa point kesho saa tisa nipo hapa
maswali yangu jibu direct si unipe story za ngoswe kesho hiyo
Kuna vya kuhoji sio kukomoana.Elimu inayotolewa bila kuhoji haifai
Hapa Jf ni pahala husika kabisa kwa mtu kama yeye_usimkimbize
Kudadeki full vyuma sichezi mbali nipo na kinoti buku.mkuu..nahisi kiongozi akianza kukitolea ufafanuzi atalielezea vizuri..
Ila kiufupi kwenye Chaldean numerology ,namba zimeelezewa kukingana na strength ya kila namba ilivyo na nguvu ( frequency) katika kusynchronize na universal pattern energy..
kupitia Chaldean numerology utajus jinsi majina yalivyo na nguvu katika kumfanya mwanadamu awe na nguvu za kuapload knowlege somewhere( Core universal energy)..
Ndo mana wazungu wanakwambia ,be careful kumpa jina mwanao...jina unalompa mwanao linaweza affect maisha yake yote mpaka kufa..
ndo mana wanamuziki wanatumia majina mbadala tofauti na majina yao ya kuzaliwa ,kwani jina unalopewa unapozaliwa unakuwa umepewa jina ambalo wameamua tu kukupa bila kujua herufi za jina lako ambazo kila herufu inasimama na namba flani ukipiga total ya namba hizo zitakupa life pathy yako..
kwa hiyo kila life pathy ina strength kadhaaa kulingana na frequency ya energy inayotape toka universal synchronization energy system na kuufanya mwili wako uwe na high resolution ...
Kwa hiy hizo nick name unazoona wanapewa na secret societies siyo kwamba wamejitungia ,hapana ni majina ambayo ukiyaconvert unapata Numerology number flani ambayo inarepresent set flani ya key opening gateway na higher centers na kumfanya awe na nyota ya pekee snaa katika dunia hii..kila mtu atakuwa akilisikia jina hilo anakuwa na sense of plesure ya uwepo wako..
so Chaldean numerology ina mambo mazito ya siri..