Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Mkuu wanasayansi wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanalinda kile walichotuamisha ili tusijejua kua ni fiction . Kwa mfano dunia haina kitu kinachoitwa ncha ya kaskazini wala ya kusini ni propaganda zenye lengo la kusisitiza kuwa duania ni Duara ilhali ni tambarare!! So kwa mantiki hiyo hakuna tobo lolote na kama lipo halipo kwenye ncha bali ni pango kama mapango mengine tu. Lakini wazungu wana uhusiano mkubwa na fallen Angels ambazo kwasasa ni roho chafu zizagaazo duniani, hawa fallen angel ndio wazungu hutupotosha kuwa ni viumbe toka gallax nyingine(ambayo haipo pia) ili tuchukulie poa tu.
huyu people ana mawazo madogo xana,,,,,,if the whole universe comprises of all the low minded people like this,,,hata cjui tungekuwa jukwaa gani kwa sasa,,,,back to schoool,,, kama unahitaj kuishi maisha ya raha bac jarbu kutumia kile ulichonacho vizuri na kwa ufasaha,,,starting with the precise use of youe IQ.
 
huyu people ana mawazo madogo xana,,,,,,if the whole universe comprises of all the low minded people like this,,,hata cjui tungekuwa jukwaa gani kwa sasa,,,,back to schoool,,, kama unahitaj kuishi maisha ya raha bac jarbu kutumia kile ulichonacho vizuri na kwa ufasaha,,,starting with the precise use of youe IQ.
Mkuu we mawazo yako yako wapi mbona unamponda tu jamaa? hayo ndo mawazo yake toa yakwako
 
I salute you Mkuu,hongera sana [emoji1474][emoji1474][emoji1305][emoji1319] umeandika vizuri sana na ukweli sana.Ni wachache sana tutakuelewa.Unapatikana wapi mkuu?unaishi wapi na unajihusisha na nini?
Asingetumia fake id
 
Mkuu wanasayansi wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanalinda kile walichotuamisha ili tusijejua kua ni fiction . Kwa mfano dunia haina kitu kinachoitwa ncha ya kaskazini wala ya kusini ni propaganda zenye lengo la kusisitiza kuwa duania ni Duara ilhali ni tambarare!! So kwa mantiki hiyo hakuna tobo lolote na kama lipo halipo kwenye ncha bali ni pango kama mapango mengine tu. Lakini wazungu wana uhusiano mkubwa na fallen Angels ambazo kwasasa ni roho chafu zizagaazo duniani, hawa fallen angel ndio wazungu hutupotosha kuwa ni viumbe toka gallax nyingine(ambayo haipo pia) ili tuchukulie poa tu.
Walinde for what purpose

African bhana
 
Mtazamo wangu

Hakuna kitu kama hichi ,ni kwamba binadamu wachache wanachelewesha mjadala wa kuijua asili yetu kwa kutunga majibu (of which is not bad) tatizo wanayaundia ulinzi yasihojike ,madini yaliyoanguka ,almas zote hupatikana palipo na volcanic activity zamani so zinapoanguka zilichagua maeneo hayo ,binadamu anafanana 80% na wenzie manyabi yenye ma spicies kibao ,so hao jamaa wao waliunda binadamu tu ,afu mambo ya uchimbaji madini sio jambo la kale ushaidi upo hata moto tuligundua juzi juzi hao magenious wakuwa wapi,Jamani tuendelee na mjadala alliens ni nzuri kwa movie tu
 
Wana aibu tu
Ilikuaje mpaka hayo madini yakaangukia ktk sayari -Dunia?.

Kwann yasinge angukia ktk sayari zingine?.

Hao aliens walitokea wapi?, je, walijiumba?.

Tunaambiwa wananguvu na akili kuliko sisi, kwanini wanajificha? Je, wanatuogopa?. Au wana aibu?.
 
Mtazamo wangu

Hakuna kitu kama hichi ,ni kwamba binadamu wachache wanachelewesha mjadala wa kuijua asili yetu kwa kutunga majibu (of which is not bad) tatizo wanayaundia ulinzi yasihojike ,madini yaliyoanguka ,almas zote hupatikana palipo na volcanic activity zamani so zinapoanguka zilichagua maeneo hayo ,binadamu anafanana 80% na wenzie manyabi yenye ma spicies kibao ,so hao jamaa wao waliunda binadamu tu ,afu mambo ya uchimbaji madini sio jambo la kale ushaidi upo hata moto tuligundua juzi juzi hao magenious wakuwa wapi,Jamani tuendelee na mjadala alliens ni nzuri kwa movie tu
Beyond the white space ,itazame kwa code sana kisha utaelewa na kuna uhalisia ...

Only the mesage encoded in the movies can be interpreted by the ellite one,sio hao manyema weusi...

We enjoy the Fantasy in the movie bila kujua kinachoongeleka..


Mkuu wakati mwingine tusikalie kusema kuwa ni fiction...kumbuka hata hii civilization ya technology tuliyonayo iliportrayiwa kwenye SCI-FI movies miaka ya zamani sana...

unaifahamu movie ya kwanza ambayo walikuwa wanatumia smartphone?? unajua ilikuwa ni mwaka gani....??

lakini kizazi cha wakati ule kiliamini hakuna maisha yale...but who can go beyond the past and tell them the stage we are...?? nomaaa mzeee...



Movie kama movie zinatoa ujumbe kwa codes maalumu ndani yake...

Zina portray ujumbe uliofichwa kwa siri sana...

usiziangalie hizo movie kwa juu juu hata kama ni fiction..

Zinaelezea mambo kwa code sana mzee...

Sio kwamba 100% kila movie ina reality...but kuna ujumbe ndani wana portray...

Swali ambalo unaweza kujiuliza ni kwamba "Are we olone in this universe?? with such a singular conciousness...??


Something beyond our white space
 
Beyond the white space ,itazame kwa code sana kisha utaelewa na kuna uhalisia ...

Only the mesage encoded in the movies can be interpreted by the ellite one,sio hao manyema weusi...

We enjoy the Fantasy in the movie bila kujua kinachoongeleka..


Mkuu wakati mwingine tusikalie kusema kuwa ni fiction...kumbuka hata hii civilization ya technology tuliyonayo iliportrayiwa kwenye SCI-FI movies miaka ya zamani sana...

unaifahamu movie ya kwanza ambayo walikuwa wanatumia smartphone?? unajua ilikuwa ni mwaka gani....??

lakini kizazi cha wakati ule kiliamini hakuna maisha yale...but who can go beyond the past and tell them the stage we are...?? nomaaa mzeee...



Movie kama movie zinatoa ujumbe kwa codes maalumu ndani yake...

Zina portray ujumbe uliofichwa kwa siri sana...

usiziangalie hizo movie kwa juu juu hata kama ni fiction..

Zinaelezea mambo kwa code sana mzee...

Sio kwamba 100% kila movie ina reality...but kuna ujumbe ndani wana portray...

Swali ambalo unaweza kujiuliza ni kwamba "Are we olone in this universe?? with such a singular conciousness...??


Something beyond our white space
Mkuu umenikumbusha movie moja ya kitambo sana ilikuwa wanapigiana cm halafu wanaonana kabla hizi smart phone hatuzijui kabisa kama zitaingia, na kuna moja haina miaka mingi ila nimeisahau jina jamaa wanawasiliana kwa viganja bila ya cm , baadae naona hakutakuwa na cm tena ni viganja tu ndani kwa ndani.
 
Mkuu wanasayansi wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanalinda kile walichotuamisha ili tusijejua kua ni fiction . Kwa mfano dunia haina kitu kinachoitwa ncha ya kaskazini wala ya kusini ni propaganda zenye lengo la kusisitiza kuwa duania ni Duara ilhali ni tambarare!! So kwa mantiki hiyo hakuna tobo lolote na kama lipo halipo kwenye ncha bali ni pango kama mapango mengine tu. Lakini wazungu wana uhusiano mkubwa na fallen Angels ambazo kwasasa ni roho chafu zizagaazo duniani, hawa fallen angel ndio wazungu hutupotosha kuwa ni viumbe toka gallax nyingine(ambayo haipo pia) ili tuchukulie poa tu.
Wanasayansi wapi unaowazungumzia wewe...??

Hivi kwanini hujiweki kwenye hilo kundi mzee...??

Wanabaki kuwa ni unknown people...??

mzee kuna mambo yanarun behind the scene ...

hao wanasayansi wasiojulikanai ni kina nani...kwamba hao bongo zao zipo tofauti na wewe...??

we umefanya jambo gani ambalo lipo njiani to be approved??

Ngoja nikwambie kitu how inversions of technology inavyokuwa...!!

Unaambiwa hivi ,the white people have already in contact with other civilized races na symbiotic contact ni more beneficial kwa kuahidiwa civilization ya juu sana but under several stages...

Hakuna mwanasayansi anaekaaa chini na kuumiza akili kuvumbua vitu,wanachofanya ni kupewa pattern kisha kuzifanyia interpretation ya ujumbe uliopo ndani...

Every technology has code behind its process...

Everything is donated by other intelligent races under codes...

Maelekezo yote yapo kwenye codes maalumu...

Elimu zote za technology zipo kwenyre mtiriko maalumu and you have to follow the sequence of codes bila kujump quantum phase yoyote..

Huwezi ukajenga fly over ambayo haina njia ambayo ni physical way bila kujenga ambayo ni physical way kwanza...codes ndo zinakuelekeza nini cha kufanya...

They study and interprete the mesage behind ndo wanafanya reality yake ,ndo mana kuna errors nying sana kwenye advancement ya kitu chochote kwa sababu katika kusoma codes kuna kumisinterpretation na hapo ndipo jaribio mbalimbali za kisayansi zinarudiwa ili kuendana na kile kilichoelezewa under codes...

Kila maisha yana code zake ..its matter of time to read and interprete..

Msahafu unaelezea options to survive umeweka mambo bayana kwa codes ..

unafikiri hata hao wanasayansi wanajiamlia kuzama underground kuchimba gas kwa akili yao? kuna mazingira yanawaongoza namna ya kupata artificial energy resources and the map to get them is by this mechanism and so on...

Ila hao wakija huku wanatwambia wanaumiza akili...ONLY FEW CAN understand that..

Utofauti wa kimaendeleo unakuja pale watu flani kwenye nchi flani wanapowazidi spidi ya kuinterprete codes na kuweka into practize kuzidi nchi zingine..

Usione kwanini nchi za wenzetu wanashindana technology ni kwa sababu wanashindana kwenda na sequence ya kuzitambua codes zinazoelezea flow ya sequence ya reality ilivyo..
There is no way utaattain a certain level of conciousness bila kupitia hatua flani...everything has been put under sequencial format ,no jump,ni lazima upitie mazingira ambayo mwenzio aliyekutangulia kashapita interms of technology kwani sequence ipo inayokulazimu ufanye hizo...

Hapo ndo utaamini kweli kuwa no option to survive..we must pass under certain system codes .

Kama ilivyo laws of nature,pia kuna law inayogiovern civilization but encoded under codes...

Nchi kama CHINA zina interprete codes kwa kasi sana wapo mbali mpaka nchi wa magharibi zinashangaaa ,lakini there is no way out lazima wapite anapopita kwani sequence ndo inasema hivo na hata kama watafanya in oposite lakini lazima wawe mulu mule..

Wana picha kamili ya civilization ya miaka 100 ijayo ,lakini they can not jump the seqence...hiyo speed ni kwa sababu kila civilization phase ina maisha yake ,so they have appetite to taste the life of a particula r civilization phase.


your speed and interpretation will be your best mover..

Ramani inasoma kuwa you can pass beyond your current life,.

Kwa mfano umeitazama Movie ya The black panther,kuna hizo fly over za juu ambazo hakuna njia lakini treni zinapita bila kugusa kitu chochote means zinatumia Ant gravity mechanism ,

Ni tofauti na vyombo vingine ambayo vinatumia gravity laws mechanics ,lakini anti gravity mechanics haihitaji njia ya kupita ,only magnetic fild passways.

Tayari serikali ya Korea kusini hasa jiji la Seoul wapo kwenye mkakati wa kujenga hizo fly pass over ambapo tren itakuwa inatumia njia za magnetic fild na sio mataluma kama yetu huku.Yani treni itakuwa inapaa kama ndege,its amazing aise...

Yani its like kusema kuwa hakuna njia physically ila tren inakuwa inapita hewani( magnetic fild passway)

Manake jamaaa pia wapo mbali katika kuinterprete jinsi msahafu wa codes unaoelezea phase za civilization ambayo mwanadamu anaweza pitia kabla hajafa...

There is a number of uncountable sequence life ambazo the universe has given to us ,kazi yako ni kuinterprete hizo mambo kisha kuweka into practise...

Mambo hayaji hivi hivi,there is a sequence to follow..

Its like a game playing in the phone kuwa huwezi pita njia flani kabla ya kugonga kete flani...

Thats how scientists do...

Beyond the white space kuna mambo
 
Mkuu umenikumbusha movie moja ya kitambo sana ilikuwa wanapigiana cm halafu wanaonana kabla hizi smart phone hatuzijui kabisa kama zitaingia, na kuna moja haina miaka mingi ila nimeisahau jina jamaa wanawasiliana kwa viganja bila ya cm , baadae naona hakutakuwa na cm tena ni viganja tu ndani kwa ndani.
Thats how the seqence wants you to follow...
noma mzeee..
Kardashev scale inakuelezea kwa juu juu kuwa we must pass under some sequence before the higher civilization...

No jump,no option..
Ndo mana nchi za Africa huwezi jump stage yoyote ya maendeleo bila kupitia hizo sequence ..

Hizo fly over anazokazana kujenga mkuu wenzetu washaachana nazo kitambo sana ..ni miaka ya 1970 huko ..

Ukijua codes za civilization hupaswi kumwelewesha mtu inabidi umuuzie namna ya kuinterprete codes...

Tunauziwa interpreted codes kwa gharama kubwa sana..

Kuna watu wananufaika sana na haya maisha ila sio sisi...
 
Thats how the seqence wants you to follow...
noma mzeee..
Kardashev scale inakuelezea kwa juu juu kuwa we must pass under some sequence before the higher civilization...

No jump,no option..
Ndo mana nchi za Africa huwezi jump stage yoyote ya maendeleo bila kupitia hizo sequence ..

Hizo fly over anazokazana kujenga mkuu wenzetu washaachana nazo kitambo sana ..ni miaka ya 1970 huko ..

Ukijua codes za civilization hupaswi kumwelewesha mtu inabidi umuuzie namna ya kuinterprete codes...

Tunauziwa interpreted codes kwa gharama kubwa sana..

Kuna watu wananufaika sana na haya maisha ila sio sisi...
Haiingii akilini kabisa kwa kusema ni akili ya kawaida kuna kitu wanaficha,haiwezekani mim niko TZ niongee na mtu yuko US kwa saa hiyohiyo dk hizohizo na second,au hizi smartphone juu kuna kioo lakin vitu vya ndani vinasogea kwa kutumia kidole!na vingine vingi vya kushangaza.
binaadam wote tuko sawa lakin kwanin wagundue wao peke yao?tukisema wazungu wametuzidi akili sisi weusi bado utajiuliza kwanini hata hao wazungu sio wote wanaovumbua vitu ni wachache?kuna kitu bwana na tukiwa wengi tunaojiuliza haya maswali lazima tutapata jibu,tatizo letu sisi ni watu wakuridhika hatujiulizi maswali sisi nikutumia tu kwa gharama yyte watakuja kutengeza vitu vinavyochanganywa na viungo vya binadam tutatumia tu.
 
Haiingii akilini kabisa kwa kusema ni akili ya kawaida kuna kitu wanaficha,haiwezekani mim niko TZ niongee na mtu yuko US kwa saa hiyohiyo dk hizohizo na second,au hizi smartphone juu kuna kioo lakin vitu vya ndani vinasogea kwa kutumia kidole!na vingine vingi vya kushangaza.
binaadam wote tuko sawa lakin kwanin wagundue wao peke yao?tukisema wazungu wametuzidi akili sisi weusi bado utajiuliza kwanini hata hao wazungu sio wote wanaovumbua vitu ni wachache?kuna kitu bwana na tukiwa wengi tunaojiuliza haya maswali lazima tutapata jibu,tatizo letu sisi ni watu wakuridhika hatujiulizi maswali sisi nikutumia tu kwa gharama yyte watakuja kutengeza vitu vinavyochanganywa na viungo vya binadam tutatumia tu.
ni kweli sio wote...

Hata wao walioko huko wanaona tu inversions za maaana ila wanashindwa kuwekwa wazi .


ndo mana nikasema kuwa kuna kitu nyuma ya pazia...sio bure...
 
Haiingii akilini kabisa kwa kusema ni akili ya kawaida kuna kitu wanaficha,haiwezekani mim niko TZ niongee na mtu yuko US kwa saa hiyohiyo dk hizohizo na second,au hizi smartphone juu kuna kioo lakin vitu vya ndani vinasogea kwa kutumia kidole!na vingine vingi vya kushangaza.
binaadam wote tuko sawa lakin kwanin wagundue wao peke yao?tukisema wazungu wametuzidi akili sisi weusi bado utajiuliza kwanini hata hao wazungu sio wote wanaovumbua vitu ni wachache?kuna kitu bwana na tukiwa wengi tunaojiuliza haya maswali lazima tutapata jibu,tatizo letu sisi ni watu wakuridhika hatujiulizi maswali sisi nikutumia tu kwa gharama yyte watakuja kutengeza vitu vinavyochanganywa na viungo vya binadam tutatumia tu.

Dini ndo inatuvuruga watu weusi. Ndo mana tunashindwa kujua future yetu na kushindwa kusoma code, sababu watu wanaamini kila kitu ni chimbuko la mungu.
Wazungu wamefanikiwa sana katika hilo.
 
Dini ndo inatuvuruga watu weusi. Ndo mana tunashindwa kujua future yetu na kushindwa kusoma code, sababu watu wanaamini kila kitu ni chimbuko la mungu.
Wazungu wamefanikiwa sana katika hilo.
Kweli mkuu na vitu muhim wameviweka huko kwenye dini ukitaka kuoa lazima shekhe au padri ahusike na ukifa wahusika ni wao kama haupo kwenye dini hizo huduma utazipata kwa tabu, kungekuwa na watu nutro wanafanya hizo huduma huu ujinga ungeondoka,kuna baadhi ya makanisa wamefanya ni miradi kabisa ya kujipatia kipato hata ukikubali hizo dini bado utaambiwa usipotoa michango hizo huduma hupati na mwanao sijui habatizwi mradi watu wasitoke humo kwenye hilo box linaloitwa dini.
 
Kweli mkuu na vitu muhim wameviweka huko kwenye dini ukitaka kuoa lazima shekhe au padri ahusike na ukifa wahusika ni wao kama haupo kwenye dini hizo huduma utazipata kwa tabu, kungekuwa na watu nutro wanafanya hizo huduma huu ujinga ungeondoka,kuna baadhi ya makanisa wamefanya ni miradi kabisa ya kujipatia kipato hata ukikubali hizo dini bado utaambiwa usipotoa michango hizo huduma hupati na mwanao sijui habatizwi mradi watu wasitoke humo kwenye hilo box linaloitwa dini.
balaaaaa
 
Mi nimeamua kukuunga mkono ingawa sina ushahidi 100% na ulichofundisha.

Mi huwa naamini kisichoaminiwa na wengi na huwa siamini kinachoaminika na wengi. Na ukijiona umepata elimu isiyoaminika na jamii, ujue your chosen one.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua[emoji1]
Mimi siamini katika dini, am a chosen one
 
Mkuu hivi ni kwa nini dini imekua ni muongozo wa binadam hususan huku Afrika.
Mana inakua ngumu mno kwa watu wengi kufikiria nje ya dini japokua tumeletewa lakini watu hawataki kubadilika. WHY?!
Mana kwa mtazamo wangu naona dini ndo inatufanya tuwe controlled
mkuuu..upo sahihi...

njia nzuri ya kuwacontrol watu ni kuwapumbaza kutohoji mambo...

Kufungwa ili usitoke nje ya box..

Dini ni kitu pekeee kinachomkeep bize mwanadamu asihoji free will yake na kumfanya asitambue nguvu iliyo ndani mwake hasa katika kufanya maamuzi kama personal aspect of the universe...
 
Back
Top Bottom