Habari mkuu hao aliens ni aina gani!?.....alafu sasa kama aliens wametuumba inamaana ni miungu yetu hiyo inatujua nje ndani na inaweza fanya chochote itakavyo...sasa inakuaje wanakuja kuingia mkataba wa makuɓaliano na sisi viumbe ilivƴotuumba ...(mkataɓa wa makaratasi!!??)..maana inajulikana miaka ƴa 1930 Rais wa U.S.A Franklin Roosevelt alikubaliana na viumbe hao kuhusu mambo mbali mbali ƴenƴe faida ƴa ƙila upande ,kama kufichiana siri uwepo wa viumbe hao , kulinda malango ƴao, kubadilishana technology kwa madini hasa hasa copper, aliens pia wanachukua watu na kuwafanyia experiments kwenƴe laboratory zao pasipo ɗunia kujua kama ripoti ya( The Center of Missing anɗ Exploiteɗ Children ) inasimamiwa na serikali kwa U.S.A tu idadi ƴa watoto kupotea kwa makadirio ni takribani 300,000 kwa mwaka hao ni watoto tu na kuna ripoti za watu wazima pia kupotea za maelfu..huo n mfano tu ..sasa utajiuliza ni experiment tu zinafanyika au kuna venginevƴo!!....kuna ripoti mɓali mɓali zinadai ukiachia hizo DNA experiments pia wanafanƴa cloning ,human phƴsic research ,visual and audio chip implantation ,advanced minɗ control ,human/animal crossbreeɗing, na pia kufanƴa binadamu kuwa kama chakula chao hasa hasa watoto.
Kuna pia taarifa za kuwepo kwa undergrounɗ bases na cities wanaishi hao aliens amɓapo moja ƴa lango kuingilia huko ni area 51 moja wapo ni The Dulce base.
Dulce ni mji mdogo uko new mexico Marekani amɓapo inaripotiwa wakazi wa huko wanaona hizo UFO zikipita angani japo kwa kasi ƴa ajabu walishuhudia mwanga wa taa za UFO hizo na kuripoti ..mwaka 2016 walikutana na kujaɗili kuhusu swala hilo kwenƴe maeneo haƴo.
Kwa mujiɓu wa mfanƴabiashara Paul Bennewitz mmoja wa mashuhuda aligunɗua uwepo wa undergrounɗ base hiƴo baada kugunɗua muingiliano ƴa njia ya mawasiliano na alien spacecraft /UFO ...mwaka 1980 UFOlogist John Lear alitoa makala juu ƴa uwepo wa base hiyo kwenƴe nakala ƴa gazeti la 'Weekly World News' ƴenƴe kichwa cha habari "UFO Base Found in New Mexico"....zaidi unaweza fuatilia "Ancient Aliens Season 2, Episode 4 ".
Pia aliyekuwa US government geologist na engineer Phil Schneider amɓaƴe ameshiriki katika project kama "Philladephia Experiment" na ujenzi wa undergrounɗ militarƴ bases aliandika kuwa serikali iliinga mikataba miaka tofauti na grey aliens 1944,1954,1962,1979,....
Kutokana na shughuli zake hizo mwaka 1979 alishuhudia uwepo wa vifaa vya kisasa kivita na askari wa Mareƙani na greƴ aliens waliishi humo, vƴumba vya magereza zaidi ƴa 100,000 vyenye uwezo wa kuhifadhi binadamu million 15.! Matukio haƴo alichukua katika picha na kuhifaɗhi kwenƴe notebook...ɓaada ƴa ƙutoka kwenƴe kazi hizo na kabla ƴa kuamua kuanika ɓaadaƴe siri hizo kwenƴe vitabu na nakala za picha kuuza info ..mwaka 1996 iliripotiwa alikufa kwa kujiua na nakala zake zilipotea/kuiɓwa na mpaka leo hazijulikani zilipo.
Shuhuda mwengine ni Thomas castello..alikuwa (a photo security specialist in the Dulce installation), ambaƴe alitoa picha alizoɗai zimepigwa kwenƴe base hiƴo ziliposamɓaa kwa 'UFO researchers' miaka ƴa 1980 ..baadaye ikaja taarifa kuwa ye na familia ƴake haijulikani ilipo (japo inadaiwa halikuwa jina lake halisi kutokana na taarifa alizokuwa akiwapa 'UFO researchers' .....miaka ƴa 2000 baadaƴe picha ikaja onekana kwenƴe movie ƴa Arnolɗ Schwarzennegger inayoitwa The 6th day 'ilisetiwa' kama '3D picture' ...amɓapo kuna scene ƴenƴe ufanano sawa na picha za thomas...ƴa juu ƴa thomas ƴa chini ni picha ƴa scene mojawapo ƴa Arnolɗ[emoji1541]
View attachment 1018861
Sent using
Jamii Forums mobile app