PROOF: Kenyans love Tanzanian Music than Kenyan Music

Sikiliza Kitu kutoka kwa Dogo
ujue kabisa Bongo inavipaji
mtu akiimba kuhusu Mapenzi kubembeleza kweli Mashairi yanatulia



Njoo kwa wenzetu eti DAWA YAMOTO NI MOTO HAHAHA Kuna vita
music sio vita mdundo mkuubwa mashairi Ziro
Mwingine anaimba mi uweka weka...weka pesa kwenye bank kisha nacheeka.

Nkajiuliza anachekea nini huyu jamaa sasa? Yaani akiweka pesa tu bank then anacheka hovyo hovyo kama baamedi kapata sehemu ya kulala usiku? Loh!

Kenyans you are done musically.
 
yah nimekuelewa.upo sahii.
speaking of music diversity, tz is not left behind.ushawahi sikia
dar choral society?.

it's a group of different professionals who do classical music in dar.
very talented and well organized classical music performers in tanzania and east africa(I'm not sure about east africa though)
check their stuff on YouTube or follow them via their official page in fb
 
huwafahamu dogo janja na young killer yet umewataja kwa comment yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
47. Kassim Mganga (Tajiri wa mahaba)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…