mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Uliona wapi timu ikakataa kuuza tickets? nipo Rwanda tickets zinauzwa ki electronic wewe upo huko Tandahimba una bwatuka tu kama chizi1. Zile ni COSTER na si mabus.
Tumedanganywa kwa Muda mrefu kuwa ni mabus kumbe fix.
2. Mwenye maamuzi ya kuuza Tiketi ni timu Mwenyeji akiamua kutokuuza yanga hawaingii uwanjani.
3. Yanga ni Bora kuliko MAMelody.
Kule wenye akili timamu ni wawili tu.
Yanga wanapewa tiketi hizo ni taratibu za CAF na FIFA hakuna maamuzi ya timu hapo. Watatoa ila tu hawatazidisha kiasi kinachotakiwa.1. Zile ni COSTER na si mabus.
Tumedanganywa kwa Muda mrefu kuwa ni mabus kumbe fix.
2. Mwenye maamuzi ya kuuza Tiketi ni timu Mwenyeji akiamua kutokuuza yanga hawaingii uwanjani.
3. Yanga ni Bora kuliko MAMelody.
Kule wenye akili timamu ni wawili tu.
kigali ina mahoteli mengi sana na ufahamu kuwa,kunaxwageni huenda huko kila mwaka kutembelea makanisa ya roman catholic ni mengi kuzidi hayoTunaenda na mabasi 80 yaliyojaa,
Kila basi Lina avarage ya 55 passengers ..so total kwa basi 80 n 4,400 na kila abiria aliambiwa anaandae 50k ya hotel na sio lodge, bado Kuna wale wataoenda na ndege na private cars approximately 5000 Guests in Kigali.
Je Kigali yenye yenye watu 1M inaeza kuaccomodate ugeni wote huo? Hayo mahotel yapo? Hapo hatujazungumzia wageni wataotoka Sudan.
NB: Mgeni (Guest team ) hua inapewa fixed ticket less than 2.5%, je El merekh watalogwa watoe tickets more than 25% kwa wageni? Huoni itawacost? Ingekua wananjaa na maokoto c ingepigwa dar wanaokota Zaid?
Kick ya Safari ya Zambia imekufa kifo cha mendeNyinyi mmezidi uzuzu acheni mdanganywe
Basi au Costa.Tunaenda na mabasi 80 yaliyojaa,
Kila basi Lina avarage ya 55 passengers ..so total kwa basi 80 n 4,400 na kila abiria aliambiwa anaandae 50k ya hotel na sio lodge, bado Kuna wale wataoenda na ndege na private cars approximately 5000 Guests in Kigali.
Je Kigali yenye yenye watu 1M inaeza kuaccomodate ugeni wote huo? Hayo mahotel yapo? Hapo hatujazungumzia wageni wataotoka Sudan.
NB: Mgeni (Guest team ) hua inapewa fixed ticket less than 2.5%, je El merekh watalogwa watoe tickets more than 25% kwa wageni? Huoni itawacost? Ingekua wananjaa na maokoto c ingepigwa dar wanaokota Zaid?
Huwa nakuamini Sana lakini Leo ushabiki umekufanya kipofu. FIFA/CAF Wanaamini soka ni mchezo wa watu. Huwezi kuamka asubuhi ukasema sitaki watu wewe mwenyewe haipo kasome kanuni.1. Zile ni COSTER na si mabus.
Tumedanganywa kwa Muda mrefu kuwa ni mabus kumbe fix.
2. Mwenye maamuzi ya kuuza Tiketi ni timu Mwenyeji akiamua kutokuuza yanga hawaingii uwanjani.
3. Yanga ni Bora kuliko MAMelody.
Kule wenye akili timamu ni wawili tu.
Coaster ni bus.Basi au Costa.
Min busCoaster ni bus.
U Simba na Yanga unawatoaga akili mini bus maana yake bus dogo sasa mnapambana nini?Min bus
Hivi katika hali ya kawaida kabisa!! Mji wowote ule hapa duniani unaweza kweli kudhindwa kuwa accomodate watu 5000!!! Kweli?Tunaenda na mabasi 80 yaliyojaa,
Kila basi Lina avarage ya 55 passengers ..so total kwa basi 80 n 4,400 na kila abiria aliambiwa anaandae 50k ya hotel na sio lodge, bado Kuna wale wataoenda na ndege na private cars approximately 5000 Guests in Kigali.
Je Kigali yenye yenye watu 1M inaeza kuaccomodate ugeni wote huo? Hayo mahotel yapo? Hapo hatujazungumzia wageni wataotoka Sudan.
NB: Mgeni (Guest team ) hua inapewa fixed ticket less than 2.5%, je El merekh watalogwa watoe tickets more than 25% kwa wageni? Huoni itawacost? Ingekua wananjaa na maokoto c ingepigwa dar wanaokota Zaid?
kwahiyo page officials za yanga wali post coaster au mabasi?Coaster ni bus.
Bado hujasemaU Simba na Yanga unawatoaga akili mini bus maana yake bus dogo sasa mnapambana nini?