Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Mudawote , kwa vile Mama Samia sio malaika, ni binadamu, hivyo anaweza kukosea, unaonaje kama utamtajia makosa yake na kushauri the right thing to do, ili arekebishe awe the best president kuwahi kutokea?.Narudia kusema Rais Samia nafasi anayo kubwa sana ya kurekebisha makosa yake na akawa the best president kuwahi kutokea Tanzania.
Kwa sababu wewe ni member wa rukuma gang na responsibility kuwatetea katika social media na ku advance their causes.. Mfano mzuri uli support Uzi wa ndegebya mizigo KiA hata bila kuchunguza kwa umakini sana na ukajivisha joho la uzalendo. Lakini ukiingia youtube ipo clip yake juu yanujio wa ndege ile. Na habari zozote bazo zina undermine mama basi unakuwa unatafuna huku unapuliza..Move on guys jamaa yenu amefariki na siyo kama Yeye alikuwa ni baba wa familia ya kuwa amewacha USIA watoto wake lazima waufuate...na bahati mbaya hatorudi tenaIn reality hakuna hili kundi linaloitwa Sukuma Gang, ni just a fictitious group in people's minds za watu waliofilisika kisiasa!. Siamini kama Rais Mama Samia amechukua maamuzi yoyote kwasababu ya dhana hii ya Sukuma Gang, kwasababu Samia sio muflis!. Ila kwa vile baadhi ya waliotumbuliwa ni watu wa JPM, Bashiru, Polepole, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, no vizuri Mama akawa muwazi kwanini amewaondoa, nilishauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
kasome kwanza ule waraka wa prof shivjFAMILIA ya WATU WAZURI HAWAFI baada ya Rais Samia kuingia madarakani ilimtengezea kitu kinaitwa SUKUMA GANG kwa lengo la kumtenganisha na watu wote waliowahi kufanya kazi kwa uadilifu na matokeo chanya na Hayati John Magufuli.
Watu hao ni miongoni mwao ni Job Ndugai, Polepole, Bashiru, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, IGP Sirro na wengine wengi
Swali je Kampeni ya SUGUMA GANG imeishia wapi tunapokwenda 2023?
Atafutwe C Musiba huenda anamajibu mazuru.!FAMILIA ya WATU WAZURI HAWAFI baada ya Rais Samia kuingia madarakani ilimtengezea kitu kinaitwa SUKUMA GANG kwa lengo la kumtenganisha na watu wote waliowahi kufanya kazi kwa uadilifu na matokeo chanya na Hayati John Magufuli.
Watu hao ni miongoni mwao ni Job Ndugai, Polepole, Bashiru, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, IGP Sirro na wengine wengi
Swali je Kampeni ya SUGUMA GANG imeishia wapi tunapokwenda 2023?
SUKUMA GANG wapo na wanawasubiri 2025, CCM itapata Urais ila Wabunge iko kazi. akina Tulia,Msambatavangu, Mabula wa Nyamagana, Gwaji boy, Tarime Mjini na Vijijini, Arusha Mjini, Hai, Serengeti nk. wajiandae kuangalia kazi nyingine za kufanyaFAMILIA ya WATU WAZURI HAWAFI baada ya Rais Samia kuingia madarakani ilimtengezea kitu kinaitwa SUKUMA GANG kwa lengo la kumtenganisha na watu wote waliowahi kufanya kazi kwa uadilifu na matokeo chanya na Hayati John Magufuli.
Watu hao ni miongoni mwao ni Job Ndugai, Polepole, Bashiru, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, IGP Sirro na wengine wengi
Swali je Kampeni ya SUGUMA GANG imeishia wapi tunapokwenda 2023?
"Mimi na wenzangu tumepikwa vizuri na Mhe. Dokta Magufuli. Hakuna kitakachoharibika. Tutaendeleza pale alipoishia mwenzetu," alisema Rais Samia, Machi 19, 2021 wakati akila kiapo. Katika ujazaji maji wa JNHHP hizo shangwe zioiibuka baada ya Mhe. Rais ku appreciate alichokifanya mtangulizi wake. Na Rais amekuwq akisisitiza hakuna mradi wa kimkakati utakwama.Rais Samia ni mkosaji mkubwa sana ktk hili. Hivi yeye siku akifa, na kila siku tuwe tunamsema kwa vijembe vya wazi na mafumbo hivi familia yake itafurahia????? Hivi yeye angepungukiwa nini kama angemheshimu Dkt Magufuli na kuhakikisha/kuchimba mkwara wa kuwa ni marufuku kumdhihaki Dkt Magufuli kwa jinsi ya aina yeyote. Ila bado muda anao wa kujirekebisha, ila ajue kabisa kama anapita JF na kusoma news hapa kilichomuangusha namba moja siyo uanauke wake bali ni dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli, tena kwa waziwazi na kupitia matendo ya wasaidizi wake na kauli zake mfano za kusema eti unafungua nchi, amepata urais kwa kudra za mwenyezi Mungu, ilikuwa vibaya kuchoma vifaranga, etc
Sure, ni hao akina Makamba na wanaomuandalia hotuba. Angalia, kwenye hotuba Dkt Magufuli jina lake halikuwepo kabisa, Rais Samia alichomekea baada ya shangwe kazaa kuibuka."Mimi na wenzangu tumepikwa vizuri na Mhe. Dokta Magufuli. Hakuna kitakachoharibika. Tutaendeleza pale alipoishia mwenzetu," alisema Rais Samia, Machi 19, 2021 wakati akila kiapo. Katika ujazaji maji wa JNHHP hizo shangwe zioiibuka baada ya Mhe. Rais ku appreciate alichokifanya mtangulizi wake. Na Rais amekuwq akisisitiza hakuna mradi wa kimkakati utakwama.
Tatizo ninalo liona ni watu wa hovyo tu kutaka kupnyesha kuna tofauti# Rais Samia na JPM damdam.🙏🙏🙏
Na hapo ni RUFIJI na watu waliokuwepo pale wote wamesafirishwa kwa uratibu wao maana pale ni porini huwezi kwenda mwenyewe kile kichaka chao cha Wasukuma kikachomwa moto wakabaki wanashangaa tuDisemba 22, 2022 wakati wanaJAZA maji Bwawa la Nyerere. alipotajwa JPM
Pascal MayallaIn reality hakuna hili kundi linaloitwa Sukuma Gang, ni just a fictitious group in people's minds za watu waliofilisika kisiasa!. Siamini kama Rais Mama Samia amechukua maamuzi yoyote kwasababu ya dhana hii ya Sukuma Gang, kwasababu Samia sio muflis!. Ila kwa vile baadhi ya waliotumbuliwa ni watu wa JPM, Bashiru, Polepole, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, no vizuri Mama akawa muwazi kwanini amewaondoa, nilishauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Ulivyomtaja lukuvi tu, nimejua wewe ni chawaFAMILIA ya WATU WAZURI HAWAFI baada ya Rais Samia kuingia madarakani ilimtengezea kitu kinaitwa SUKUMA GANG kwa lengo la kumtenganisha na watu wote waliowahi kufanya kazi kwa uadilifu na matokeo chanya na Hayati John Magufuli.
Watu hao ni miongoni mwao ni Job Ndugai, Polepole, Bashiru, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, IGP Sirro na wengine wengi
Swali je Kampeni ya SUGUMA GANG imeishia wapi tunapokwenda 2023?
Huyu walimchomeka hakuna kitu kama hichoSukuma Gang ipo ipo sana na mfadhili wao mkuu huyu hapaView attachment 2458655
Wewe ni mmoja wao? Ila mjue hamna chenu hii ni zamu ya Msoga GangHuyu walimchomeka hakuna kitu kama hicho
Kujifariji kama hivi ruksa ili usipate kiharusi. Keep it upSukuma gang ipo kwenye mioyo ya watanzania,itaendelea kuwepo na hutosikia kelele zaidi ya vitendo sababu ikiongea watu wanahaha.
Hiyo ndio kanda iliyoleta muasisi wa taifa hili, Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Au hujui?Hii kanda sitakuja kichagua kiongozi kutoka huko.maana hii kanda inanongwa sana
Ishu ya Sukuma GANG Samia hahusiki kabisa, hiyo ni mbinu ya Familia ya WATU WAZURI HAWAFI ili kuficha uzembe na uwajibikaji wao duni katika kazi pamoja na maslahi binafsiMkuu Mudawote , kwa vile Mama Samia sio malaika, ni binadamu, hivyo anaweza kukosea, unaonaje kama utamtajia makosa yake na kushauri the right thing to do, ili arekebishe awe the best president kuwahi kutokea?.
Ila makosa hayo, yawe ni makosa yake yeye kama Samia na sio yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
Rais wa JMT ni executive president, mkubwa jalala!, yeye ndiye kila kitu!, huwezi kusema hahusiki.Ishu ya Sukuma GANG Samia hahusiki kabisa, hiyo ni mbinu ya Familia ya WATU WAZURI HAWAFI ili kuficha uzembe na uwajibikaji wao duni katika kazi pamoja na maslahi binafsi
Ukitaka watu wasikuseme vibaya ukishakufa, dawa yake ni kutenda mema na haki. Mbona hakuna nyuzi za kumnanga Benjamin Mkapa japo wamekufa kwa tofauti ya miezi la 10 tu? Mbona Ali Hassan Mwinyi japo yuko hai watu hawamsemi?Rais Samia ni mkosaji mkubwa sana ktk hili. Hivi yeye siku akifa, na kila siku tuwe tunamsema kwa vijembe vya wazi na mafumbo hivi familia yake itafurahia????? Hivi yeye angepungukiwa nini kama angemheshimu Dkt Magufuli na kuhakikisha/kuchimba mkwara wa kuwa ni marufuku kumdhihaki Dkt Magufuli kwa jinsi ya aina yeyote. Ila bado muda anao wa kujirekebisha, ila ajue kabisa kama anapita JF na kusoma news hapa kilichomuangusha namba moja siyo uanauke wake bali ni dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli, tena kwa waziwazi na kupitia matendo ya wasaidizi wake na kauli zake mfano za kusema eti unafungua nchi, amepata urais kwa kudra za mwenyezi Mungu, ilikuwa vibaya kuchoma vifaranga, etc