stevejunior
New Member
- Apr 24, 2011
- 2
- 1
hello,ijumaa radio uhuru wametangaza vyuo vya st.joseph college of engineering and technology tanzania,zambia,malawi na sierra lone vinachuzwa kutokana na ubovu wake,cha zambia kimefungwa kinaitwa st.uegene university..ki ukweli pale hakuna elimu ya juu..watu wana division four wanasoma degree.kuna walimu wana diploma wanafundisha degree cha ajab wanasema wana masters....watu weng hawavjui hvyo vyuo hakuna kusoma technology pale,mwaka jana kpnd cha mgomo taarifa za ubovu wa chuo zilipelekwa nacte lakin hakuna majibu