Prophet Lovy Elias kukiwasha Kijitonyama

Prophet Lovy Elias kukiwasha Kijitonyama

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Maisha yanaenda kasi sana kwa mila zetu za Kitanzania sidhani kama ni sahihi kwenda kuombewa na mtu akiwa hivi eti nabii!

FB_IMG_1702008520323.jpg
 
Mimi huwa naamini mwonekano Wa MTU sio MTU Ila MTU yupo ndani na sio NJE Nina ndugu zangu wanavaa nguo za kujistiri Sana Ila mambo yao wanayofanya yanatisha Sana.

Kwa sisi tuliokulia mazingira ya kiroho huwa tunatazama Sana mambo ya ndani ya MTU na sio mwonekano Wa nje.
Kwa hiyo huna shida na muonekano wa nje wa nabii?
 
Tukianza kuruhusu watumishi wa Mungu wawe na mionekano ya ajabuajabu italeta mkanganyiko kwenye ibada. Mabinti watavaa kikahaba na kupanda madhabahuni kuabudisha, hiyo haitakuwa ibada itakuwa ni vurugu tu
 
Huyu Jamaa kapitia Mengi na sidhani kama ana fake kazi ya Mungu.
Kama ni mademu au Bata kala kuliko wengi,kama umemfuatilia tangu akiwa Longombaz na mwenzake ambaye ashatangulia mbele za Haki itoshe kusema tusikimbilie kuhukumu mtu Kwa mwonekano,Kama ni nywele hata Bwana Yesu alikuwa na nywele ndefu angeamua kusokota mngemwita muhuni?How dare you.
 
Mtawajua kwa matendo yao,biblia imeandika wazi mwanaume haruhusiwi kusuka ,kuvaa heleni na imeenda mbali imekataza kuchora tattoo,
Huyu si Mtumishi wa yesu ninaye mwabudu mm na ninaye mjua labda kuna yesu mwingine simjui,
Yesu hawezi kaa ndani ya roho wa mtu wa hivi, na roho mtakatifu hapa si Mahari pake.kasome maandiko usidanganywe
 
Sio kweli ndo maana huwa mnaibiwa Kwa kudanganywa na outlook ya MTU mwonekano Wa nje ni Kama kava la simu tu kuna watu they dress decent Ila wanafanya mambo machafu Sana even in my family
ni kweli watu wanaweza kujegeuza muonekano wa nje kwa lengo fulani kufanya uovu, wanavaa kama watu wema ili wasidhaniwe ni waovu. Muonekano unaathiri matazamio ya mtu, chanya au hasi bila kujali huyo mtazamwaji ndani yukoje
 
Mimi huwa naamini mwonekano Wa MTU sio MTU Ila MTU yupo ndani na sio NJE Nina ndugu zangu wanavaa nguo za kujistiri Sana Ila mambo yao wanayofanya yanatisha Sana.

Kwa sisi tuliokulia mazingira ya kiroho huwa tunatazama Sana mambo ya ndani ya MTU na sio mwonekano Wa nje.
Muonekano wa mtu ni akisi ya namna anafikiria.
 
Back
Top Bottom