Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni waombe watu wote wenye uelewa huu, tuwaombee wenzetu maana wengi wamekataa kujua neno ambae ndio Kristo mtenda miujiza.. Wao wanataka unabii na hivyo kila nabii akija kapeleka kichwa chake.... Kumbe wanao Kota maokoto ya kila ain Aya mapepo...unaenda kuwekewa mikono kumbe unapandikiziwa mapepo mabaya. Hii kuombewa kwa kuwekewa mikono na watumishi wa mungu ni kujihadhari sana, wengine si watumishi wa mungu ni maajenti wa shetani
Mambo ya ndani ni yapi mkuu?Mimi huwa naamini mwonekano Wa MTU sio MTU Ila MTU yupo ndani na sio NJE Nina ndugu zangu wanavaa nguo za kujistiri Sana Ila mambo yao wanayofanya yanatisha Sana.
Kwa sisi tuliokulia mazingira ya kiroho huwa tunatazama Sana mambo ya ndani ya MTU na sio mwonekano Wa nje.
Hadi vipini vya pua ni mila ya zimbabwe 🤣🤣ulishaambiwa ni mila zao huko zimbabwe, ondoa shaka, unaambiwa hata samson alikuwa na rasta za kutosha
SAWA MM NAHESHIMU MADHEHEBU YENU WAKIRISTO; ILA WITO WANGU MPATE MAARIFA YA KWELI YA BIBLIA NA MJUE NAMNA YA KUITETEA IMANI YENU MBELE YA WAISLAM. HIVYO JITOKEZENI MKASIKILIZE MDAHALO BAINA YA MWL. NDACHA NA DR. SULE PALE PTA, SABA SABA TAREHE 16-17 DECEMBER 2023Maisha yanaenda kasi sana kwa mila zetu za Kitanzania sidhani kama ni sahihi kwenda kuombewa na mtu akiwa hivi eti nabii!
Huyo yeye ndio wa kuombewaMaisha yanaenda kasi sana kwa mila zetu za Kitanzania sidhani kama ni sahihi kwenda kuombewa na mtu akiwa hivi eti nabii!
Mtu wa nje anaakisi mtu wa ndani.Mimi huwa naamini mwonekano Wa MTU sio MTU Ila MTU yupo ndani na sio NJE Nina ndugu zangu wanavaa nguo za kujistiri Sana Ila mambo yao wanayofanya yanatisha Sana.
Kwa sisi tuliokulia mazingira ya kiroho huwa tunatazama Sana mambo ya ndani ya MTU na sio mwonekano Wa nje.
Nabii MalisaMwenyeji wake ni nani? Wapo watu wa aina yake wataenda kuombewa
Waumini hawajaanza kuliwa Leo mkuu , huu ninmwendelezo tu wa kuliwa tangu wakoloni walipo leta hzi dini.Kekundu kekundu, eeeh wajinga ndio waliwao
That's why sasa makanisa yanajaza ila tabia ni chafu kama watu wa mataifaunaenda kuwekewa mikono kumbe unapandikiziwa mapepo mabaya. Hii kuombewa kwa kuwekewa mikono na watumishi wa mungu ni kujihadhari sana, wengine si watumishi wa mungu ni maajenti wa shetani
Tena kasi ya 5GMaisha yanaenda kasi sana kwa mila zetu za Kitanzania sidhani kama ni sahihi kwenda kuombewa na mtu akiwa hivi eti nabii!
Yesu ndo anachezewa kiasi hicho aisee!! Yesu sindo mungu kwahiyo jamaa ana view status za yesuNyie hamtaki ku view status jamanii??!!View attachment 2836293
basi nitafsirie hii mistari
View attachment 2836265
Kwani huyu prophet Lovy, marehemu baba yake mzazi mwanamuziki Lovy Longomba, marehemu babu yake mwanamuziki Vicky Longomba na Awilo Longomba ambaye ni baba yake mdogo wote ni wa kutoka Zimbabwe?ulishaambiwa ni mila zao huko zimbabwe, ondoa shaka, unaambiwa hata samson alikuwa na rasta za kutosha