Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii aende kumuombea Pengo ..
Aache project yake ya kulazimisha Phili Mpango awe Rais mwaka 2025...
Kwamba Sukuma gang watafanyaje? Maana ndio Wanaishi Magharibi 😁😁"Nilikuwa katika maombi katika misitu ya Kibaha, Mungu aliniuliza unaona nini, nikajibu naona kitu, mawe ya moto mawe yenye moto yamegeuka kuwa mekundu yakija Tanzania" - Prophet Sanga.
"Mwaka 2023, huu ni mwaka gani!? Mwaka 2022, sasa mwaka 2023 kwenda 2024, zaidi mwaka 2023 naona watu kutoka magharibi ya Tanzania wakileta mtafaruku katika hili Taifa, hawa ni watu kutoka magharibi wakija katikati wataleta mtafaruku mkubwa" - Prophet Sanga.
"Nikaona moto, Mungu akasema namuona shetani akipanda kitu katikati yenu kutoka watu wa magharibi, magharibi ni wapi!? naiona bendera ya Tanzania ikipita katikati ya moto, tunatakiwa tuombe bendera hii isiungue, kama bendera hii ikiungua hakutabaki mwanasiasa ataebaki salama" - Prophet Sanga.
"Kabla sijaona bendera ya Tanzania ikipita katika moto, niliona mawe ya moto yakija Tanzania, na baadaye nikaona bendera ya nchi yangu ikipita katika moto" - Prophet Sanga.
"Kama tutaungana kama taifa tukaomba bendera ya Tanzania itapita katika moto bila kuungua lakini tusipoomba tutashuhudia kifo tena, unabii unapotolewa tunapaswa kuukubali na kuingia kwenye maombi" - Prophet Sanga.
"Sina mashaka na alichonionyesha Mungu, pitia historia yangu, kama hatutaomba unabii huu utawakumbusha, naiona bendera ya Tanzania ikipita katika moto na ikakaa, naviona vifo, Mimi na wewe tunaweza kusimama na kuomba, kama unajiona mwenye hekima unataka kuthibitisha, subiri ifike 2023 na utathibitisha" - Prophet Sanga.
"Kama hatutaomba na Mimi kama ulivyowewe nitasubiri kuona hili litokee katika ulimwengu wa kawaida baada ya kuona ikitokea katika ulimwengu wa kiroho" - Prophet Sanga.
"Kuna watu watakufa, wataobaki wataunda kundi la pembe tatu lenye pembe saba, nani anaweza kunionyesha pembe tatu yenye pembe sana" - Prophet Sanga.
Hawa wakinga wamechoka kufanya mauza uza ya mali wamehamia kwenye dini!! Mauchawi tu hayo ya akina Sanga"Nilikuwa katika maombi katika misitu ya Kibaha, Mungu aliniuliza unaona nini, nikajibu naona kitu, mawe ya moto mawe yenye moto yamegeuka kuwa mekundu yakija Tanzania" - Prophet Sanga.
"Mwaka 2023, huu ni mwaka gani!? Mwaka 2022, sasa mwaka 2023 kwenda 2024, zaidi mwaka 2023 naona watu kutoka magharibi ya Tanzania wakileta mtafaruku katika hili Taifa, hawa ni watu kutoka magharibi wakija katikati wataleta mtafaruku mkubwa" - Prophet Sanga.
"Nikaona moto, Mungu akasema namuona shetani akipanda kitu katikati yenu kutoka watu wa magharibi, magharibi ni wapi!? naiona bendera ya Tanzania ikipita katikati ya moto, tunatakiwa tuombe bendera hii isiungue, kama bendera hii ikiungua hakutabaki mwanasiasa ataebaki salama" - Prophet Sanga.
"Kabla sijaona bendera ya Tanzania ikipita katika moto, niliona mawe ya moto yakija Tanzania, na baadaye nikaona bendera ya nchi yangu ikipita katika moto" - Prophet Sanga.
"Kama tutaungana kama taifa tukaomba bendera ya Tanzania itapita katika moto bila kuungua lakini tusipoomba tutashuhudia kifo tena, unabii unapotolewa tunapaswa kuukubali na kuingia kwenye maombi" - Prophet Sanga.
"Sina mashaka na alichonionyesha Mungu, pitia historia yangu, kama hatutaomba unabii huu utawakumbusha, naiona bendera ya Tanzania ikipita katika moto na ikakaa, naviona vifo, Mimi na wewe tunaweza kusimama na kuomba, kama unajiona mwenye hekima unataka kuthibitisha, subiri ifike 2023 na utathibitisha" - Prophet Sanga.
"Kama hatutaomba na Mimi kama ulivyowewe nitasubiri kuona hili litokee katika ulimwengu wa kawaida baada ya kuona ikitokea katika ulimwengu wa kiroho" - Prophet Sanga.
"Kuna watu watakufa, wataobaki wataunda kundi la pembe tatu lenye pembe saba, nani anaweza kunionyesha pembe tatu yenye pembe sana" - Prophet Sanga.
we mjinga zaifu ni mamaako labdaMama ni dhaifu hatuwezi kuendelea kurejeshwa nyuma.Mama size yake ni Zanzibar Tanganyika ni kubwa sana inahitaji Kiongozi msomi kama Mpango na zaidi ya yote Mwanamke kutawala bado sana tunalazimisha tu.Huo ndio ukweli wa mambo.
Mungu atasingiziwa na jina lake kutumika sana for the political gain...."Mwaka 2023, huu ni mwaka gani!? Mwaka 2022, sasa mwaka 2023 kwenda 2024, zaidi mwaka 2023 naona watu kutoka magharibi ya Tanzania wakileta mtafaruku katika hili Taifa, hawa ni watu kutoka magharibi wakija katikati wataleta mtafaruku mkubwa" - Prophet Sanga."....
Mutaendelea tu kurejeshwa nyuma huyu munae mpaka 2030 InshallahMama ni dhaifu hatuwezi kuendelea kurejeshwa nyuma.Mama size yake ni Zanzibar Tanganyika ni kubwa sana inahitaji Kiongozi msomi kama Mpango na zaidi ya yote Mwanamke kutawala bado sana tunalazimisha tu.Huo ndio ukweli wa mambo.
Huyo sio nyoka ni pweza[emoji23]"Na tazama, nikaona nyoka mwenye vichwa kumi akipita... .." Alas, hallucinations!
Maono."msono" ni nini ndugu Sandali Ali !?
Yeye alitabiri tu, wala usimtukane, kwa yanayoendelea ni kama vile kuna kitu kinaelekea kuwa kweliHuyo “nabii” namshauri aache kuvuta bangi.
Anafaaa sababu Dr. Mpango ana akili na ni msomi mzuri kabisaNabii aende kumuombea Pengo ..
Aache project yake ya kulazimisha Phili Mpango awe Rais mwaka 2025...