Prophet Uebert Angel: Maisha ya Joseph Kabila yapo hatarini

Prophet Uebert Angel: Maisha ya Joseph Kabila yapo hatarini

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Nani anayetaka kumwua Rais mstaafu wa DRC?

Uebert Angel, muhubiri aliyejipatia umaarufu kupitia tabiri nyingi alizozitabiri kutimia, ametabiri kuwa maisha ya mtajwa yapo hatarini. Anaonya kuwa hata South Africa si salama kwake.

Aliona katika maono Joseph Kabila akiwa amekimbilia South Africa akiamini ni mahali salama kwake, lakini kwa mujibu wa Uebert Angel, si salama kwani mmoja wa watu wake wa karibu ni miongoni mwa wanaoshirikiana na watu wanaotafuta kumwua.

Wanaoutafuta uhai wa huyo Rais mstaafu ni akina nani?

 
Mambo ya idara za intelijensia la kiafrika hayo. Wana spin mambo kama unabii.

Yaani wanaweza kupanga kukuua alafu hao wachungaji matapeli wanaanza kufanya spinning kuwa wameoneshwa umekufa
Inawezekana pia kwenye "party" ya assassin's Kuna mwenzao kauza hii taarifa kwa "nabii".

Ukifikiria kwa undani unaweza ona hii Biashara ikiwezekana kufanyika.

Rejea ushiriki wake kwenye documentary ya Gold Mafia,ya Al Jazeera.Huyu jamaa ni muhuni wa kutupwa ana access ya Rais wa Zimbabwe wakati wowote ule.

Inawezekana ametonywa hamna cha unabii.
 
Au inawezekana kwenye "party"

Inawezekana pia kwenye "party" ya assassin's Kuna mwenzao kauza hii taarifa kwa "nabii".
Ukifikiria kwa undani unaweza ona hii Biashara ikiwezekana kufanyika.
Rejea ushiriki wake kwenye documentary ya Gold Mafia,ya Al Jazeera.Huyu jamaa ni muhuni wa kutupwa ana access ya Rais wa Zimbabwe wakati wowote ule.
Inawezekana ametonywa hamna cha unabii.
Mimi naamini hicho kinachoitwa documentary ya Gold Mafia kinaweza kikawa ni uzushi uliochochewa na maadui zake!

Kama kuna kosa alilofanya angeweza kuendelea kuishi kwa uhuru nchini Uingereza? Kumbuka kule si Afrika ambako kubebana ni kawaida. Kule hata Waziri Mkuu akilikoroga anaondoshwa madarakani, sembuse mtu mwingine baki tena raia mwenye asili ya Afrika! Angekuwa na makosa Uingereza ingesmshughulikia. Hayo ya Al Jazeera yanaweza yakawa uongo mtupu.
 
Kaka hili swala litakuwa na ukweli ndani yake,siku mbili zilizopita niliota kuna makundi 2 yanapigana Drc.Kundi moja lilikuwa upande wa kulia na lingine upande wa kusho, lile kundi la upande wa kushoto alikuwapo JOSEPH KABILA sasa yakatokea mabishano ya kurushiana risasi.

Watu wa KABILA wakatangulia mbele kwenda kuwamiminia risasi lile kundi jingine.Sasa bwana KABILA akaona watu wake wanachelewesha kazi ikabidi aende Front mwenyewe,aliwafatulia risasi nyingi sana wale maadui zake lakini jamaa walifanikiwa kumuua kwani walikuwa wako wengi na njia aliyotaka kuvuka ilikuwa THE HARD WAY so hakuna ambaye angeweza kuvuka kwa watu waliokuwa upande wake.JE NA MIMI MAHARAGE YA UKWENI NI TAPELI?
Tapeli tu huyo
 
Kaka hili swala litakuwa na ukweli ndani yake,siku mbili zilizopita niliota kuna makundi 2 yanapigana Drc.Kundi moja lilikuwa upande wa kulia na lingine upande wa kusho, lile kundi la upande wa kushoto alikuwapo JOSEPH KABILA sasa yakatokea mabishano ya kurushiana risasi.

Watu wa KABILA wakatangulia mbele kwenda kuwamiminia risasi lile kundi jingine.Sasa bwana KABILA akaona watu wake wanachelewesha kazi ikabidi aende Front mwenyewe,aliwafatulia risasi nyingi sana wale maadui zake lakini jamaa walifanikiwa kumuua kwani walikuwa wako wengi na njia aliyotaka kuvuka ilikuwa THE HARD WAY so hakuna ambaye angeweza kuvuka kwa watu waliokuwa upande wake.JE NA MIMI MAHARAGE YA UKWENI NI TAPELI?
Ujanja ujanja na utapeli mtupu.
 
Kaka hili swala litakuwa na ukweli ndani yake,siku mbili zilizopita niliota kuna makundi 2 yanapigana Drc.Kundi moja lilikuwa upande wa kulia na lingine upande wa kusho, lile kundi la upande wa kushoto alikuwapo JOSEPH KABILA sasa yakatokea mabishano ya kurushiana risasi.

Watu wa KABILA wakatangulia mbele kwenda kuwamiminia risasi lile kundi jingine.Sasa bwana KABILA akaona watu wake wanachelewesha kazi ikabidi aende Front mwenyewe,aliwafatulia risasi nyingi sana wale maadui zake lakini jamaa walifanikiwa kumuua kwani walikuwa wako wengi na njia aliyotaka kuvuka ilikuwa THE HARD WAY so hakuna ambaye angeweza kuvuka kwa watu waliokuwa upande wake.JE NA MIMI MAHARAGE YA UKWENI NI TAPELI?
Hoja yangu ilikua ya kwamba yeye ana access yakuonana au kukutana na kabila kwanii hakumtahadharisha na kalifanya hilo swala kwenye vyombo vya habari??? Hiyo ndio hofu yangu maana nahisi anataka credit tu yeye , wewe sio tapeli na wala sina shaka na ww.
 
Back
Top Bottom