Prophet Uebert Angel: Maisha ya Joseph Kabila yapo hatarini

Prophet Uebert Angel: Maisha ya Joseph Kabila yapo hatarini

Kaka hili swala litakuwa na ukweli ndani yake,siku mbili zilizopita niliota kuna makundi 2 yanapigana Drc.Kundi moja lilikuwa upande wa kulia na lingine upande wa kusho, lile kundi la upande wa kushoto alikuwapo JOSEPH KABILA sasa yakatokea mabishano ya kurushiana risasi.

Watu wa KABILA wakatangulia mbele kwenda kuwamiminia risasi lile kundi jingine.Sasa bwana KABILA akaona watu wake wanachelewesha kazi ikabidi aende Front mwenyewe,aliwafatulia risasi nyingi sana wale maadui zake lakini jamaa walifanikiwa kumuua kwani walikuwa wako wengi na njia aliyotaka kuvuka ilikuwa THE HARD WAY so hakuna ambaye angeweza kuvuka kwa watu waliokuwa upande wake.JE NA MIMI MAHARAGE YA UKWENI NI TAPELI?
Sio kutakuwa na ukweli ndo hivyo!na we tu umefunuliwa .
Hata issue ya trump alisema last yr, na this yr km mwezi wa 4 hivi alirudia tena,na akatoa details!
Ila SI unajua watu kupuuzia!

Haya issue ya Kenya pia kaongelea ukiacha hii maandamano yaliyopita Kuna nyingine inakuja ya kiongozi kuuwawa, tena ss hii hajasema peke yake .
Wapo 4 kutoka nchi tofauti wameelezea kitu hikohiko Kwa nyahati tofauti
 
Ok
Ila Haina ubaya pia,maana inategemea na maelekezo pia!
Na waliopna ni wengi sio yeye tu
Kutoka mataifa tofauti Kwa nyakati tofauti
 
Mimi naamini hicho kinachoitwa documentary ya Gold Mafia kinaweza kikawa ni uzushi uliochochewa na maadui zake!

Kama kuna kosa alilofanya angeweza kuendelea kuishi kwa uhuru nchini Uingereza? Kumbuka kule si Afrika ambako kubebana ni kawaida. Kule hata Waziri Mkuu akilikoroga anaondoshwa madarakani, sembuse mtu mwingine baki tena raia mwenye asili ya Afrika! Angekuwa na makosa Uingereza ingesmshughulikia. Hayo ya Al Jazeera yanaweza yakawa uongo mtupu.
Sasa huo uongo unatokea wapi wakati Kila kitu kinaonekana kwenye tv!.Kila mtu anaona!
Haikuwa taarifa za uzushi,hakuhusika peke yake kwenye hiyo makala ya uchunguzi.Wamehusika vigogo wakubwa kuliko yeye.
Kwa hiyo Al Jazeera waandae makala hiyo mahususi kwa ajili ya kumzushia yeye peke yake?
Huo uzushi kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom