Proposal for Agricultural project support

Proposal for Agricultural project support

Ni kweli, ekari 15 ni Ndogo. Lakini Hekari hizo ni kubwa vile vile Km mtaamua kulima kilimo cha Greenhouse na hasa Nyanya za Anna F1. Mtaweza pata Hadi shs 500mil ktk Eka Moja. Kwa kuanzia hizo Dola 17,000 zatosha. Hatua Elfu moja huanza na moja. Bravo na Mni pm.

naku PM
 
mkuu umekuja na swala la maana na Mm naitaji msaada huu Tafadhali mwenye uelewa anisaidie
 
mkuu Ni hekari kama ngapi inafaa kwa hiyo mikopo.
nieleweshe
 
wakubwa mwenye uelewa wa kutosha jinsi ya kupata mkopo wa kilimo asaidie, maana ndiyo sehemu pekee iliyobaki kuwakomboa vijana, hata mimi hapa nimedunduliza na kuweza kununnua ekari 54 huko moro,lakini mtaji wa kuendeleza imekuwa mbinde nilishauliwa kusajiri kampuni nikafanya hivyo, lakini bado sijapata chanzo sahihi cha kupata mkopo, hivyo mwenye uelewa atusaidieni.
 
wakuu heshima kwenu.
Natumaini thread yangu pia licha ya kutatua changamoto zinazonikabili pia itakuwa solution ya mtaji kwa baadhi ya vijana.
Mimi na mwenzangu I mean rafiki yangu baada ya kuhitimu elimu ya chuo tumefikiria kujiajili.
Baada ya kila mbinu ya kibiashara tuliyoifanya kugonga mwamba tumefikia hatua ya kuandilka proposal. Mtaji tuliyonao ni hekari kumi na tano ambazo tumewekeza kwa matumizi ya miaka kumi. Hatuna mtaji zaidi.
Tunataka kuanzisha Agriculture project kwa maana hiyo tumeandika proposal kuomba financial support.
Nina maswali kidogo kwa wazoefu wa haya masuala.
Tunataka kuwasilisha propasal word Bank na FAO je, hawa jamaa hufadhili miradi kama hii?
Je, kwa ushauri wako monetary amount isi exceed kiasi gani?
Kikundi kinacho andika Proposal chafaa kuwa na watu kuanzia wangapi?
Je ninaweza kutuma proposal kupitia email zao ninazo ziona kwenye website ama kuna njia nyingine?
Nawasilisha.................

VENTURE CAPITAL AND PRIVATE EQUITY INVESTMENT FINANCING

TANZANIA VENTURE CAPITAL AND PRIVATE EQUITY PROJECT (TVC)CALL FOR BUSINESS PLANSFOR FUNDING UNDER THE EXPANDED VENTURE CAPITAL AND PRIVATE EQUITY INVESTMENT FINANCING
1.0 BACKROUND:-
1.1 Tanzania Venture Capital and Private Equity Project (TVC) is a Joint Project between Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) and TMS Consultants Ltd. The major objective of the project is to provide a platform for the expansion and formalization of Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania. This will eventually enable the local private sector to access alternative source of project finance to finance or participate in large scale expansion and/or risky startup investments.. .
1.2 In order to be able to access the venture capital and private equity investment financing, one of the first important stage is to have a well prepared Bankable BUSINESS PLAN of international standards as a BASIC VENTURE CAPITAL AND PRIVATE EQUITY FINANCING NEGOTIATION DOCUMENT.

2.0 CALL FOR BUSINESS PLANS PREPARATION:-
2.1 In order for the TVC Project to be able to attract more foreign venture capital and private equity investment financing companies to establish, open and operate their offices in Tanzania, TVC needs to RECEIVE MORE BUSINESS PLANS for onwards facilitation for matchmaking with foreign Venture Capital and private equity companies.


2.2 Business plans for Expansion projects can be prepared from any economic sector such as:-
• Natural Gas and Oil
• Renewable energy and green technology
• Electricity generation and distribution
• Mining and minerals processing
• Tourism
• Information technology
• Agriculture and Agri- Industries
• Manufacturing Industries
• Infrastructure
• Real Estates
• Financial services
• And Expansion of any other legally approved high-profit large investment projects.

v It is advised that Business plans have to indicate an expansion investment financing requirement at the minimum of about USD five (5) million to an average Maximum of about USD five hundred (500) million or above Per single project.

3.0 SUBMISSION OF BUSINESS PLANS:-

3.1 Language to be used in the Business Plans preparation is English and submit to TVC Project manager ONE HARD Copy and SOFT Copy
3.2 For those who would like their Business plans to be facilitated for venture capital and private equity investment financing in GROUP NO-1 are advised to submit their business plans NOW OR BEFORE 31ST MAY , 2015.
3.3 The TVC Project Manager and his team will have to review all the business plans submitted and process the match making at a NEGOTIABLE FEE.

4.0 FOR SUBMISSION OF BUSINESS PLANS AND MORE INFORMATION KINDLY CONTACT:-

THE PROJECT MANAGER
TANZANIA VENTURE CAPITAL AND PRIVATE EQUITY PROJECT (TVC)
TANZANIA PRIVATE SECTOR FOUNDATION (TPSF) HOUSE
PLOT NO. 1288, MWAYA ROAD,MSASANI PENINSULA
P.O.BOX 11313,
DAR ES SALAAM, TANZANIA, EAST AFRICA
TEL:- +255 22 260 1913/1938
FAX:- + 255 22 260 2751/2818
Mobile:- +255 767 777 653
Email:- Sebastian@tvctpsftz.org
Website:- www.tvctpsftz.org
 
The AECF TZAW is a special fund of the AECF that is only open to agribusinesses investing in Tanzania. It is for businesses in the agricultural sector which have good innovative ideas that will have a positive development impact. The widest possible range of agribusinesses are eligible for support, including farming, plantation and ranching companies, out grower schemes, producers, manufacturers and distributors of agricultural inputs - seeds, fertilizers, pesticides, tools and equipment, agro processors, traders, merchants and other private sector service providers including market information, extension and other agricultural services.

Enter here Tanzania Window

Dirisha la Tanzania litafugwa leo saa 6 Usiku
 
for the sake of myself and others did the payable nogotiable fee paid before one secure the loan or after the loan released out? I have asked this because I meet several people in a course of my strugle to secure a loan for my project but end up in the hand of just life stress fighters!
 
Back
Top Bottom