Nimewahi kuomba namna ya kuipata prospectus ya chuo cha ATC lakini sijapata msaada na bado naihitaji.
Pamoja na kuendelea na ombi langu ila najiuliza kwa nini chuo cha ATC hawaweki prospectus yao kwenye website yao wakati vyuo vingine vinavyotoa elimu ya juu vinafanya hivyo?
Kwakweli hata na mimi naihitaji, nimefuatilia sana sijapata muafaka.
Kwa wakati huu tuliopo ni ajabu sana Chuo kutoweka wazi prospectus sababu yale mambo ya mtu kuingia kichwakichwa kusoma mivitu usiyoihitaji ishapitwa na wakati
Kwakweli hata na mimi naihitaji, nimefuatilia sana sijapata muafaka.
Kwa wakati huu tuliopo ni ajabu sana Chuo kutoweka wazi prospectus sababu yale mambo y
Kwakweli hata na mimi naihitaji, nimefuatilia sana sijapata muafaka.
Kwa wakati huu tuliopo ni ajabu sana Chuo kutoweka wazi prospectus sababu yale mambo ya mtu kuingia kichwakichwa kusoma mivitu usiyoihitaji ishapitwa na wakati