Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari Sana.Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na namba 0757677676/ 0719523522/ 0713990003/0766944200
Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”
---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi
Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.
(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)
Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.
Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.
Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.
Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.
Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.
Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao
Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.
Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200
Hili nalo ni tatizo lingine.Hivi inakuwaje mtu anakufuata nyumbani kwako, halafu kirahisi unakubali tu kuondoka nao kwenda kusikojulikana!!
SHIDA NI CCM ITAWALE MILELE NA WAZANZIBARI WAENDELEE KUITAWALA TANGANYIKA NA KUIBA RASILIMALI ZOTE HADI WAWE KAMA DUBAI.Shida ya haya mambo ni nini hasa?
Kwa ujinga huu unaposema Bora mshughulikiwe tuuSHIDA NI CCM ITAWALE MILELE NA WAZANZIBARI WAENDELEE KUITAWALA TANGANYIKA NA KUIBA RASILIMALI ZOTE HADI WAWE KAMA DUBAI.
tume ya haki jinai ilitumia Kodi za WATANGANYIKA bure kabisa.
mama anaupiga mwingi.
ZAMU YENU. KUTESA KWA ZAMU. MTAUA WANGAPI?Kwa ujinga huu unaposema Bora mshughulikiwe tuu
Mbona Sheria zilizopo zinataka iwe hivyo.Kuwe na utaratibu kama.polisi akimchukuwa mtu, mjumbe ni lazima ajulishwe na sababu za kumchukuwa.
Zamu ya nani?ZAMU YENU. KUTESA KWA ZAMU. MTAUA WANGAPI?
Huyo Jamaa nilikuwa naye short course y'a IT pale Don Bosco Temeke Mikoroshini 2018/2019 kipindi hicho alikuwa anakuja na pikipiki pia alikuwa ni Free lancer wa mitandao y'a simu.Mjiulize tu,huyo jamaa ni bodaboda hajishugulishi na siasa
wala siyo mwanaharakati
kwanini atekwe...
je jamaa alikuwa ana shuguli nyingine ya ziada
je labda alikuwa anatembea na mke wa mtu
Je jamaa alikuwa mdhulumati
Hayo ndiyo maswali ya kuuliza
Ova
Uneona kazi sasaHuyo Jamaa nilikuwa naye short course y'a IT pale Don Bosco Temeke Mikoroshini 2018/2019 kipindi hicho alikuwa anakuja na pikipiki pia alikuwa ni Free lancer wa mitandao y'a simu.
Hajakaa kiboya ni mjanja flan WA mjini.
Nahisi yawezekana karusha mzigo WA watu
SASA TANESCO WAMEPEWA LINI MAMLAKA YA KUKAMATA? HAPA LINATENGENEZWA ZENGWE ILI IONEKANE WANAOTEKWA WANATENGENEZA MATUKIO.Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na namba 0757677676/ 0719523522/ 0713990003/0766944200
Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”
---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi
Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.
(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)
Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.
Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.
Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.
Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.
Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.
Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao
Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.
Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200
😂️😂️😂️😂️😂️LHRC huwezi wasikia hapa wala TLS...
Kama ni boda hiyo ya mke wa mtu inaweza ikahusu.Mjiulize tu,huyo jamaa ni bodaboda hajishugulishi na siasa
wala siyo mwanaharakati
kwanini atekwe...
je jamaa alikuwa ana shuguli nyingine ya ziada
je labda alikuwa anatembea na mke wa mtu
Je jamaa alikuwa mdhulumati
Hayo ndiyo maswali ya kuuliza
Ova