Prosper Mnjari adaiwa kupotea baada ya kuchukuliwa Agosti 2 na watu waliojitambulisha TANESCO

Ni hatari Sana.

Kwa vyovyote vile Watu wa kawaida wanaamini kwamba hao waliofanya hivyo ni "Watu wasiojulikana."


Jeshi la Polisi na Tiss lina kazi kubwa sana ya kufanya ili kujisafisha kutokana na uchafu huu mbaya kabisa.
 
Hivi inakuwaje mtu anakufuata nyumbani kwako, halafu kirahisi unakubali tu kuondoka nao kwenda kusikojulikana!!
 
Hivi inakuwaje mtu anakufuata nyumbani kwako, halafu kirahisi unakubali tu kuondoka nao kwenda kusikojulikana!!
Hili nalo ni tatizo lingine.

Hivi unawezaje kumwamini kirahisi mtu ambaye hujawahi kufahamiana naye kabla????
Elimu ya Usalama binafsi ni muhimu sana kutolewa kwa jamii kwa sasa.

Watu wanatakiwa wapewe elimu kuhusu masuala haya ya Usalama, e.g. abduction technics na namna ya mtu kuweza kuzi-detect pamoja na mbinu za kujihami
 
Kuwe na utaratibu kama.polisi akimchukuwa mtu, mjumbe ni lazima ajulishwe na sababu za kumchukuwa.
 
SHIDA NI CCM ITAWALE MILELE NA WAZANZIBARI WAENDELEE KUITAWALA TANGANYIKA NA KUIBA RASILIMALI ZOTE HADI WAWE KAMA DUBAI.

tume ya haki jinai ilitumia Kodi za WATANGANYIKA bure kabisa.

mama anaupiga mwingi.
Kwa ujinga huu unaposema Bora mshughulikiwe tuu
 
Kuna sheria inabidi kuundwa kuhusu umiliki wa silaha kama mfano wa umiliki simu.ili kupunguza haya ya kuchukuana bila sababu.
masau anakwambia wanajiteka
 
Kuwe na utaratibu kama.polisi akimchukuwa mtu, mjumbe ni lazima ajulishwe na sababu za kumchukuwa.
Mbona Sheria zilizopo zinataka iwe hivyo.
Sema tatizo ni Polisi wetu hawataki kutii Sheria, badala yake wao ndio wamekuwa vinara wa kuvunja Sheria za nchi na kujihusisha na vitendo vya Uhalifu.
That's why watu wengi sana wanaamini kwamba Watu ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo viovu vya utekaji Watu ni hao Askari Polisi
 
Huyo Jamaa nilikuwa naye short course y'a IT pale Don Bosco Temeke Mikoroshini 2018/2019 kipindi hicho alikuwa anakuja na pikipiki pia alikuwa ni Free lancer wa mitandao y'a simu.
Hajakaa kiboya ni mjanja flan WA mjini.
Nahisi yawezekana karusha mzigo WA watu
 
Uneona kazi sasa
Sahv kuna style imeingia
Watu wakidhulumiana,kutembea na mke wa mtu watu wanakuja wanakuteka wanaenda kumalizana na wewe

Ova
 
Nadhani ifike kipindi waruhusu watu wamiliki silaha tu kama Marekani ili hata mtu akija kwako ajipange kabisa, kuna uwezekano mkubwa jamaa alishindwa kuresist sababu walikuwa na silaha nzito, serikali inatakiwa hili iliangalie
 
LHRC huwezi wasikia hapa wala TLS...
 
SASA TANESCO WAMEPEWA LINI MAMLAKA YA KUKAMATA? HAPA LINATENGENEZWA ZENGWE ILI IONEKANE WANAOTEKWA WANATENGENEZA MATUKIO.
 
Polisisiem wameamua kubadili mbinu ya kujifanya tanesco ili wasijulikane.Mbinu za kishamba sana
 
Kama ni boda hiyo ya mke wa mtu inaweza ikahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…