Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,824
- 2,079
Nina kaka yangu ambaye ana umri wa miaka 54 na amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kushindwa kukojoa anawezeza kutoka usiku hata mara nne kukojoa.
Tatizo hapa kwetu kuna tatizo hilo limekuwa likiwapata wengi sana na wengine wanawekewa Mpira ya kuwasaidia kukojoa lakini daima wamekuwa hawaponi nimeshuhudia kwa macho yangu wazee sita wanafariki kutokana na tatizo hili kiasi ambacho linanisababisha nifikiri na kujiuliza Je?? kuna tiba kamili ya Ugonjwa huu????kama tiba sahii ya ugonjwa ipo naomba kujua naweza kumpeleka mgonjwa wangu wapi????? naomba msaada wenu.
Tatizo hapa kwetu kuna tatizo hilo limekuwa likiwapata wengi sana na wengine wanawekewa Mpira ya kuwasaidia kukojoa lakini daima wamekuwa hawaponi nimeshuhudia kwa macho yangu wazee sita wanafariki kutokana na tatizo hili kiasi ambacho linanisababisha nifikiri na kujiuliza Je?? kuna tiba kamili ya Ugonjwa huu????kama tiba sahii ya ugonjwa ipo naomba kujua naweza kumpeleka mgonjwa wangu wapi????? naomba msaada wenu.