Hiyo kitu hapa kwetu ndio issue kubwa lakini nje ya nchi uchunguzi ni siku tatu au nne na operation ikibidi ndani ya same week kwahiyo katika kipindi cha wiki mbili uko fit labda maumivu kidogo kwa ajili ya kupona kidonda cha operation,nina mtu namfahamu alipata hayo matatizo akaenda Muhimbili apointment ya kumuona doctor ilikuwa ni baada ya miezi 6,ikabidi tumchangie pesa akaenda S.Africa,ndani ya wiki mbili kila kitu kilishafanyika na akarudi wiki ya tatu,mpaka sasa ni zaidi ya miaka 10 tokea amefanyiwa hiyo operation and he is doing fine.