Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,824
- 2,079
Nina mzee wangu ambaye ana tatizo la kibofu cha mkojo ni mzee miaka kama 63 hivi,ninampango wa kumpeleka Hospital akafanyiwe matibabu sahihi,wakati najiandaa kifedha naomba sana Mnisaidie nijue mgonjwa wangu huyu anatakiwa asile vyakula gani na ale vyakula gani wakati nasubiri kumpeleka hospitali.
Pia naomba mwenye mawasiliano na daktari mtaalam wa ugonjwa huu anipe namba zake
Nawasilisha.
Pia naomba mwenye mawasiliano na daktari mtaalam wa ugonjwa huu anipe namba zake
Nawasilisha.