Plot4Sale PROT FOR SALE LOCATION BAHARI BEACH. SQUARE METER 7000 PRICE; USD 700,000/= Call;+255717097905

Plot4Sale PROT FOR SALE LOCATION BAHARI BEACH. SQUARE METER 7000 PRICE; USD 700,000/= Call;+255717097905

Hapo na TRA hawatakuacha salama kwenye capital gain tax maana huwa wanaicalculate nzima nzima. Na wabongo akikuuzia property anataka kodi ulipe mwenyewe
 
Huwa naangalia House Hunters TV Show nyumba nyingi nzuri beach front na GHOROFA zinaenda hadi usd 300k ni USA sasa nashangaa huku kiwanja tu 700k usd khaaaa ni shidaa.
 
Iyo ni bei ya puloti sio prot[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nyie madalali bei zenu hizo ukikutana na mtu aliye serious unaweza upigwe makofi kiwanja ninunue kwa Tsh 1.56 billion, kuna makinikia hapo au!?
 
Wenzio wanapiga Sm wa natakaka wakakiangarie
Hao wanajua biashara makubaliano labda mtapunguza sana ndio maana wanataka kuja kukiona. Lakini kiukweli kamwe hamuwezi kuuza bei hiyo kwa mwaka huu. Hiyo bei ime akisi uandishi wako wa PROT FOR SALE badala ya PLOT FOR SALE. Kwa jinsi ninavyojua taarifa ya mijengo flani iliyo maeneo mazuri pembezoni mwa bahari hapa mjini wanashindwa kuuza kwa Tsh 1B zidhani kama unaweza kuu hiyo plot kwa Tsh 1.54B (hii ni baada ya kubadili hizo dola zako $700,000 kwenda TZS=TSH)
 
Ukiuza hiyo plot kwa bei hiyo naomba namba za simu za sangoma wako au shule ya biashara uliyosomea namimi niende nikapate utaalamu.
 
057abb0df73314b334306b3817fc47e5.jpg
Kipi tuelewe unachouza, prot au plot. Au ni lugha gongana
 
Back
Top Bottom