Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Madaktari wamesemaje au umepima uchochoroniHabari wataalam.
Bibie ni mjamzito wa takribani wiki saba sasa. Alikua anajisikia homa na mafua.
Baada ya kufika kituo cha afya vipimo vimeonyesha hana tatizo lolote ila hiyo protini.
Naomba mawazo yenu namna ya ku handle hii issue.
Ni 30mg/dl.
Yuko sawa, hajavimba miguu yuko normal kabisa.
KaribuniView attachment 1188385
habari za mlandizi boss ??Habari wataalam.
Bibie ni mjamzito wa takribani wiki saba sasa. Alikua anajisikia homa na mafua.
Baada ya kufika kituo cha afya vipimo vimeonyesha hana tatizo lolote ila hiyo protini.
Naomba mawazo yenu namna ya ku handle hii issue.
Ni 30mg/dl.
Yuko sawa, hajavimba miguu yuko normal kabisa.
KaribuniView attachment 1188385
habari za mlandizi boss ??
Madaktari wamesemaje au umepima uchochoroni
Hakikisha anahudhuria clinic mara kwa maraHabari wataalam.
Bibie ni mjamzito wa takribani wiki saba sasa. Alikua anajisikia homa na mafua.
Baada ya kufika kituo cha afya vipimo vimeonyesha hana tatizo lolote ila hiyo protini.
Naomba mawazo yenu namna ya ku handle hii issue.
Ni 30mg/dl.
Yuko sawa, hajavimba miguu yuko normal kabisa.
KaribuniView attachment 1188385
Hakikisha anahudhuria clinic mara kwa mara
Kuwepo kwa protein kwenye urine ni dalili za
Kuongezeka pressure (shinikizo la juu la damu) na badae kupata shida inayoitwa eclampsia (kifafa cha mimba). Endapo asipotambua mapema na kuizuia mapema piaa itamsaidiaa kupata mda wakutosha kukua mtoto na kutopata threatened abortion (mimba kutoka kabla ya wakati wake)
hakikisha mnakwenda kupima mara kwa mara hasa blood pressure ( shinikizo la damu)
High lymph inamaana mwili unapambana na maambukizi ya wadudu hivo basi unatengeneza seli hai za mwili zinazojulikana kama lymphocytes kwa wingi ambazo ni mojawapo ya seli nyeupe za damu zenye uwezo wakupambana na maambukizi ya bacteria na wadudu wengine wanaoshambulia mwiiliiNa High lymph? Inamaana gani
High lymph inamaana mwili unapambana na maambukizi ya wadudu hivo basi unatengeneza seli hai za mwili zinazojulikana kama lymphocytes kwa wingi ambazo ni mojawapo ya seli nyeupe za damu zenye uwezo wakupambana na maambukizi ya bacteria na wadudu wengine wanaoshambulia mwiilii
Mkuu blood pressure zake zinasoma ngapHabari wataalam.
Bibie ni mjamzito wa takribani wiki saba sasa. Alikua anajisikia homa na mafua.
Baada ya kufika kituo cha afya vipimo vimeonyesha hana tatizo lolote ila hiyo protini.
Naomba mawazo yenu namna ya ku handle hii issue.
Ni 30mg/dl.
Yuko sawa, hajavimba miguu yuko normal kabisa.
KaribuniView attachment 1188385
Htc lowHCT low
Gran% /gran # low
Ndio nini mkuu?
Nitashukuru ukinifumbua macho na hapa pia
Htc low
Htc (haematrocrit) ni kiwango % cha seli nyekundu za damu
Kupungua kwake kunamaanisha upungufu wa damu (anaemia) na uwezo wa mwili kubeba oxygen
Na High lymph? Inamaana gani
Ni moja ya indicator so unaweza itumia kulingana na setting yako kuestimate uwepo wa upungufu wa damuSure? Kwann huja omba kujua HB kwanza? HTC inaweza kuwa low au high lakn isiwe jibu la Direct. Kwamba patient yuko Anemic
Htc low
Htc (haematrocrit) ni kiwango % cha seli nyekundu za damu
Kupungua kwake kunamaanisha upungufu wa damu (anaemia) na uwezo wa mwili kubeba oxygen
HGB 111g/LSure? Kwann huja omba kujua HB kwanza? HTC inaweza kuwa low au high lakn isiwe jibu la Direct. Kwamba patient yuko Anemic
HCT low 36.6% nilisahau kukwambiaHtc low
Htc (haematrocrit) ni kiwango % cha seli nyekundu za damu
Kupungua kwake kunamaanisha upungufu wa damu (anaemia) na uwezo wa mwili kubeba oxygen
Mimba ya pili mkuu ya kwanza ilienda vyema kabisa hata hii yuko ok haonyeshi dalili yyte mbaya zaidi ya majuz kupima na kupata hiyo reportNaomba kuuliza hiyo ni mimba ya ngapi kwa mke wako boss.