Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Habari wataalam.
Bibie ni mjamzito wa takribani wiki saba sasa. Alikua anajisikia homa na mafua.
Baada ya kufika kituo cha afya vipimo vimeonyesha hana tatizo lolote ila hiyo protini.
Naomba mawazo yenu namna ya ku handle hii issue.
Ni 30mg/dl.
Yuko sawa, hajavimba miguu yuko normal kabisa.
Karibuni
Bibie ni mjamzito wa takribani wiki saba sasa. Alikua anajisikia homa na mafua.
Baada ya kufika kituo cha afya vipimo vimeonyesha hana tatizo lolote ila hiyo protini.
Naomba mawazo yenu namna ya ku handle hii issue.
Ni 30mg/dl.
Yuko sawa, hajavimba miguu yuko normal kabisa.
Karibuni