theriogenology JF-Expert Member Joined Oct 7, 2016 Posts 8,748 Reaction score 15,681 Aug 24, 2019 #21 Step by step said: Mimba ya pili mkuu ya kwanza ilienda vyema kabisa hata hii yuko ok haonyeshi dalili yyte mbaya zaidi ya majuz kupima na kupata hiyo report Click to expand... Ni kiwango cha kawaida sana ukizingatia amebeba mimba mkuu. Cha msingi mwambie mama watoto anywe maji ya kutosha, matunda kwa wingi, na apate muda mwingi wa kutosha..
Step by step said: Mimba ya pili mkuu ya kwanza ilienda vyema kabisa hata hii yuko ok haonyeshi dalili yyte mbaya zaidi ya majuz kupima na kupata hiyo report Click to expand... Ni kiwango cha kawaida sana ukizingatia amebeba mimba mkuu. Cha msingi mwambie mama watoto anywe maji ya kutosha, matunda kwa wingi, na apate muda mwingi wa kutosha..