Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna mikwara sana na smart wako😂
Acha ku guess. Utumbo.Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Ni kweli mkuu na tunawaona kabisaLabda inawezekana
Inawezekana mkuu ila hawa wa JF ndo wa mitaani piaNi kweli mkuu na tunawaona kabisa
Naona ugly clan mko up in armsHahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Kidogo wa mtaani wapo vizuri..Inawezekana mkuu ila hawa wa JF ndo wa mitaani pia
Nashangaa kwanini kisulisuli kilipita hapo katikati hadi tukamiss haya maneno kwa muda usiojulikana[emoji23][emoji23][emoji23]
Still relevant to this day, wanajiona sana hawa ila wamechoka balaa🤣Videmu vya jf vinavyojua kuringa nyuma ya kibodi/simu vinajidai vikali kwakuwa vinatumia Id feki na picha zao hazionekani.
Naunga mkono hoja 100%
Hapa kati ilikua ni vayolensi zakwendraaa 😂!Nashangaa kwanini kisulisuli kilipita hapo katikati hadi tukamiss haya maneno kwa muda usiojulikana[emoji23][emoji23][emoji23]
DaahNakuunga mkono ndugu yangu...