Haya mawazo yenu huwa mnaandikia chooni au!???Kwa nini sasa???????hofu inauwa.....watazame P square ni matajiri ila madogo Davido na Wizkid wanawafunika kimuziki ni sawa na Mondi...ajipange mambo ya kutegemea video Kali kubeba audio mbovu umekwisha...mangoma niliyopenyezewa ya Kiba yanatisha kuna watu wataenda kujificha Somalia
Baadhi ya watu labda Hawaelewi.
Ukisikia Msanii anajisifia kuwa nyimbo yake imetazamwa sana kwenye mtandao wa YouTube ni ishara ya kuwa wimbo wake umependwa na nimzuri.
Ili kujisifia huko kuwe na maana ni pale ambapo video yako inapata organic traffic.
Ukitangaza maana yake umepata watazamaji wakununua mwenyewe.
Kwa kifupi huwezi jua nguvu ya video yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizuri chajiuza,Biashara hiko zaidi ya wewe ujuavyo, Kawaida yetu kumchukia kila mwenye nacho, tunadai Diamond aache uswahili wakati na sisi waswahili wenyewe tunapigana vikumbo kwa waganga kila uchao.
Kulipia Tangazo jambo la kawaida sana jombaaa mpaka hao tunawaowakubali wanafanya hvyo ... Soko linabadilika kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizuri chajiuza,
Kibaya chajitembeza
Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.
Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
View attachment 581154
Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.
Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.
Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.
Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.
Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.
Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.
Hivi Sasa jukwaa la celebrities watu wa discuss nini zaidi ya mwenendo wa wasanii wao kimuziki?Vijana wa kitanzania, jishughulisheni na maisha yenu jamani, mnajihusisha na Diamond anawasaidia nini maishani?
Hivi Sasa jukwaa la celebrities watu wa discuss nini zaidi ya mwenendo wa wasanii wao kimuziki?Vijana wa kitanzania, jishughulisheni na maisha yenu jamani, mnajihusisha na Diamond anawasaidia nini maishani?
Kwani sisi wote ni CHADEMA? Usitusemee mzee.Diamond kazi anayo mwaka huu.
Mwaka huu ndio atajua watanzania ni watu wa namna gani. Pamoja na kwamba yeye pia katawaliwa na uswahili mwingi, kazi anayo.
Mshaurini aachane na mambo ya kiswahili, uswahili utamgharimu, kama anataka kuendelea kubakia kileleni, aachane na uswahili, ajionyeshe kua yeye ni international artist.
Mashindano ya kijinga jinga awaachie wajinga, aachane na mameneja waswahili swahili, mameneja wa kizaramo, maneno mengi.
Bado nina imani Diamond ni mwanamziki mkubwa, akiacha uswahili kama miaka 3 au 2 iliyopita, bado utawala wa muziki afrika mashariki na kati ni wake.
Nafikiri umenielewa vibaya ndugu yangu; vile vile ninajuta kuwa sikukumbuka kuwa thread za namna hii huwa ni za timu. Maoni yangu yalikuwa ni hiyo observation kuwa ninaletewa video hiyo hata jambo ninalofanya halina uhusiano na muziki. Niliangalia video hiyo mara tatu, na vile vile niliangalia ya kiba mara tatu pia kwa vile zilikuwa zimeandikwa sana mtandaoni. Ukiangalia screenshots nilizoweka hapo, utagaundua kuwa mimi ninaangalia muziki wa aina mbalimbali sana, siko tied na timu yoyote; samahani sana kama post yangu hiyo imekuudhi!hahahha...sasa unashangaa nini sasa?? nenda kamwambie mange...hahahaha
Kwaio wewe hapo ndo unatabia za kizungu zungu?Diamond kazi anayo mwaka huu.
Mwaka huu ndio atajua watanzania ni watu wa namna gani. Pamoja na kwamba yeye pia katawaliwa na uswahili mwingi, kazi anayo.
Mshaurini aachane na mambo ya kiswahili, uswahili utamgharimu, kama anataka kuendelea kubakia kileleni, aachane na uswahili, ajionyeshe kua yeye ni international artist.
Mashindano ya kijinga jinga awaachie wajinga, aachane na mameneja waswahili swahili, mameneja wa kizaramo, maneno mengi.
Bado nina imani Diamond ni mwanamziki mkubwa, akiacha uswahili kama miaka 3 au 2 iliyopita, bado utawala wa muziki afrika mashariki na kati ni wake.
Kuna tafauti.View attachment 581519 Kuna tofauti yoyote na hii? hello
Diamond platnumz kulipia YouTube kwa ajili ya promo si sawa ila kiba kulipia instagram kwa ajili ya promo ni sawa ,wewe kama humpendi mtu sema si mpendi, kwa kifupi kiba na mondi wanabebwa na beef mziki hawana na ndio maana wanahangaika mara kiba aombe sapoti kwa mange, Mara alipie promo insta huku mondi nae alipie promo YouTube, kwa kifupi mwaka huu msanii aliyevuma bila promo ni Asley na nyimbo bora ya mwaka ni angekuwepo mama, full stop ila kiba anategemea promo na maadui wa mondi na mondi nae anategemea promo kwa kifupi mziki hawana.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji27] [emoji27]
Kuwa na commercial Youtube ni jambo la maana, la kimaendeleo. Nadhani Diamond yupo step moja ahead ya wasanii wengi Tanzania.Kuna tafauti.
Nawaona Vodacom hapo na biashara ni kuuza miito ya simu...bila shaka ni audio.
Diamond anatafuta Views za YouTube .
Sijui kama umenielewa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena unakuta ni vidume kabisa swali ambalo mimi huwa najiuliza hivi jamaa akifilisika watapata faida gani at least anavyofanikiwa analipa kodi na kaajiri watu pia hivyo kwa kiwango fulani anakuza uchumi
Sent from my Phillips Savy
Hivi Sasa jukwaa la celebrities watu wa discuss nini zaidi ya mwenendo wa wasanii wao kimuziki?
Ni kweli vijana hawa wanaona kijana mwenzao anashuka kiwango na japo wao hawajamfikia lkn haiwanyimi kumshauri mwenzao. Na ukweli mleta mada kuleta mada fukirishi sana unless ni ubishi wetu wa kupinga Kila kitu hata kama ni constructive
Kuna kitu hujaelewa bado.Kuwa na commercial Youtube ni jambo la maana, la kimaendeleo. Nadhani Diamond yupo step moja ahead ya wasanii wengi Tanzania.
Kufanya matangazo ni dalili ya ukubwa wa biashara. Fikiria, Intel wana commrcials nyingi tu, BP wana commercials, Walmart etc...
Kuutangazia wimbo Youtube ni jambo la maendeleo, siyo jambo la kulikebehi.