Proved: Diamond Platnumz alipia Matangazo Youtube

Proved: Diamond Platnumz alipia Matangazo Youtube

Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.

Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
View attachment 581154

Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.

Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.

Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.

Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.

Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.

Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.
Beyonce na Jay wanatangaza ngoma zao daily. wakikujibu njoo niulize nikujibu
 
Mbona hiyo siyo nyimbo ya kwanza kwa yeye kufanya hivyo. Na hata amefanya mini sioni tatizo, ukisikia watu wanafanya promotion ndiyo hivyo kaka!! Hata wasanii wakubwa wanafanya hiyo kitu. Tatizo lako wewe ushamba unakusumbua ndugu. Nyimbo mpya ukitoka kufanyiwa promo ni lazima.

Akili zako unanikumbusha siku moja nilienda kufanya kazi kwa mteja wa kampuni ninayofanyia kazi, nafika pale yule mteja akawa anasema "kampuni yenu siku hizi imeshuka sana kwa namba ya wateja, naona munajitangaza sana na wakati zamani munilikuwa hamufanyi". Mimi nikamuuliza swali dogo tu "mama kwani sisi na kampuni kama tigo, ipo ni kampuni kubwa?", "tigo kampuni kubwa". Nikamuuliza tena "huoni kila ikitembea dakika tano unakuta mabango ya tigo?? Ukifungua radio mara kwa mara unakutangazo za tigo??". Mwisho mama akawa kimya tu.

Na wewe acha majungu ndugu yangu, kama akili yaki haielewi maana ya promotion ilo ni kosa lako na mwalimu wako wa darasani.

Sent using Jamii Forums mobile app
yeye anataka mondi amuembe Mange ndo amtangaze, yeye hajui biashara matangazo, Mondi anawekeza pesa nyingi kwenye kujitangaza lakini mzee kiba anawekeza kwenye poyoyo, kiba anasubiri huruma za watu ndo aishi, kama mange asingemfanyia promo kiba wala asengekuwa na kitu kwenye hiyo seduce yake, na kama Mondi asinge kunya kabla kisha kiba akatoa wimbo wake wala asingepata huruma ya watu.
 
yeye anataka mondi amuembe Mange ndo amtangaze, yeye hajui biashara matangazo, Mondi anawekeza pesa nyingi kwenye kujitangaza lakini mzee kiba anawekeza kwenye poyoyo, kiba anasubiri huruma za watu ndo aishi, kama mange asingemfanyia promo kiba wala asengekuwa na kitu kwenye hiyo seduce yake, na kama Mondi asinge kunya kabla kisha kiba akatoa wimbo wake wala asingepata huruma ya watu.
Kuna kitu hauelewi.
Matangazo anayofanya Diamond ni kununua views za YouTube.

Labda sio mtumiahi wa youtube.
Kama unatumia youtube huwa kuna matangazo yanajitokeza kabla ya kuangalia video unayotaka kuangalia.

Ambayo unaweza Ku skip baada ya sekunde tano.

Maana yake ni nini?
Maana mtu hata kama hauna nia ya kuangalia nyimbo ya Diamond..
Unalazimishwa kuangalia kwa sekunde tano

Na hapo ndipo Diamond anahesabu view.

Kama haujaelewa na hapa basi haupo sawa
 
Kuna kitu hauelewi.
Matangazo anayofanya Diamond ni kununua views za YouTube.

Labda sio mtumiahi wa youtube.
Kama unatumia youtube huwa kuna matangazo yanajitokeza kabla ya kuangalia video unayotaka kuangalia.

Ambayo unaweza Ku skip baada ya sekunde tano.

Maana yake ni nini?
Maana mtu hata kama hauna nia ya kuangalia nyimbo ya Diamond..
Unalazimishwa kuangalia kwa sekunde tano

Na hapo ndipo Diamond anahesabu view.

Kama haujaelewa na hapa basi haupo sawa
We jamaa kweli huna unalojua hata kununua views youtube hujui maana yake ni nini.
Ebu rudi ukajielimishe maana ya kununua views youtube usiwe unaandika vitu usivyojua.
And by the way, hivyo ndivyo youtube inavyoweka matangazo ya kulipia na wala haihesabu kama video imeangaliwa unless huja skip baada ya hizo sekunde ila zikifika ukaskip haihesabiki kuwa uliangalia.
 
Kuna kitu hauelewi.
Matangazo anayofanya Diamond ni kununua views za YouTube.

Labda sio mtumiahi wa youtube.
Kama unatumia youtube huwa kuna matangazo yanajitokeza kabla ya kuangalia video unayotaka kuangalia.

Ambayo unaweza Ku skip baada ya sekunde tano.

Maana yake ni nini?
Maana mtu hata kama hauna nia ya kuangalia nyimbo ya Diamond..
Unalazimishwa kuangalia kwa sekunde tano

Na hapo ndipo Diamond anahesabu view.

Kama haujaelewa na hapa basi haupo sawa
kweli kabisa, sipo sawa, OK je youtube wanaruhusu hilo? Unasema ananunua views je mimi ninaetokewa na hilo tangazo ninalipwaje lipwaje sasa? Hebu nijue hili faster nikadai malipo yangu kwa mondi. Tunaelimishana tu ili tujue, maana we kama wajua hili mimi najua jambo jingine, huwa hatufanani katika kujua mambo. Asante
 
Diamond ameshindikana.
Watu walishawahi kupiga kelele Kiba amezubaa kwa promo,leo mmesahau?Kiba anapendwa na wanaomchukia Diamond tu na ndio maana alipigia viti vitupu dodoma
 
Back
Top Bottom