PSG kumtambulisha Neymar kwa ‘mbwembwe’ Jumatano

PSG kumtambulisha Neymar kwa ‘mbwembwe’ Jumatano

Nasikia bosi wa la liga amesema hawatakubali malipo ya psg kwenda barca sababu psg wamekiuka sheria ya financial fair play(FFP)
Hispania wana makodi ya juu sana Nina wasiwasi hata masuper star wengine kwenda pale itakuja kuwa shida
 
Neymar amewasili Portugal na ndege binafsi kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na klabu ya PSG kwa ada ya pauni milioni 198 kiasi ambocho kinamfanya kuweka rekodi ya dunia akitokea Barcelona.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazili amewasili Porto usiku wa Jumatano mara baada ya kuuwambia uongozi wa Barca kuwa anahitaji kuondoka na kujiunga na matajiri wa Ufaransa PSG kwa dili ambalo litamuhakikishia kulipwa pauni 500,000 kwa wiki(1.5B tsh)

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25, hakufanya mazoezi na Barcelona siku ya Jumatano na amepatiwa ruksa ya kuondoka katika klabu hiyo.

Mtandao wa Barcelona umetoa maelezo kuwa “Neymar Jr, akiwa na Baba yake na wakala wake wamethibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo baada ya kukaa kikao na ofisi za klabu hiy



What goes around always comes around
 
Neymar amewasili Portugal na ndege binafsi kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na klabu ya PSG kwa ada ya pauni milioni 198 kiasi ambocho kinamfanya kuweka rekodi ya dunia akitokea Barcelona.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazili amewasili Porto usiku wa Jumatano mara baada ya kuuwambia uongozi wa Barca kuwa anahitaji kuondoka na kujiunga na matajiri wa Ufaransa PSG kwa dili ambalo litamuhakikishia kulipwa pauni 500,000 kwa wiki(1.5B tsh)

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25, hakufanya mazoezi na Barcelona siku ya Jumatano na amepatiwa ruksa ya kuondoka katika klabu hiyo.

Mtandao wa Barcelona umetoa maelezo kuwa “Neymar Jr, akiwa na Baba yake na wakala wake wamethibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo baada ya kukaa kikao na ofisi za klabu hiy



What goes around always comes around
nintchdbpict000343171998-1-600x363.jpg

nintchdbpict000343171592-600x400.jpg

nintchdbpict000343171595-600x426.jpg


What goes around always comes around
 
Mbona watu wa hispania wanaanza kuleta SIASA aisee
ina mana neymar anaichezea hispania ama barca?
Yani mimi nangojea mshahara wa bilioni 1.5 kwa wiki halafu mnanizuia aise patachimbika hio nchi siku hio

What goes around always comes around
 
Mbona watu wa hispania wanaanza kuleta SIASA aisee
ina mana neymar anaichezea hispania ama barca?
Yani mimi nangojea mshahara wa bilioni 1.5 kwa wiki halafu mnanizuia aise patachimbika hio nchi siku hio

What goes around always comes around

Kitu tayari, wino ushamwagwa kandarasi la miaka 5. Pesa bwanaaa daaah.
 
Kitu tayari, wino ushamwagwa kandarasi la miaka 5. Pesa bwanaaa daaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safi

20626992_1583945531667910_6123895632874428250_o.jpg

Noma hii bwana ...sasa mji mzima wa PARIS ni NEYMAR tu kila mahali

What goes around always comes around
 
Kwa mashabiki wa klabu ya Barcelona huenda wasiamini tetesi za mshambuliaji wao Mbrazil, Neymar Jr kuwa ameitosa klabu yake na kuhamia kwa matajiri wa Ufaransa, Paris Saint-Germain, ukweli ni kwamba dili hilo ni asilimia 98 limeshatiki kinachosubiriwa ni masaa tu atangazwe.

Kwa mujibu wa magazeti makubwa nchini Ufaransa kama L’Équipe na Europe 1 yametangaza kuwa Neymar leo jumanne anaenda Doha, Qatar kuonana na Rais wa klabu hiyo Nasser Al-Khelaifi na kufanyiwa vipimo vya afya.

Zoezi la kumtambulisha na kumtangaza Neymar linatarajiwa kufanyika kesho, jumatano tar 2 Agosti kwa mbwembwe ndani ya jiji la Paris nchini Ufaransa ambapo maelfu ya mashabiki wa klabu hiyo watahudhuria kwenye uwanja wa klabu hiyo.

Kwa mujibu wa gazeti la L’Équipe taarifa zinaeleza kuwa viongozi wa klabu hiyo wapo kwenye mazungumzo na Meya wa jiji hilo kuomba kibali cha kuweka picha kubwa ya Neymar kwenye mnara maarufu zaidi duniani ulio katikati ya jiji hilo ujulikanao kwa jina la Eiffel kama walivyowahi kufanya kwa Zlatan Ibrahimovic walivyomsajili akitokea Barcelona.

Uhamisho wa Neymar kutoka Barcelona umeripotiwa kuwa ni wa Euro Milioni 193 na kama itatokea utakuwa ndio usajili wa ghali zaidi duniani kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu.

Hata hivyo taarifa hizo za Neymar kuhama Barcelona zinashika kasi kwa kile kinachoonekana kuwa klabu hiyo imeshindwa kumlipa baba yake mzazi na Neymar, Neymar Sernior ambaye ndiye meneja wake kiasi cha Euro Milioni 26 kama masharti ya mkataba yalivyoeleza.

Katika mkataba alioingia na Barcelona akitokea Klabu ya Santos ya Brazil, unaeleza kuwa kama Neymar akiongeza mkataba mpya na Barcelona, basi baba yake huyo ambaye ni meneja wake anapaswa kulipa kitita cha euro milioni 26.

View attachment 555412 View attachment 555413 View attachment 555416
hapa alikua ndio anatoka DUBAI dogo kuonana na sheikh,..usajili wake utakua zaidi ya bilioni 500 na ushee za kitanzania....ni pesa juu ya pesa tu hamna namna.

baba ake ni wakala wake sio meneja wake
 
Back
Top Bottom