Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Mkeka ndo nini?Kisa ka chana mkeka ndio atimuliwe??????
Kimmich, Rodriguez, Alaba, AlcantaraTolisso ana miaka 22 ndio aliwaua PSG 2 peke yake pasi murua kutoka kwa coman Mwenye miaka 21.
Endelea kusema ni team ya wazee
Naunga hoja Unai Emery kashindwa PSG ana kila Resource anza na ile Game na Barca faida ya goli 4 akalambwa 6 juzi kabla ya kukutana na Bayern Munich kalambwa ligi ya Ufaransa na timu ya mwishoni kabisa.
Ila nakataa kuwa Bayern Munich ni Wabovu,Bundesliga wanaongoza ligi ukiwatoa Ribbery na Robben karibia wote wana umri wa kawaida tu,Colman,Kimmich,alcantara,Boateng,hummels,ulreich labda na Martinez javier ila wanapiga shughuli.
Waulize Arsenal mwenyewe barca kuna kipingi alikula 7G nje ndani.
Umepata matokeo ?
Zanzibar heroes nao hamnaga chochote
Anway wafungeni ili tupate sababu zaidi ya kuomba wapiga domo waliojazana TFF watumbuliwe, kama itawezekana
Hata Man City nao wamefungwa na kitimu dhaifu je Guardiola afukuzwe?Sasa kwa akili yako ni coach gani ataweza kufit pale psg? Unai Emery ni kocha mzuri na mwenye uzoefu. Ana europa league 3 na Sevilla bado unamwona hafai.
Afu kitu kingine ile ilikuwa ni game ya kukamilisha ratiba tu.
Ohooo !!!Haiwezekani timu kali kama hiyo inafungwa na vile vizee vya Bayern Munich , how comes ?
Huyu kocha hana uwezo wa kufundisha timu kubwa wala hajui kwanini yuko PSG .
Ohooo !!!
Baada ya Emery kwenda PSG ikapigwa 3 - 1 na Dijon, ikapigwa 5, ikasuluhu UEFA na timu inashika mkia kwenye kundi lao, ikasuluhu na Real ambayo waliifunga 3 walivyokutana mara ya kwanza.Ohooo !!!