Larusai Mux
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 979
- 277
Wakuu wanajf,
huu ni mwezi unakaribia wa nne sasa toka wanabod wa Ugavi Na Ununuzi au Procurement & Supplies wafanye mitihan lakin hadi sasa matokeo hayajatoka!
Nakumbuka mitihani ya PSPTB Ilifanyika wiki moja baada ya mitihani ya CPA kuanza!,ila cha kushangaza matokeo ya CPA yametoka yapata miezi 2 sasa!,hakuna taarifa maalum iliyotolewa na PSPTB kwa ucheweleshaji wa matokeo haya.
My take; Hii bod ivunjwe iundwe upya?!
huu ni mwezi unakaribia wa nne sasa toka wanabod wa Ugavi Na Ununuzi au Procurement & Supplies wafanye mitihan lakin hadi sasa matokeo hayajatoka!
Nakumbuka mitihani ya PSPTB Ilifanyika wiki moja baada ya mitihani ya CPA kuanza!,ila cha kushangaza matokeo ya CPA yametoka yapata miezi 2 sasa!,hakuna taarifa maalum iliyotolewa na PSPTB kwa ucheweleshaji wa matokeo haya.
My take; Hii bod ivunjwe iundwe upya?!