kama ni diploma holder itakuchukua miaka 3 hadi kumaliza level zote na kufanya research hii ni kama hautashikwa pepa hata moja na itakuchukua mwaka na nusu kuwa sawa na mtu wa degree sababu degree wanaanza level 4 na we ndan ya mwaka nusu kama hautashikwa pepa hata moja utakuwa umeshafika level 3, sababu kila mwaka unafanya mara mbili.