PSRS aptitude test experience

PSRS aptitude test experience

Pinacoladee

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2023
Posts
858
Reaction score
1,120
Hello job seekers, Sekretarieti ya ajira (PSRS) umeanzisha utaratibu mpya wa kufanya written interview online(aptitude test) mitihani hii imefanyika kwenye kila mkoa Tanzania nzima kwa vituo vilivyoanishwa.

Hivyo basi Leo tar 6 umefanyika mtihani ambao unajulikana kama aptitude test wameanza na maafisa tehama, tunaomba mliofanya mkashare nasi experience zenu,ulikuaje?

Vipi masuala ya muda na je mmekumbana na changamoto gani?
 
Vp na matokeo maafisa tehama?
 

Attachments

  • FB_IMG_1712436123127.jpg
    FB_IMG_1712436123127.jpg
    121.1 KB · Views: 48
  • FB_IMG_1712436117192.jpg
    FB_IMG_1712436117192.jpg
    95.3 KB · Views: 40
  • FB_IMG_1712436117192.jpg
    FB_IMG_1712436117192.jpg
    95.3 KB · Views: 42
  • FB_IMG_1712436123127.jpg
    FB_IMG_1712436123127.jpg
    121.1 KB · Views: 41
Riziwani ajengewe mnara mkubwa sana Dodoma Kwa hili,badala ya kutumia laki 3 kwenda kufanya interview Dodoma itakuwa bando lko TU la buku tano unakula interview online hongera sana
 
kazi imebakia kwenye placement but what about oral interview ?
 
Natamani kujua kuhusu swala la muda, maana zile tulizokua tunaenda Dodoma sidhani kama tulikua tunafanya hizo dk 45 kiukweli.
 
Back
Top Bottom