ππππdaaah shida tupuMiaka haiwezi kufanana. Ups and downs zipo pale pale kwa kila mmoja ingawa zinatofautiana.
Hivi Jobless tulimkosea wapi Mungu?[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuku kazi yake ni kuliwa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Liver sijui wamemkosea wapi Mungu aseeeh
ππππKuku kazi yake ni kuliwa tuu
Maybe watumie busara lakini kwenye Dunia hii ya Karne ya 21 busara hai-work, umenikumbusha post moja iliyotoka ,akaitwa mtu mmoja oral akapata 43% afu akawa unselected,just imagine only one position but still alikuwa unselected,so hata hapo jua tambua kuwa kutokana na nature ya paper na position wanaweza kuwa term kama failures ambao mkipewa kazi au second chance mtaenda kuharibu kazi maybe practical iwe ilikosewa au iwe valid kuwa ilikuwa irrelevant au Kuna makandokando yaliyofanyika, lasivyo litakuwa re-advertised upya au njia mbadala nyingine itatumika.
Tumekusoma mkuu by the way napataje hiyo pdf ya kanuni ili nisome na yasiyoonekana hapa ili nijifunze zaidiPSRS wanafuata kanuni sio busara, soma kip. cha 16 cha kanuni
View attachment 2383098
PSRS wanafuata kanuni sio busara, soma kip. cha 16 cha kanuni View attachment 2383098
sasa mbona utakuta written interview zingine wanachukua waliopata 90 kwenda kwenye oral wakati kuna waliopata 80 kama sheria ni kuchukua waliopata mpaka 70PSRS wanafuata kanuni sio busara, soma kip. cha 16 cha kanuni
View attachment 2383098
Kuna sheria ile inayosema oral watu watatu wanagombania nafasi moja ndo itakayotumika haposasa mbona utakuta written interview zingine wanachukua waliopata 90 kwenda kwenye oral wakati kuna waliopata 80 kama sheria ni kuchukua waliopata mpaka 70
Tumekusoma mkuu by the way napataje hiyo pdf ya kanuni ili nisome na yasiyoonekana hapa ili nijifunze zaidi
Inategemea kama Wasailiwa ni wengi pia wanachukua wastani mkubwa ila kama ni wachache wanafuata wastani wa Kanuni.sasa mbona utakuta written interview zingine wanachukua waliopata 90 kwenda kwenye oral wakati kuna waliopata 80 kama sheria ni kuchukua waliopata mpaka 70
Kuna mengine au ni yale yale ya jana usiku?Mikando inatarajia kuanza wiki ijayo bt wengi Bado hawajatambua kama majina yametoka
Angalia post zilizopita walipost kwenye hii threadMaswali ya post ya examination officer
Tunaomba
Saidie maana nimeshatafuta humu sijaonaAngalia post zilizopita walipost kwenye hii thread
Angalia post #270Ni
Saidie maana nimeshatafuta humu sijaona
Nimeona ya admission officer tuu
sasa mbona swali ni moja alafu ni researchAngalia post #270