PSRS interview questions (written, pract & oral)

PSRS interview questions (written, pract & oral)

Daah wizy katukimbia aisee Maana ndio mzee katuchangamsha na status za SHORTLISTED na Selected for null..yaan tunaomba wizy arudi na status zake walau Tuchangamke
😂😂😂😂😂Nimerudi tena aseeeh niliishiwa nikabaki na nauli tu tumefanikiwa kuongeza shortlisted ya pili Sasa lakini kwa mbinde sana
 
Wamerudi maswali ya challenge sasa me sinilishafanya hayo sijaona Yani lile swali geni kabisa sijaona
Kwa hyo wizy ukasema hapa hapa wanataka challenges 5 ,,nawapa mpka za ziada na soln zake kwa mbalimbal swali letu la kufunguia usahili [emoji3][emoji3] hili tunaliitaga Kama why should we hire u,, to solve challenges kazini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka nilibahatika kupenya kwa mbinde sana
Hahahaa, nilidhani washakuangushia kitu kizoto ukawa unaugulia maumivu hadi ukaamua ukae kimya kwanza.
 
Kwa hyo wizy ukasema hapa hapa wanataka challenges 5 ,,nawapa mpka za ziada na soln zake kwa mbalimbal swali letu la kufunguia usahili [emoji3][emoji3] hili tunaliitaga Kama why should we hire u,, to solve challenges kazini
😂😂😂😂Yes yes maana ukiwa umejiandaa halafu likaja mule mule kimoyo moyo unajisemea leo ngoja niwaoneshe kazi
 
Hahahaa, nilidhani washakuangushia kitu kizoto ukawa unaugulia maumivu hadi ukaamua ukae kimya kwanza.
😂😂😂😂Nilikosa bando kaka ilinibidi niwe natumia simu ya mshikaji hivi
 
Kwenye kazi yako hasa wale wa post za technical au audit au TA au engineering
Ngoja ajaribu bahati akiingia apigwe challenge za kazi yako ashangae ,,apate uzoefu wa wakandaji ,,aanzee Pardon plzzz , give at least 5 ..hapo mwana anajua 2 yaani sio poa aisee[emoji1787]
 
Ngoja ajaribu bahati akiingia apigwe challenge za kazi yako ashangae ,,apate uzoefu wa wakandaji ,,aanzee Pardon plzzz , give at least 5 ..hapo mwana anajua 2 yaani sio poa aisee[emoji1787]
😂😂😂😂😂Mamaeee wale washenzi wanakaziaga five five afu wamekuangalia usoni aseeeh interview ni vita kama vita ,siku ya kwanza ilibidi niwambie whatiiiiiiii?wakasema challenges in your working place aseeeh
 
Back
Top Bottom