PSRS interview questions (written, pract & oral)

Kabisa mkuu, tangazo limeanisha saa Saba mchana then interview inafanyika saa nne asubuhi..natamani kujua je ni kwa kanda na kada zote wamefanya hivi ??
Naona kweny Typing upande huo wa Mbeya alikosea ilikua Asubuhi. Maana kwa Mwanza inaonyesha ni Saa 1 Asubuhi na Tumefanya nao pamoja Yaani Afisa Tawala na Trade officer Chumba kimoja M 15 SAUT
 
Hapo unaanza highest education qualification to the lowest qualification Ila usitaje primary school unaishia sekondari
Duh hii ndo naiskia leo,mm naanzanga chin kuja juu then narelate as to why nimeapply for a job
But hzo ni kwa private companies as for utumish sjajua inakuaje
 
Vp mkuu ulipita oral?
 
Swali kwa software developer kwenye practical ni text Editor au IDE gani utumika ?
 
Recently utumishi hawatoi vitu nje ya ulichosoma darasani iwe written au Oral
 
Samahanii wakuu naomba aliyewahii kufanyaa interview utumishi kada ya diploma ya civil engineering anipee muongozo wa maswalii unakuaje???,,
 

Actually
 
H
Mmh haya mambo ya usaili hayanaga ata formula kikubwa ni kumuomba Mungu tu,wapo wanaojibu maswali kwa confidence na pengne kwa usahihi na wanakosa,only God
umesema point kubwa pale unaweza fanya vzuri ukaona umejibu fresh na kazi usipate mungu ndo mtoaji nasema hvyo kwa ushahidi wangu mm mwenyewe
 
Yaan hapa.nimesikia mpka main yamecheza mzee
Hiyo nondomya research mzee mmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji419]Nimesoma uzi wote kwakwel nimepatwa na kitete alooo!!

Hapa nimetuma maombi kwa nafasi ya COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II
Ninawaza kurudi kwenye notes, sina alooooo

[emoji837][emoji837][emoji837]DANGER
MWENYE maswali ya kada hiyo hapo aniambie
Hata hints zake wakuu

Ili mkeka ukitoka kama nitakuwepo nijue naset nuclear upande upi

Nawasilisha

MKANDAJI AKANDWE[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa inachukua muda gani hadi majina ya Usahili kutoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…