Nasikia hata miez 2 inaweza kataHuwa inachukua muda gani hadi majina ya Usahili kutoka?
Yah kama sisi tunasubr call for interview tangu mwezi wa february mpka leo hakuna call for interview na hatujui lini wataita
Duuh sio poa Asee. Na utajuaje kama umeitwa kwa interview au portal itaongeaYah kama sisi tunasubr call for interview tangu mwezi wa february mpka leo hakuna call for interview na hatujui lini wataita
Kumbe kukaa kwa kutulia sasa
yah utaona kwa account yako ya ajira portal na list itatolewa kwenye pdf so utajua tuDuuh sio poa Asee. Na utajuaje kama umeitwa kwa interview au portal itaongea
Vipi ulipata hiyo kazi?Oral interview
Which you use to know if your students they understand what you taught? Hii ni baada ya kupresent
After presentation unapewa kiti ukae.
Maswali
1. Give us your background
2. What is the meaning of security as applied in information technology?
3. Give out five techniques you may use teach.
4. Give out importance of computer network ( 5 point )
5. Assessment techniques ( 5 point ) ila sikumbuki vizuri hapa.
Bila shaka ulifanikiwa kuajiriwa!daaah kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku ile natoka nikaona mzee mmoja anacheka itakuwa walishatupa karatasi yangu ile hahhh
SikupataVipi ulipata hiyo kazi?
Tupe mrejesho! Bila shaka ulitoboa kwenye oral na hivi sasa unakula mshahara.Mrejesho:
Kwakweli ni kwamba mimi kwa mara ya kwanza nilifika utumishi kwaajili ya written interview. Niseme tu nilifika Dodoma saa saba usiku kutokana na mazingira ya kusafiri kuwa magumu.Mara baada ya kufika sijuwa na sehemu ya kufikia,hivyo ilinilazimu nikeshe barabarani sehemu ambapo watu wapo muda wote.Asubuhi nilinunua maji nikanawa uso na kuchukua toyo mpaka UDOM.
Nilipofika nilihamaki uwingi wa watu! Nikasema Mungu hiki ni nini? Nikajisemea nimekuja kufanya nn huku? Nikiwa ninaonekana mshamba na upweke nisiye na hata rafiki wa kujadili naye chochote nikiwa nimesimama pembeni ya lecture theatre 1 kule college of business and education.
Baada ya muda walifika wasimamizi wakaanza kagua vyeti,nikafoleni nikaingia nikiwa na unyonge,ushamba,uchovu na usingizi mkubwa huku nikiwaza kuwa I am just trying.
Kweli paper ikaletwa,tukaelekezwa then tukafanya.Kiukweli ilikuwa NGUMUUUUUUUU! Ila inafanyika kwa wale wasomi na wafuatiliaji wazuri wa sera ya serikali katika utoaji wa mikopo kwa elimu ya juu.Ufanyaji wangu ulikuwa ni wa kujikongoja,huku nikihakikisha kila swali nagusa.
Nilijibu short and clear. Huku nikiwa nimekata tamaa. Ila kuna wanaume na wanawake haswaa waliomba hadi karatasi ya pili.Nilitoka na kuwahi stand nikapata chochote na kuanza safari ya kurudi kijijini kwetu nikiwa sina matumaini Yoyote.
Matokeo:
Leo nimeshikwa butwaa et nipo SELECTED FOR ORAL! Sikutegemea kabisa.Msimamo wangu ni kuwa nitarudi tena Dodoma kuwasikiliza maboss wakandaji live,nitakwenda KUJARIBU hiyo Oral.Sijawahi simama kwaajili ya Oral ila niwakute hukohuko hao wakandaji.Nikikosa basi,nitashukuru Mungu kwa kila kitu.
Kila lakher kwa woteeee mnaopigania huko,Mungu awafungulie njia.
Mungu akubariki utapata tuSikupata
AmenMungu akubariki utapata tu
Huo ndo mtihani ulivyokuwa hayo ndio maswali yaliyotoka jana. 1.Briefly explain why trial balance msy still balance even if there is incorrect entry posted in a group of accounts.WRITTEN INTERVIEW KORUWASA kwa upande wa Accounts Assistant please share maswali, watu wapate mwanga kwenye maandalizi ya saili zijazo
Vipi ulishatoboa mkuu?EXAMINATION OFFICE
Maswali niliyowahi kukutana nayo.
1. Assume you are living in dar es salaam, you observe the problem of waste all over the city. As a researcher write up a proposal to express the problem you observed.
2. Briefly explain two types of observation as used in research.
3. You are hired as an examination officer in institution..explain the measures you would apply to constrain cheating in examination.
4. Briefly explain the examinations rules applied before and after examination.
5. Procedures to write research proposal.
And so on...mengne sikumbuki mana nshaenda paper zao nying za Tutorial Assistant na Examination Officer.
Mi ni in-service muda tu..mwanzoni nilikiwa natafuta green pasture ili niondoke huku TAMISEMI..nilikuwa nataka central gvt lakini ndio imeshindika...file imejaa mbarua ya PSRS mpaka mwajiri anakuita anakwambia najua una uwezo tulia unisaidie kazi nitakupendekeza unapotaka kwenda.Vipi ulishatoboa mkumkuu