PSRS interview questions (written, pract & oral)

PSRS interview questions (written, pract & oral)

Haieleweki lini wanaita lakin miez inaweza kupita
 
Yah kama sisi tunasubr call for interview tangu mwezi wa february mpka leo hakuna call for interview na hatujui lini wataita
Duuh sio poa Asee. Na utajuaje kama umeitwa kwa interview au portal itaongea
 
Oral interview

Which you use to know if your students they understand what you taught? Hii ni baada ya kupresent

After presentation unapewa kiti ukae.

Maswali
1. Give us your background
2. What is the meaning of security as applied in information technology?
3. Give out five techniques you may use teach.
4. Give out importance of computer network ( 5 point )
5. Assessment techniques ( 5 point ) ila sikumbuki vizuri hapa.
Vipi ulipata hiyo kazi?
 
Mrejesho:


Kwakweli ni kwamba mimi kwa mara ya kwanza nilifika utumishi kwaajili ya written interview. Niseme tu nilifika Dodoma saa saba usiku kutokana na mazingira ya kusafiri kuwa magumu.Mara baada ya kufika sijuwa na sehemu ya kufikia,hivyo ilinilazimu nikeshe barabarani sehemu ambapo watu wapo muda wote.Asubuhi nilinunua maji nikanawa uso na kuchukua toyo mpaka UDOM.

Nilipofika nilihamaki uwingi wa watu! Nikasema Mungu hiki ni nini? Nikajisemea nimekuja kufanya nn huku? Nikiwa ninaonekana mshamba na upweke nisiye na hata rafiki wa kujadili naye chochote nikiwa nimesimama pembeni ya lecture theatre 1 kule college of business and education.


Baada ya muda walifika wasimamizi wakaanza kagua vyeti,nikafoleni nikaingia nikiwa na unyonge,ushamba,uchovu na usingizi mkubwa huku nikiwaza kuwa I am just trying.

Kweli paper ikaletwa,tukaelekezwa then tukafanya.Kiukweli ilikuwa NGUMUUUUUUUU! Ila inafanyika kwa wale wasomi na wafuatiliaji wazuri wa sera ya serikali katika utoaji wa mikopo kwa elimu ya juu.Ufanyaji wangu ulikuwa ni wa kujikongoja,huku nikihakikisha kila swali nagusa.


Nilijibu short and clear. Huku nikiwa nimekata tamaa. Ila kuna wanaume na wanawake haswaa waliomba hadi karatasi ya pili.Nilitoka na kuwahi stand nikapata chochote na kuanza safari ya kurudi kijijini kwetu nikiwa sina matumaini Yoyote.

Matokeo:

Leo nimeshikwa butwaa et nipo SELECTED FOR ORAL! Sikutegemea kabisa.Msimamo wangu ni kuwa nitarudi tena Dodoma kuwasikiliza maboss wakandaji live,nitakwenda KUJARIBU hiyo Oral.Sijawahi simama kwaajili ya Oral ila niwakute hukohuko hao wakandaji.Nikikosa basi,nitashukuru Mungu kwa kila kitu.


Kila lakher kwa woteeee mnaopigania huko,Mungu awafungulie njia.
Tupe mrejesho! Bila shaka ulitoboa kwenye oral na hivi sasa unakula mshahara.

Nimesikitishwa mno na namna ulivyoelezea mateso yako. Yaani hata mswaki hukupiga, ukanawa uso tu na kwenda kwenye usaili.
 
WRITTEN INTERVIEW KORUWASA kwa upande wa Accounts Assistant please share maswali, watu wapate mwanga kwenye maandalizi ya saili zijazo.
 
WRITTEN INTERVIEW KORUWASA kwa upande wa Accounts Assistant please share maswali, watu wapate mwanga kwenye maandalizi ya saili zijazo
Huo ndo mtihani ulivyokuwa hayo ndio maswali yaliyotoka jana. 1.Briefly explain why trial balance msy still balance even if there is incorrect entry posted in a group of accounts.

2. Reasons for difference between cash book and bank statement.

3. Source of document ya hivi vitu.
1.Purchase book.
2.sales book.
3.Purchase return book.
4.Sales return book.
5. Cash receipt.
6. Cash payment.
7. Cheque payment

4. Mention 5 benefit of preparing profit and loss account.
 
EXAMINATION OFFICE
Maswali niliyowahi kukutana nayo.
1. Assume you are living in dar es salaam, you observe the problem of waste all over the city. As a researcher write up a proposal to express the problem you observed.

2. Briefly explain two types of observation as used in research.

3. You are hired as an examination officer in institution..explain the measures you would apply to constrain cheating in examination.

4. Briefly explain the examinations rules applied before and after examination.

5. Procedures to write research proposal.

And so on...mengne sikumbuki mana nshaenda paper zao nying za Tutorial Assistant na Examination Officer.
 
EXAMINATION OFFICE
Maswali niliyowahi kukutana nayo.
1. Assume you are living in dar es salaam, you observe the problem of waste all over the city. As a researcher write up a proposal to express the problem you observed.

2. Briefly explain two types of observation as used in research.

3. You are hired as an examination officer in institution..explain the measures you would apply to constrain cheating in examination.

4. Briefly explain the examinations rules applied before and after examination.

5. Procedures to write research proposal.

And so on...mengne sikumbuki mana nshaenda paper zao nying za Tutorial Assistant na Examination Officer.
Vipi ulishatoboa mkuu?
 
Jamani nimeitwa kufanya interview ya katibu wa bunge daraja la pili kada ya uchumi. Naweza soma nini na nini? Ahsanteni!
 
Vipi ulishatoboa mkumkuu
Mi ni in-service muda tu..mwanzoni nilikiwa natafuta green pasture ili niondoke huku TAMISEMI..nilikuwa nataka central gvt lakini ndio imeshindika...file imejaa mbarua ya PSRS mpaka mwajiri anakuita anakwambia najua una uwezo tulia unisaidie kazi nitakupendekeza unapotaka kwenda.
Saivi navizia za transfer tu.
 
Back
Top Bottom