Kweli maana niliwahi kufanya na jamaa mmoja anakwambia yeye anakumbuka maswali ayojibu kwa usahihi ni matatu lakini akachukuliwa sasa sijui ni nini wanazingatia hasa kwenye oralNdo ivyo mkuuu sijui aiseee hawa watu wanafanyaje fanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli maana niliwahi kufanya na jamaa mmoja anakwambia yeye anakumbuka maswali ayojibu kwa usahihi ni matatu lakini akachukuliwa sasa sijui ni nini wanazingatia hasa kwenye oralNdo ivyo mkuuu sijui aiseee hawa watu wanafanyaje fanyaje
Kwahiyo mshindi anapatikana pale pale siku ile au?Na huwaga hizi marks wanajumlisha palepale baada ya wew kutoka humo ndani na kabla mwingine hajaingia
Ngoja waje wenye uzoefu nazo hizoJamani kuna mtu alishawahi kufanya written interview utumishi kada ya examination officer anipe mwangaza wa maswali yanakuaje
KumbeeNa huwaga hizi marks wanajumlisha palepale baada ya wew kutoka humo ndani na kabla mwingine hajaingia
Hii ni marine operator?Explain the umbrella drivers of marine conservation
Mention and explain the sources of environmental awareness creation in the community
Main contribution of stakeholders in marine conservation
What are the 3 x-tics of marine parks
Kila kitu kinaisha siku ile ileKwahiyo mshindi anapatikana pale pale siku ile au?
😂😂😂😂Kwahiyo walishanifyekelea mbaliKila kitu kinaisha siku ile ile
Nazani akipatikana pale pale inabaki kukusanywa kwenye PDF la pamoja la placements ndio maana kwasasa huwezi kujua kama umepita ama la[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo walishanifyekelea mbali
daaah kweli 😂😂😂😂siku ile natoka nikaona mzee mmoja anacheka itakuwa walishatupa karatasi yangu ile hahhhNazani akipatikana pale pale inabaki kukusanywa kwenye PDF la pamoja la placements ndio maana kwasasa huwezi kujua kama umepita ama la
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]daaah kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku ile natoka nikaona mzee mmoja anacheka itakuwa walishatupa karatasi yangu ile hahhh
Tuendelee kutupia maswali wadau[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio hazina uhusianoMarks za written hazina uhusiano na oral wakuu?? Ukipiga written fresh ukazingua oral ndo imekula kwako au??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daaah kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku ile natoka nikaona mzee mmoja anacheka itakuwa walishatupa karatasi yangu ile hahhh
Hujawahi kuona mtu ana division I point 9 Olevel ila Advance anaambulia three ya mwishoni huko?Marks za written hazina uhusiano na oral wakuu?? Ukipiga written fresh ukazingua oral ndo imekula kwako au??