PSRS interview questions (written, pract & oral)

PSRS interview questions (written, pract & oral)

Ukiulizwa ivyo inategemea na wewe uko vip? Nina maana hapo Kuna option kibao na wala hwanaga shida ya kujua unatokea ukoo gani na umezaliwa wapi

Kuna option hapa kama ulikuwa ni mfanyakazi huko nyuma na job kati ya equivalent zake ilikuwa experienced candidates is highly preferred!! Hapa unagusia elimu kidogo mfano itapiga position ya mwisho kwa level ya elimu yako for instance am a degree holder in ........utajuta kada yako na utaongea na udambwi kibao katika ufanyi kazi wako kama una experience utaelezea achievement katika carrier katika ufanisi wako umetatua ishu ....Nina maana ukisema una degree tayar washajua ulisoma msingi ukaenda sekondari labda ukaenda advance na chuo kabisa yaani imebeba kila kitu juu kwa juu kumbuka!! Pala washapitia documents zako za muhimu wanajua mpaka trh ya kuzaliwa so sio lazima ujieleze sana wanajua base katika carrier yako ulete ushawishi kidogo hawana shida na unatokea wapi sijui umezaliwa wapi.

Kingine we ni fresh graduate directly from the University hauna experience [emoji23][emoji23][emoji24]wala nn je point za carrier utazipata wapi? Yeap ushajitambulisha fresh mpaka wakujua una degree sehemu lakini kumbuka degree yako iko na mambo kibao ulipitita labda field Kuna project kama mmi tulifanya project mwaka wa pili kwenda wa tatu ,hata kama ukifanya volunteer ,hata research kama inarelate na kazi unaweza kumgusi kuonyesha uko fresh sehemu fulani ..gonga kingereza kilichoenda mbele japo unaweza kusita ila usirudie maneno jipangilie flow mwanzo mwisho .


Usipoteze mda unaweza kupewa dk 3 ukileta zile saijui I was born in ,am the third child in my family [emoji26][emoji26][emoji26]utaumia watakustopisha wakutoe nje.
Huu muongozo uko vizuri. Asante Sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ukiulizwa ivyo inategemea na wewe uko vip? Nina maana hapo Kuna option kibao na wala hwanaga shida ya kujua unatokea ukoo gani na umezaliwa wapi

Kuna option hapa kama ulikuwa ni mfanyakazi huko nyuma na job kati ya equivalent zake ilikuwa experienced candidates is highly preferred!! Hapa unagusia elimu kidogo mfano itapiga position ya mwisho kwa level ya elimu yako for instance am a degree holder in ........utajuta kada yako na utaongea na udambwi kibao katika ufanyi kazi wako kama una experience utaelezea achievement katika carrier katika ufanisi wako umetatua ishu ....Nina maana ukisema una degree tayar washajua ulisoma msingi ukaenda sekondari labda ukaenda advance na chuo kabisa yaani imebeba kila kitu juu kwa juu kumbuka!! Pala washapitia documents zako za muhimu wanajua mpaka trh ya kuzaliwa so sio lazima ujieleze sana wanajua base katika carrier yako ulete ushawishi kidogo hawana shida na unatokea wapi sijui umezaliwa wapi.

Kingine we ni fresh graduate directly from the University hauna experience [emoji23][emoji23][emoji24]wala nn je point za carrier utazipata wapi? Yeap ushajitambulisha fresh mpaka wakujua una degree sehemu lakini kumbuka degree yako iko na mambo kibao ulipitita labda field Kuna project kama mmi tulifanya project mwaka wa pili kwenda wa tatu ,hata kama ukifanya volunteer ,hata research kama inarelate na kazi unaweza kumgusi kuonyesha uko fresh sehemu fulani ..gonga kingereza kilichoenda mbele japo unaweza kusita ila usirudie maneno jipangilie flow mwanzo mwisho .


Usipoteze mda unaweza kupewa dk 3 ukileta zile saijui I was born in ,am the third child in my family [emoji26][emoji26][emoji26]utaumia watakustopisha wakutoe nje.
Hongera sana Accumen Mo kwa ufafanuzi mzuri.

Nina imani haya madini yatakuwa chachu kwa wengi kulipata hilo swali pindi pale wanapoulizwa.

Mwishowe nikutakie mafanikio katika Career yako.
 
Ukisema ukimaliza chuo tayar kiakili wanajua ulisoma primary ,ukaja sekondari labda advance then chuo so sioni haja maana utapoteza muda mwingi wangekuwa wataka elimu ya sekondari sijui primary ungeona kweny Tangazo
.umeenda pale kama mtu mweny degree basi aanzia hapo hapo kweny degree yako ndo wanahitaji ujieleze kwingine wanajua since ukitumia maombi wanajua
Kwanini uwaachie hiyo nafasi ya wao kukudhania.Sema mwenyewe wewe ni nani umesoma wapi.Umeambiwa uzungumzie shule wewe unataja degree tu.Hizo s/m na sekondari sio shule?
 
Ukisema ukimaliza chuo tayar kiakili wanajua ulisoma primary ,ukaja sekondari labda advance then chuo so sioni haja maana utapoteza muda mwingi wangekuwa wataka elimu ya sekondari sijui primary ungeona kweny Tangazo
.umeenda pale kama mtu mweny degree basi aanzia hapo hapo kweny degree yako ndo wanahitaji ujieleze kwingine wanajua since ukitumia maombi wanajua
Duuuh mkuu hapa mbona Kuna ukakasi.. unalozongumzia naona ni kweli.. Ila naona kama sitajikamilisha niliweka hyo succinctly explaination
 
Kwanini uwaachie hiyo nafasi ya wao kukudhania.Sema mwenyewe wewe ni nani umesoma wapi.Umeambiwa uzungumzie shule wewe unataja degree tu.Hizo s/m na sekondari sio shule?
Mwenyewe hapo sikumuelewa nimekuwa na ukakasi sana.. me bhana potelea mbali So napiga Mwanzo mwsho kama nimepewa mda wa kujielezea sihitaji kujistress ten
 
Kwanini uwaachie hiyo nafasi ya wao kukudhania.Sema mwenyewe wewe ni nani umesoma wapi.Umeambiwa uzungumzie shule wewe unataja degree tu.Hizo s/m na sekondari sio shule?
Interview zote nilizofanya niliwapa cv yangu wakaipitia mwanzo mwisho kama unabisha muulize wa aliyewai kufanya utumishi unawpa wanakagua na unaenda na copy kwa kila interviewer pale kweny panel list unampa wanakuja kila kitu chako kwa juu juu mpaka miaka
 
Any job relate wanakuplace kazini
Hiyo related wanaangalia courses yako au wanaangalia the last job ulioweka database baada ya kuifanyia usaili kwasababu kuna kozi zingine mfano. Ulifanya usaili TTCL CUSTOMER SERVICE OFFICER II, umesomea bachelor of marketing ukakosa nafasi ukakaa database. Hapo kwenye related ndo nataka kuelewa mfano unaweza kuwekwa marketing officer II, au ndo mpk iwe related ya job post ulioombea mwanzo?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Interview zote nilizofanya niliwapa cv yangu wakaipitia mwanzo mwisho kama unabisha muulize wa aliyewai kufanya utumishi unawpa wanakagua na unaenda na copy kwa kila interviewer pale kweny panel list unampa wanakuja kila kitu chako kwa juu juu mpaka miaka
Kwahyo wamekutupia Taasisi gani unayofanyia kazi kwa Sasa mkuu..?
 
Hiyo related wanaangalia courses yako au wanaangalia the last job ulioweka database baada ya kuifanyia usaili kwasababu kuna kozi zingine mfano. Ulifanya usaili TTCL CUSTOMER SERVICE OFFICER II, umesomea bachelor of marketing ukakosa nafasi ukakaa database. Hapo kwenye related ndo nataka kuelewa mfano unaweza kuwekwa marketing officer II, au ndo mpk iwe related ya job post ulioombea mwanzo?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Halafu we jamaa haya mambo ya database yasikuchanganye hakuna anayejua, hao wenyewe PSRS ndo wanafahamu.. nachokushauri we piga interview zako hata 10... Siku zali likikudondokea utaona tu jina lako kwenye mkeka....
 
Hiyo related wanaangalia courses yako au wanaangalia the last job ulioweka database baada ya kuifanyia usaili kwasababu kuna kozi zingine mfano. Ulifanya usaili TTCL CUSTOMER SERVICE OFFICER II, umesomea bachelor of marketing ukakosa nafasi ukakaa database. Hapo kwenye related ndo nataka kuelewa mfano unaweza kuwekwa marketing officer II, au ndo mpk iwe related ya job post ulioombea mwanzo?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wanaangalia degree yako kama ndio inayotakiwa wanakuchukua kiongozi
 
Mm nilifanya interview ya written, practical na Oral nw nasubiri placement.

Swali la practical lilikuwa tuchore na tu install star-delta starter. (Umeme)
izi za Artisan II sio ama
 
Interview zote nilizofanya niliwapa cv yangu wakaipitia mwanzo mwisho kama unabisha muulize wa aliyewai kufanya utumishi unawpa wanakagua na unaenda na copy kwa kila interviewer pale kweny panel list unampa wanakuja kila kitu chako kwa juu juu mpaka miaka
Mm.sawa
 
Back
Top Bottom