PSRS NA WAZIRI WA ELIMU HOI...!

PSRS NA WAZIRI WA ELIMU HOI...!

Mudathru

Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
88
Reaction score
30
Asha kuum! Si matusi... Niwapongeze PSRS na wizara inayohusu mambo ya elimu kwa ugunduzi huu wa usaili kwa kada ya uwalimu kwa hakika tunaweza kupata walimu bora kama mnavyo jinadi kwenye majukwaa.
Usahili wa walimu umefanyika na unendelea kufanyika kwa malengo yale yale ya Prof. Mkenda ila kunamaswali mengi hayana majibu. Ndani ya usahili huu kuna utata mwingi sana ambao unachangia kufeli kwa lengo la upatajo wa walimu bora mnao wahitaji.
1. Kwanini usahili hauja lenga masomo ya kufundishia ambapo ndio kiini cha ufundishaji?
Huu ni utata ambao hauonyeshi nia ya kupata walimu bora. Nilimsikiliza vema mkenda akitetea usahili akitolea mfano walimu wa somo la kiingeleza. Hofu ni kwamba Mkenda hajui kipi kimesahiliwa kwa walimu hao kati ya kujua kufundisha somo la kiingeleza au kujua kufundisha somo la nadharia ya saikolojia na filosofia za elimu.
2. Nia ya mitihani ya usahili wa walimu ni ipi kwa namna inavyosemwa.
Sina hakika kama lengo ni kupata walimu mahili katika ufundisha kulingana na mitihani husika. Hali ambayo inatoa mashaka dhidi ya uwezo wa waliobuni utunzi wa mtihani. Hali ambayo inanyima usawa wa fulsa za ajira kwa watanzania. Ni ngumu sana kwa mhitimu wa 2015 kufanya vizuri dhidi ya alie mhitimu 2024, hapo tumejinyima upataji wa walimu bora na wakati mwingine tinatengeneza mazingira ya rushwa.
3. Uhalisia ni upi?
Kama lengo ni kupata walimu bora ambao basi hii mitihani haikidhi vigezo vya upataji wa walimu bali ni kiini macho tu ambacho hakina ishara nzuri kwa mustakabali wa elimu yetu. Uwalimu ni kazi ya vitendo na wala si nadhalia kama Mkenda na wenzake wavyo fikilia. Mwalimu bora anapatikana field. Serikali ingetengeneza mazingira ya ufanyaji wa usahili wa vitendo hakika tungepata walimu mahili sana na wabobezi. Hapa inadhihilisha asili ya uvivu wa kufikilia kwa wasomi wetu na maranyingi hufikilia vitu vyepesi zaidi ili kulipu lipua mambo yaende.
#hapa ninadiliki kusema PSRS na waziri wa usahili mmebolonga...
 
Asha kuum! Si matusi... Niwapongeze PSRS na wizara inayohusu mambo ya elimu kwa ugunduzi huu wa usaili kwa kada ya uwalimu kwa hakika tunaweza kupata walimu bora kama mnavyo jinadi kwenye majukwaa.
Usahili wa walimu umefanyika na unendelea kufanyika kwa malengo yale yale ya Prof. Mkenda ila kunamaswali mengi hayana majibu. Ndani ya usahili huu kuna utata mwingi sana ambao unachangia kufeli kwa lengo la upatajo wa walimu bora mnao wahitaji.
1. Kwanini usahili hauja lenga masomo ya kufundishia ambapo ndio kiini cha ufundishaji?
Huu ni utata ambao hauonyeshi nia ya kupata walimu bora. Nilimsikiliza vema mkenda akitetea usahili akitolea mfano walimu wa somo la kiingeleza. Hofu ni kwamba Mkenda hajui kipi kimesahiliwa kwa walimu hao kati ya kujua kufundisha somo la kiingeleza au kujua kufundisha somo la nadharia ya saikolojia na filosofia za elimu.
2. Nia ya mitihani ya usahili wa walimu ni ipi kwa namna inavyosemwa.
Sina hakika kama lengo ni kupata walimu mahili katika ufundisha kulingana na mitihani husika. Hali ambayo inatoa mashaka dhidi ya uwezo wa waliobuni utunzi wa mtihani. Hali ambayo inanyima usawa wa fulsa za ajira kwa watanzania. Ni ngumu sana kwa mhitimu wa 2015 kufanya vizuri dhidi ya alie mhitimu 2024, hapo tumejinyima upataji wa walimu bora na wakati mwingine tinatengeneza mazingira ya rushwa.
3. Uhalisia ni upi?
Kama lengo ni kupata walimu bora ambao basi hii mitihani haikidhi vigezo vya upataji wa walimu bali ni kiini macho tu ambacho hakina ishara nzuri kwa mustakabali wa elimu yetu. Uwalimu ni kazi ya vitendo na wala si nadhalia kama Mkenda na wenzake wavyo fikilia. Mwalimu bora anapatikana field. Serikali ingetengeneza mazingira ya ufanyaji wa usahili wa vitendo hakika tungepata walimu mahili sana na wabobezi. Hapa inadhihilisha asili ya uvivu wa kufikilia kwa wasomi wetu na maranyingi hufikilia vitu vyepesi zaidi ili kulipu lipua mambo yaende.
#hapa ninadiliki kusema PSRS na waziri wa usahili mmebolonga...
Hawa wahuni walilenga kupiga per diem. Hawana Cha maana kingine tofauti na maslahi Yao.
 
Wewe hujui maana ya usaili! Dakika 45 unategemea atoe manotisi mkuu???? Hivyi nyie walimu hamkusoma maana ya usaili kwenye communication skills???? Mbona malalamiko yamezidi!! Jueni kwamba sio nyie wa kwanza kufanyiwa usaili! Usaili umekuepo toka enzi za mababu zetu! Lengo la usaili ni kuwapata watu sahihi miongoni mwa watu wengi sahihi!!
 
Wewe hujui maana ya usaili! Dakika 45 unategemea atoe manotisi mkuu???? Hivyi nyie walimu hamkusoma maana ya usaili kwenye communication skills???? Mbona malalamiko yamezidi!! Jueni kwamba sio nyie wa kwanza kufanyiwa usaili! Usaili umekuepo toka enzi za mababu zetu! Lengo la usaili ni kuwapata watu sahihi miongoni mwa watu wengi sahihi!!
Yanalia lia mnoo,yanatia aibu kwa kweli. Walimu wapo wengi mtaani,wanataka utumishi watumie njia gani kupata walimu wachache wenye ubora?
 
Licha kuwa serikali imehamisha lawama kutoka kwake, kwenda kwa jobless kuwa haitoi ajira na kuwa nifeli interview.
Hii njia ya usaili. Kutumia teaching methodology, education psychology. Classroom management and education foundation questons.Ni nzuri kwa sababu hainaubaguzi yaani kwa wale ambao wanafundisha private or public school na wale ambao hawajishulishi kabisa na kufundisha licha ya kuwa wamehitimu taaluma ya ualimi.
Fikiria anaefundisha economics kwa mfano teaching experience for 3+ years. Alafu uandae usaili maswali ya content (yanahusu somo la economics). Hapo mbuzi atakuwa amefia kwa muulza bucha mkuu. Na upande wa pili itakuwa ngumu kufaulu.yaani kwa wale ambao hawafindishi au hawana uzoefu wa kufundisha toka wahitimu masomo
 
Back
Top Bottom