Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
Achana nao hao wendawazimu ,mi nishachoka sasa hivi nimerelax mind na kukubali matokeo mi sio WA kuajiriwa , upumbav mwingi Sana nchi hiiHabari wakuu..
Wiki kadhaa zilizopita nilikua nikituma maombi ya kazi.. kutumia ajira portal.. nilikua naitwa kwenye usaili.. sikufanikiwa.. kufaulu..
Nikaomba mara ya pili sikuitwa.. sababu.. lowyer.. hajaidhinisha vyeti vyangu.. nikavipeleka vikaidhinishwa..
2.nikatuma tena.. sikuitwa.. sababu sija attach biŕth certificates.. nikaattarch..
3. Nimetuma tena mwezi juni nafasi za kazi TEMDO.. juzi wameitwa.. mimi sikuitwa.. sababu sijaipitisha barua yangu ikaidhinishwe kwa mwajiri wangu..
Sasa hapa nashindwa kuelewa niipitishe kwa mwajiri yupi wakati sijaajiriwa popote?
Ila wanazingua hawa sometimes!!Achana nao hao wendawazimu ,mi jishachoka sasa hivi nimerelax mind na kukubapi matokeo mi sio WA kuajiriwa , upumbav mwingi Sana nchi hii
Kwa kweli ni shaida.. Ila kama umeomba na ikakubali we nenda Usaili, usiache kama walikukataa utarudi..Ila wanazingua hawa sometimes!!
Kwanza system yenyewe ina wareject watu wa equivalent course let say mtu umesoma electrical engineering na tangazo la ajira linataka electrical engineer or equivalent na ww umesoma electrical and electronics engineering bhas system itakukataa, sasa hii equivalent ina maana gani?
Na pia ukawa unalazimisha hivyo hivyo ikikukubali kwa kuchagua kule kwenye mchanganuo wa kozi na ukaweka electrical engineering badala ya electrical and electronics engineering, wakati wa kuitwa interview ww wa electrical and electronics engineering wanaweza wakakureject why??
Mkuu make unaweza ukaitwa usaili na namba ya usaili ukapewa kabisa, ukafika Dodoma wakati wa kukagua vyeti mfano Tangazo la ajira lilikuwa likitaka electrical engineer or equivalent na ww umesoma electrical and electronics engineering sometimes pale pale katika ukaguzi wa vyeti wanaweza kukurudisha usifanye usaili!!Kwa kweli ni shaida.. Ila kama umeomba na ikakubali we nenda Usaili, usiache kama walikukataa utarudi..
Ila mfumo wao ni baguzi sana.. na sijui wanamaanisha nini wanavyosema Equivalent course
Ndo maana tunasema mfumo ni WA kibaguzi.. kinachotakiwa hapo usticky tu kwenye kozi yako husika.. zikitoka zinazokutaka ndo uombee.. maana washaamua hvyo hamna namna ni Kilimo Cha samki tu kwa kweliMkuu make unaweza ukaitwa usaili na namba ya usaili ukapewa kabisa, ukafika Dodoma wakati wa kukagua vyeti mfano Tangazo la ajira lilikuwa likitaka electrical engineer or equivalent na ww umesoma electrical and electronics engineering sometimes pale pale katika ukaguzi wa vyeti wanaweza kukurudisha usifanye usaili!!
Hii iliwahi kumtokea jamaa yangu mmoja sema usaili ilikuwa DUCE na yeye anaishi dar, so hakupoteza sana je ingelikuwa Dodoma?
Waswahili wanasema "Ndo utajua haujui"Habari wakuu..
Wiki kadhaa zilizopita nilikua nikituma maombi ya kazi.. kutumia ajira portal.. nilikua naitwa kwenye usaili.. sikufanikiwa.. kufaulu..
Nikaomba mara ya pili sikuitwa.. sababu.. lowyer.. hajaidhinisha vyeti vyangu.. nikavipeleka vikaidhinishwa..
2.nikatuma tena.. sikuitwa.. sababu sija attach biŕth certificates.. nikaattarch..
3. Nimetuma tena mwezi juni nafasi za kazi TEMDO.. juzi wameitwa.. mimi sikuitwa.. sababu sijaipitisha barua yangu ikaidhinishwe kwa mwajiri wangu..
Sasa hapa nashindwa kuelewa niipitishe kwa mwajiri yupi wakati sijaajiriwa popote?
Kati ya wote walioitwa kwenye orodha hakuna hata mmoja ninayemfaham but nimeitwa interview nyingine kupitia humo humo ajira portal.. ndan ya wiki hiyo hiyoMkuu jikague huo ni ulozi!!
Means ikitoka sababu hii unatafutiwa nyengine ilimradi tu ushindwe.
Pia jaribu kuwauliza watu wa kada yako!! Wamefanyaje fanyaje mpk wakaitwa.
Mie ninachojua system ya ajira portal inajieleza wenyewe nini kinachotakiwa uki attach sehemu husika na tena kikiwa certified kwa muhuri wa mahakama au mwanasheria is enough!!
Upo sahihi bro hata mimi nimesoma electrical engeneering but kuna baadhi ya kazi huwa ina reject.. waliangalie hiliIla wanazingua hawa sometimes!!
Kwanza system yenyewe ina wareject watu wa equivalent course let say mtu umesoma electrical engineering na tangazo la ajira linataka electrical engineer or equivalent na ww umesoma electrical and electronics engineering bhas system itakukataa, sasa hii equivalent ina maana gani?
Na pia ukawa unalazimisha hivyo hivyo ikikukubali kwa kuchagua kule kwenye mchanganuo wa kozi na ukaweka electrical engineering badala ya electrical and electronics engineering, wakati wa kuitwa interview ww wa electrical and electronics engineering wanaweza wakakureject why??
Aisee usaili wa DUCE walitufanyiaga unyama sana..Mkuu make unaweza ukaitwa usaili na namba ya usaili ukapewa kabisa, ukafika Dodoma wakati wa kukagua vyeti mfano Tangazo la ajira lilikuwa likitaka electrical engineer or equivalent na ww umesoma electrical and electronics engineering sometimes pale pale katika ukaguzi wa vyeti wanaweza kukurudisha usifanye usaili!!
Hii iliwahi kumtokea jamaa yangu mmoja sema usaili ilikuwa DUCE na yeye anaishi dar, so hakupoteza sana je ingelikuwa Dodoma?
Upande wangu kivipi? Wakati system inaonyesha nimeajiliwa wakati kiuhalisia sijaajiriwa?Ndo mfumo ulivo mkuu.. as long as una shida na ajira ya utumishi.. jitahidi sana kutekeleza masharti yao..
Kwa upande wao they have nothing to lose. wewe make sure unafanya kila unachoambiwa, la sivo utasumbuka ku apply na kukataliwa kila siku
Kwa uzi wako huu inaonesha kabisa shida ipo upande wako maana utumishi masharti yao yapo wazi
Habari wakuu..
Wiki kadhaa zilizopita nilikua nikituma maombi ya kazi.. kutumia ajira portal.. nilikua naitwa kwenye usaili.. sikufanikiwa.. kufaulu..
Nikaomba mara ya pili sikuitwa.. sababu.. lowyer.. hajaidhinisha vyeti vyangu.. nikavipeleka vikaidhinishwa..
2.nikatuma tena.. sikuitwa.. sababu sija attach biŕth certificates.. nikaattarch..
3. Nimetuma tena mwezi juni nafasi za kazi TEMDO.. juzi wameitwa.. mimi sikuitwa.. sababu sijaipitisha barua yangu ikaidhinishwe kwa mwajiri wangu..
Sasa hapa nashindwa kuelewa niipitishe kwa mwajiri yupi wakati sijaajiriwa popote?
Bila shaka ulitoboa mkuuMara ya mwisho kuomba kazi 2019, tupo written pale DUCE kijana mdogo makamo yetu anasimamia anaongea maneno mbovu sana utadhani ndio tunapigania uhai.
Kazi yenyewe ya mshahara wa 950,000 ambayo sasa ni 1,050,000.
Hawa mabeberu yaani nitawanyenyeka kama baba na mama ndugi zanguni