Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
- Thread starter
- #21
Nilitoboa written but oral sikufanya.. maana majibu yalichelewa sana kutoka nami pesa ikaniishia nikakata tamaa nikasafiri usiku kurudi dom.. na majibu yalitoka saa 3 usiku na kesho yake unatakiwa uende ukafanye oralBila shaka ulitoboa mkuu