Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Inavyoonekana kunamadafa wamekaa mda mrefu sehemu moja hizi ofisi ushauri tu muwe mnawabadilisha vituo wawe na akili
Niliwahi.lalamika mwakajana hapa unakuta moo foleni anakuja mtu.mmija ama wawili hawakai folen kisa wameshambiwa kwa msg njoon akitoka huyu
Sasa wimbi lingine limeibuka mko 14 mnasuniri huduma wana meza 5 xa huduma wakiona tu mmepungua wanaondoka wanabakia wawili ama mmoja
Ukituma msg kwa mabosi zao unashangaa wanakutupuka wanapotokea sijui walikuwa wapi
Embu fanyeni mabadiliko wapelekwe vituo tofauti hata kila baada ya miezi 6 thx
Inachoonekana wamezoa kazi ndio maana wanaongeza dharau kwa wateja wao
Niliwahi.lalamika mwakajana hapa unakuta moo foleni anakuja mtu.mmija ama wawili hawakai folen kisa wameshambiwa kwa msg njoon akitoka huyu
Sasa wimbi lingine limeibuka mko 14 mnasuniri huduma wana meza 5 xa huduma wakiona tu mmepungua wanaondoka wanabakia wawili ama mmoja
Ukituma msg kwa mabosi zao unashangaa wanakutupuka wanapotokea sijui walikuwa wapi
Embu fanyeni mabadiliko wapelekwe vituo tofauti hata kila baada ya miezi 6 thx
Inachoonekana wamezoa kazi ndio maana wanaongeza dharau kwa wateja wao