PSSSF inaidai Serikali trilioni 4.6, yasuasua kuwalipa wastaafu

PSSSF inaidai Serikali trilioni 4.6, yasuasua kuwalipa wastaafu

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
PSSSF madeni.png


Hii mifuko inabidi iwekewe sheria kali kwa wanasiasa kujichotea hela kutimiza miradi yao iliyokwama au nakisi ya bajeti kwa gharama ya wastaafu.

Hawa wazee wamekuwa wanapeleka michango yao miaka yao yote ya kuchakarika mpaka nguvu zimewaisha kwa mategemeo zije ziwasaidie, tuheshimu pesa za watu.

No wonder ilikuja lile wazo la kupeana hela kidogo kidogo kwa wazee waliomaliza umri wa kufanya kazi na fao la kukosa ajira kwa vijana, hii mifuko iko hoi na sheria inatulazimisha kubaki kwenye kuibiwa.
 
Sheria nzima ya mifuko hii ni ya kufumuliwa upya!
 
View attachment 1981489

Hii mifuko inabidi iwekewe sheria kali kwa wanasiasa kujichotea kutimiza miradi yao iliyokwama au nakisi ya bajeti kwa gharama ya wastaafu.

Hawa wazee wamekuwa wanapeleka michango yao miaka yao yote kuchakarika mpaka nguvu zimewaisha kwa mategemeo zije ziwasaidie, tuheshimu pesa za watu.

No wonder ilikuja lile wazo la kupeana hela kidogo kidogo kwa wazee waliomaliza umri wa kufanya kazi na fao la kukosa ajira kwa vijana, hii mifuko iko hoi na sheria inatulazimisha kubaki kwenye kuibiwa.
wazee wa ccm watakufa kwa stroke
 
Back
Top Bottom