CCM Inayosikiliza WanyongeHii ndiyo CCM.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hii inawahusu upinzani tu, sana sana CHADEMA.CCM haiwahusu hii pamoja na wale wote wanaosema hawafuatilii siasa.
Wote ni wale wale tu.Ila Jiwe kaiharibu sana hii nchi.
Rais wa sasa ana kazi kubwa sana.
.Inachofanya serikali ni unyang'anyi, pesa zilizoko kwenye mifuko hiyo zilichukuliwa kutoka kwenye mishahara ya wanachama wahusika, serikali inapozichukua ni kupora mishahara ya wahusika.
Chama cha walimu kesho utasikia wanaandamana kumpongeza RaisHatunywi Sumu hatujinyongi........maliiziaaaa
Chama cha Walimu nyonyadamu lingine
yanaua nje na ndaniYalaaniwe Mbinguni na Duniani.....
wazee wa ccm watakufa kwa strokeView attachment 1981489
Hii mifuko inabidi iwekewe sheria kali kwa wanasiasa kujichotea kutimiza miradi yao iliyokwama au nakisi ya bajeti kwa gharama ya wastaafu.
Hawa wazee wamekuwa wanapeleka michango yao miaka yao yote kuchakarika mpaka nguvu zimewaisha kwa mategemeo zije ziwasaidie, tuheshimu pesa za watu.
No wonder ilikuja lile wazo la kupeana hela kidogo kidogo kwa wazee waliomaliza umri wa kufanya kazi na fao la kukosa ajira kwa vijana, hii mifuko iko hoi na sheria inatulazimisha kubaki kwenye kuibiwa.
🤣🤣🤣nchi ngumu sana hiiNa bado PSSSF inatoa gawio.!