PSSSF moja ya taasisi za Umma zenye Customers care bora kabisa nchini

PSSSF moja ya taasisi za Umma zenye Customers care bora kabisa nchini

GentleGiant

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2021
Posts
585
Reaction score
546
Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na hawakufanyi ujisikie vibaya kupata huduma kutoka kwao.

Pamoja na kwamba jambo langu halikufanikiwa moja kwa moja lakini ukweli lazima tuuseme pale ambapo kazi nzuri inafanyika. Najua sijapita matawi yote hapa nazungumzia ofisi yao ya Posta lakini naamini hata matawi mengine suala la customer care watakuwa waelipa kipaumbele.

Hongereni sana popote mlipo.
 
Wangekuhudumia vibaya tangazo lingebadilika
 
Wangekuhudumia vibaya tangazo lingebadilika
Kama ukipokea huduma mbaya ukaamua kukaa kimya basi hiyo huduma itaenda kuwa mbaya zaidi ni bora kusema ili warekebishe na hivyo hivyo kama ukipokea huduma bora basi ni vyema upongeze na wenyewe watambue kuwa kazi nzuri wanayofanya inaonekana
 
Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na hawakufanyi ujisikie vibaya kupata huduma kutoka kwao.

Pamoja na kwamba jambo langu halikufanikiwa moja kwa moja lakini ukweli lazima tuuseme pale ambapo kazi nzuri inafanyika. Najua sijapita matawi yote hapa nazungumzia ofisi yao ya Posta lakini naamini hata matawi mengine suala la customer care watakuwa waelipa kipaumbele.

Hongereni sana popote mlipo.
Hakuna lolote ,Kuna matapeli hapo halafu kujibu maombi na kulipa mafao,ni poor,poor , poor kabisa
 
Hakuna lolote ,Kuna matapeli hapo halafu kujibu maombi na kulipa mafao,ni poor,poor , poor kabisa
Yeah probably but mi nimezungumzia side ya customer care, they handle wateja good kama kuna changamoto nyingine its okay mkizisemea pengine wanaweza kurekibisha
 
Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na hawakufanyi ujisikie vibaya kupata huduma kutoka kwao.

Pamoja na kwamba jambo langu halikufanikiwa moja kwa moja lakini ukweli lazima tuuseme pale ambapo kazi nzuri inafanyika. Najua sijapita matawi yote hapa nazungumzia ofisi yao ya Posta lakini naamini hata matawi mengine suala la customer care watakuwa waelipa kipaumbele.

Hongereni sana popote mlipo.
Bora umesema posta mnk juz karibia nimzabe mtumishi wao makofi hapo kambarage Dodoma pale jamaa Ni mpuuzi Yule jamaa akai ofisin bas akija anafnya Kaz ikifika muda anasema sipokei dcm Tena dadeki kidgo nimtandike makofi

Mwingine Yuko pssf Hulu sababa jama Yule yet ajui Kaz kazi Wala awezi kutoa maelezo ya kutosheleza kitu kidg asikilizi yuko busy anachat na demu wake mm nilienda Jana nikamkuta yupo niligoma aniudumie had mzee mmoja ndio alikuja nikampa dcm zangu

Ila DSM nakubalinan na wwe hata mm kabla sijaj uku dodom nilipita uko dad Yule alinijibu vzr sna
 
Back
Top Bottom