Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Naskia mpaka Aliens wapoIdara nyeti kama hiyo haitakiwi iwe na mapungufu yeyote yale. Nafikiri watakuwa na mpaka warusha yale maroketi ya kwenda sayari za mbali.
Haa Unataka Kusema Nini?Mkuu Mbona Kama Unasonya Na Kutema Mate ChiniMiaka 10 mingine kwa SSH
Kwani marais wanapotumia usafiri wa ndege za abiria huwa hao PSU, ndio wanakuwa ma PILOT?!!Rais Samia Suluhi Hassan leo alitumia usafiri wa boti kutoka Zanzibar kuja Dar Es Salaam.
Je huko kwenye Idara ya Ulinzi wa Rais kuna ambao ni manahodha wa boti au meli? Ambapo ikitokea Rais anatumia usafiri wa maji basi waweze kumuendesha?
Maana safari za namna hizi za Rais kutumia usafiri wa maji huwa ni mara chache sana.
Na je ikitokea watu wa namna hiyo hawapo huko idarani? Rais anaweza kuendeshwa na nahodha yoyote yule?
Inawezekana wasiwe kikosi maalum , lakini wakawa Tiss , angalia sana madereva wa mabasi ya mwendokasi , 90% wametoka kitengo tena kwa geresha ya JwRais Samia Suluhi Hassan leo alitumia usafiri wa boti kutoka Zanzibar kuja Dar Es Salaam.
Je huko kwenye Idara ya Ulinzi wa Rais kuna ambao ni manahodha wa boti au meli? Ambapo ikitokea Rais anatumia usafiri wa maji basi waweze kumuendesha?
Maana safari za namna hizi za Rais kutumia usafiri wa maji huwa ni mara chache sana.
Na je ikitokea watu wa namna hiyo hawapo huko idarani? Rais anaweza kuendeshwa na nahodha yoyote yule?
Shangaa na weweKwani marais wanapotumia usafiri wa ndege za abiria huwa hao PSU, ndio wanakuwa ma PILOT?!!
Wapo mzee. Kuna hadi wa treni.
Sema ulivosema ilitokea hawapo sijajua kiusalama nadhani hataruhusiwa.
Hataruhusiwa Kama Royal tour unajua kwann hakupanda baloonRais Samia Suluhi Hassan leo alitumia usafiri wa boti kutoka Zanzibar kuja Dar Es Salaam.
Je huko kwenye Idara ya Ulinzi wa Rais kuna ambao ni manahodha wa boti au meli? Ambapo ikitokea Rais anatumia usafiri wa maji basi waweze kumuendesha?
Maana safari za namna hizi za Rais kutumia usafiri wa maji huwa ni mara chache sana.
Na je ikitokea watu wa namna hiyo hawapo huko idarani? Rais anaweza kuendeshwa na nahodha yoyote yule?
Na akipanda ndege anarushwa na nani?Rais Samia Suluhi Hassan leo alitumia usafiri wa boti kutoka Zanzibar kuja Dar Es Salaam.
Je huko kwenye Idara ya Ulinzi wa Rais kuna ambao ni manahodha wa boti au meli? Ambapo ikitokea Rais anatumia usafiri wa maji basi waweze kumuendesha?
Maana safari za namna hizi za Rais kutumia usafiri wa maji huwa ni mara chache sana.
Na je ikitokea watu wa namna hiyo hawapo huko idarani? Rais anaweza kuendeshwa na nahodha yoyote yule?
Mkuu Bruno Guimares , kwanza hongera kwa swali lako, najua japo ni swali la kawaida sana lakini the motive behind ni swali la kizalendo kwa Mtanzania mzalendo kujiuliza what will happen if anything happens?!, hivyo wewe na wengine kudhania kuwa kila kinachofanywa na rais wa JMT, wahusika wote ni lazima wawe ni watu wa PSU!. Its not!.Rais Samia Suluhi Hassan leo alitumia usafiri wa boti kutoka Zanzibar kuja Dar Es Salaam.
Je huko kwenye Idara ya Ulinzi wa Rais kuna ambao ni manahodha wa boti au meli? Ambapo ikitokea Rais anatumia usafiri wa maji basi waweze kumuendesha?
Maana safari za namna hizi za Rais kutumia usafiri wa maji huwa ni mara chache sana.
Na je ikitokea watu wa namna hiyo hawapo huko idarani? Rais anaweza kuendeshwa na nahodha yoyote yule?
Mbona hao PSU wetu walishindwa kuzuia na mwisho wa siku...Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, kama ni kweli US/EU walimtoa Saadam Hussein kwa uongo wa kusaka WMD, kisha wakamtoa Ghadafi madarakani kufuatia kuwaunganisha Waafrika, na Mugabe wakamtoa kwa ku over stay?, Jee wakiamua kumtoa rais Magufuli madarakani, kwa kisingizio cha kutetea demokrasia, jee wataweza?. Jee sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa Taifa hili tutakubali?.
Marekani, US, na washarika wake, EU, kupitia mashirika yao ya kibeberu ikiwemo IMF, WB, US AID, CIA, NATO, etc, ndio nchi inayoongoza kwa imperialism, wakiamua kiongozi fulani hawamtaki kwa maslahi yao, watamtafutia sababu, wakikosa, watamtungia uongo wa ukiukwaji wa haki za binadamu, mradi wapate justification ya kuingilia mambo ya ndani na kumuondoa. Watatafuta sababu zozote na kutumia mbinu zozote kumtafutia sababu, ili wamuondoshe!.
Huu ni mpango wa kumpindua rais Magufuli kwa kupitia mlango wa nyuma wa kutumia kisingizio cha kukuza demokrasia, jee Watanzania Wazalendo tukubali?.
Huu Waraka unampango wa ina ovu ya kutaka kumuondoa rais Magufuli madarakani kwa mlango wa nyuma, kama walivyofanya kwa Ghadafi na Saadam, kwa kutumia vibaraka kwa mgongo wa human rights defenders!.
10. Kinga ni bora kuliko Tiba
Dalili ya mvua ni mawingu.
Mchelea mwiba mguu huo tende.
Chururu si ndo ndo ndo.
Haba na haba hujaza kibaba.
Mchelea mwana kulia, hulia yeye.
Nyaraka hizi ni mawingu, ni mwiba, ni ndo ndo ndo, ni haba na haba, ni kilio tuu cha mwana, jee Watanzania wazalendo wa kweli wa Taifa hili, hata baada ya kuona dalili, tusubiri mvua inyeshe, tusubiri mguu uote tende, tusubiri chururu, au tusubiri kibaba kijae, na kusubiri kuja kulia?.
Jumamisi Njema.
Paskali
Mkuu Bruno Guimares , kwanza hongera kwa swali lako, najua japo ni swali la kawaida sana lakini the motive behind ni swali la kizalendo kwa Mtanzania mzalendo kujiuliza what will happen if anything happens, hivyo wewe na wengine kudhania kuwa kila kinachofanywa na rais wa JMT, wahusika wote ni watu wa PSU!. Its not!.
Rais wa JMT anaweza kuhudumiwa na mtu yoyote wa profession yoyote ya jambo husika, kazi ya PSU ni kuhakikisha tuu kuwa usalama upo na sio lazima wao PSU ndio wafanye kila kitu!.
Rais ambaye PSU wao wanafanya kila kitu ni rais wa Marekani, akisafiri nchi yoyote anatumia ndege maalum ya rais inaitwa Airforce One. Japo hiyo Airforce One ambayo ni ndege maalum ya Jumbo Jet , inaelezwa kuwa iko moja, lakini kila ikiruka inakuwa accompanied na Jumbo Jet nyingine mbili ambazo ni advance party, moja inabeba supplies, zikiwomo gari na vifaa vyote atakavyo tumia rais wa Marekani akiwa popote, na ya pili inabeba personal wa kufanya kila kitu, kuanzia wapishi, madereva hadi wafanyakazi wa kila kitu.
Siku Ile Obama kaja, walikuja na kila kitu chao, hadi magari, akalala Kilimanjaro Kempimski, hoteli nzima ilikodiwa, na kule presidential suite wali vacate staff wote wakaingia watu wao mpaka mpishi na msafisha choo!. Walitumia supplies zao hadi maji ya kunywa ni maji yao!.
Sisi rais wetu akisafiri nje anatumia ndege za mashirika ya ndege hivyo anaendeshwa na yeyote, hata ile Royal Tour alieendesha ile hot air balloon ni dereva wa baloon. Akisafiri kwa ATC anaendeshwa na Pilot wa ATC, akipanda chopa ni pilot wa chopa, hivyo akipanda boti ni pilot wa hiyo boti and not necessarily watu wa PSU!. Sio kila kitu ni PSU kuna vitu vingine PSU wetu hawawezi kuzuia mfano hili tukio nililo lizungumza hapa kuhusu usalama wa rais wetu, kwani PSU wetu waliweza?. US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Humo nilisema
Mbona hao PSU walishindwa kuzuia na mwisho wa siku...
Tuliishia kulia!.
P
Duh...!.Ulinzi Mkali ni wakiduku wa N Korea. Inasemekana wana kitengo maalumu cha kulinda na kutunza haja ndg na kubwa. Hii ilisababishwa na Mosad kudukua hivyo vitu kwa Yesse Arafat na wakagundua ana Cancer itakayo muua baada ya miaka kadhaa.
Story za huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawaUlinzi Mkali ni wakiduku wa N Korea. Inasemekana wana kitengo maalumu cha kulinda na kutunza haja ndg na kubwa. Hii ilisababishwa na Mosad kudukua hivyo vitu kwa Yesse Arafat na wakagundua ana Cancer itakayo muua baada ya miaka kadhaa.